#COVID19 Askofu Gwajima ni mpotoshaji sana suala la Chanjo za COVID-19

Hakuna chanjo yoyote ambayo watu wazima huwa wanalazimishwa kuchanjwa, labda lazima kwa watoto kwa sababu wao ni wa serikali
Walete chanjo mradi iwe hiari Tu
Asilazimishwe mtu kuchanja
 
Gwajiboi ni tapeli
 
Gwajima ni mpuuzi ,watu wakiwa wanaumwa kwakwe ndio mtaji maana ataenda kuwadanganya kwamba atawaponya.
 
Mimi nilimtoa thamani kuihusisha teknolojia ya 5G na corona. Kale kajamaa ni katapeli sana nafikiri hata hiyo huduma yake anaindesha kwa kutumia nguvu za giza.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…