#COVID19 Askofu Gwajima: Nasubiri wataalamu wa ndani wa chanjo ya COVID-19 waongee kisha nitawapiga kwa risasi moja tu watawanyike


Enzi za Magufuli hakukuwa na Covid-19; kulikuwa na “changamoto” iliyokuwa ikimalizwa kwa maombi, nyungu, na juisi mchanganyiko wa tangawizi, malimao, pili pili kichaa, n.k.

Covid-19 imefahamika awamu ya 6 na kuagiziwa chanjo. Halafu watu ni wale wale minus JPM!

Gwajima anajifanya kama vile hajui kuwa yuko kwenye chama cha wasanii kinachoendeshwa kwa propaganda. Anajifanya hajui kuwa wenzake walikuwa wanafanya usanii ili kwenda sawa na Magufuli. Kupotea kwa ile connection aliyokuwa nayo Ikulu kumemchanganya hasa!
 
Hahahaaa

here comes the clown 🤡
 
Hutaki sasa, Wasukuma tuko wangapi kwenye hii Jamhuri?

Yani buda ukiweka Mgombea Msukuma na mwingine wa kabila lolote i assure you Msukuma is gonna win
 
Nadhani Askofu Gwajima anajisahaulisha jambo muhimu sana. Nchi yeti haina "taasisi" IMARA zinazojitegemea kutoa maamuzi bila ushawishi au matakwa ya wanasiasa/Viongozi wakuu. Ndio maana sishangai kuona kuna watu wanadai Katiba Mpya.

Anataka Wataalamu wa Afya wajiuzulu kwa kuwa wameshindwa kuwa na msimamo. Lakini anajisahaulisha kuwa hii dhana ya kuwajibika kwa hapa kwetu HAIPO. Akitaka tufike hapo, inabidi tuanze na kiongozi wakuu wa kisiasa, Ni wazi kuwa baadhi yao maamuzi/matamko yao yamegharimu maisha ya watu kwenye suala hili hili la UVIKO-19.

Ila Ukweli ni kwamba UVIKO-19 sio kitu cha mzaha, kamą umepata kutoa huduma kwa wagonjwa hawa utanielewa vizuri. Kama unadhani Nyugu inakusaidia itumie, kama maombi ni kinga kwako, Funga na kuomba. Lakini kama kuna watu wanaamini kupata chanjo kutawasaidia, waachwe wafanye maamuzi yao. Kila mtu yuko huru kufanya anachoona kina msaaidia.
 
Anapointi ila kwa watanzania hawa kila wakati ni waongowaongo.Anagalia hata kazi za ikulu zimeeudi Dar kalibia mwezi na matokeo yake hera nyingi zinatumika kulioana posho
IKULU KWENDA DODOMA NI .................WEND.....STRAGETICALLY
 
Hutaki sasa, Wasukuma tuko wangapi kwenye hii Jamhuri?

Yani buda ukiweka Mgombea Msukuma na mwingine wa kabila lolote i assure you Msukuma is gonna win
Mwalimu alishaonya juu ya suala hili rais atatoka miongoni mwa makabila madogo kabisa jk alilipindisha hili na madhara yameonekana kukiuka maneno ya mwalimu
 
Sasa Unataka majaribio wafanyie wapi?
 
Habari yako Kasuku
 
Kitendo cha gwajima kusema viongozi ni vigeugeu na kuwataka wajiuzulu ni mwendelezo wa dhihaka na kebehi kwa kiti cha urais na mwenyekiti wake wa chama. Huyu mtu adhibitiwe mapema kabla hajaaribu zaidi
Wewe unaona amefanya dhihaka gani sasa.au unamaanisha na samia alikuwa kigeugeu?.
 
Ha ha anazani hata video zake za xes tumesahau mbwa yule doggy kabisa.
 
Gwajima atulie tu.Katika hali ile na utawala ule wa magufuli ni nani alikuwa tayari kutoa kile anachokiamini?Watu wote pamoja na Gwajima tulikuwa tunaangalia upepo unaelekea wapi,ni watu wachache wa mtandaoni na vyama vya upinzani waliojaribu ila wote tulifyataaa.
Kwa muoga huenda kicheko na kwa shujaa huenda kilio na wote tunajua vilio vilitokea upande gani.
Tunapumua kidogo lakini ilikuwa huwezi kuandika hapa mpaka upost bila kufuta mara tatu!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…