Askofu Gwajima: Ninyi mnaobadilika badilika mmebarikiwa kwa aina yenu. Mimi sina uwezo huo

Askofu Gwajima: Ninyi mnaobadilika badilika mmebarikiwa kwa aina yenu. Mimi sina uwezo huo

Leak

JF-Expert Member
Joined
Feb 22, 2012
Posts
52,916
Reaction score
43,505
Gwajima ameendelea kujibu mashambulizi yanayoelekezwa kwake na amesisitiza kuwa yeye si aina ya watu wanaobadilika badilika akisema hivi leo ni hivyo hivyo mpaka anakufa na amesisitiza kuwa kuna hoja nyingi kuhusu chanjo ambazo alizitoa hadi leo hajaona majibu yake zaidi ya kuona uzushi wa yeye kuchomwa chanjo na kujiuzulu Ubunge.

Ameendelea kusisitiza wataalam kujibu hoja za wananchi

Kwenye kuchonganishachonganisha mwingine jana kasambaza kabango jamani Gwajima kajiuzulu Ubunge, mlikaona kabango kale? kauongo.. ka wale wachonganishichonganishi haina uhusiano"

"Uhusiano ni kwamba mimi ni aina ya Mtu ambae nikisema hivi leo, nitasema hivyo kesho, kesho kutwa wiki ijayo, nyinyi ambae mnabadilikabadilika na nyie mmebarikiwa kwa aina yenu, mimi sina uwezo huo"
 
Wamwache huyu jamaa inatosha siku kwa maovu yake
 
Wamwache huyu jamaa inatosha siku kwa maovu yake
Wakati unasubiri hayo,mwenzio kashatengeneza na Muumba wake!
Km kuna kitu nimejifunza,ni mtu akikosea akarudi kwa Mungu wake kutubu na kutengeneza wengine bila kujua wanaendelea kunyoosha vidole kumbe ye kasharudi kwny mstari
Unakuta jashatubu muda kapatana na Mungu wake wengine bado mmeshikilia lilelile!

Sent from my TECNO P701 using JamiiForums mobile app
 
Gwajima nae kama bongo movie sasa, anatafuta kick tu, nani aliesema Corona haitakuja Tanzania na ikaja?
 
Gwajima ameendelea kujibu mashambulizi yanayoelekezwa kwake na amesisitiza kuwa yeye si aina ya watu wanaobadilika badilika akisema hivi leo ni hivyo hivyo mpaka anakufa na amesisitiza kuwa kuna hoja nyingi kuhusu chanjo ambazo alizitoa hadi leo hajaona majibu yake zaidi ya kuona uzushi wa yeye kuchomwa chanjo na kujiuzulu Ubunge.

Ameendelea kusisitiza wataalam kujibu hoja za wananchi

Kwenye kuchonganishachonganisha mwingine jana kasambaza kabango jamani Gwajima kajiuzulu Ubunge, mlikaona kabango kale? kauongo.. ka wale wachonganishichonganishi haina uhusiano"

"Uhusiano ni kwamba mimi ni aina ya Mtu ambae nikisema hivi leo, nitasema hivyo kesho, kesho kutwa wiki ijayo, nyinyi ambae mnabadilikabadilika na nyie mmebarikiwa kwa aina yenu, mimi sina uwezo huo"
Feki tu naye. Mbona ana kigeugeu kama wengine tu! Aliwahi kusema hana mpango na ubunge wala uraisi maana kwa nafasi yake kama kiongozi wa kanisa yeye ni mkubwa kuliko hata raisi. Mbona hatimaye alikula matapishi yake kwa kukubali ubunge tena wa dhuluma??!!
 
Alibadilika kuacha kuwananga waislamu
 
Utumishi wa Mungu ukichanganya na siasa ni lazima utasahau baadhi ya misimamo yako.
 
  • Thanks
Reactions: Ame
Hawa ndio wanao tuwakilisha wapinzani bungeni.
 
Hivi aliyesema hawezi kugombea ubunge kwa sababu utumishi wa Mungu ni mkubwa kuliko ubunge ndo huyu huyu au mwingne
Eti ndio huyo huyo asiyebadilika badilika. Wanasiasa bana!!
 
Mm naomba niulize swali hawa wanaopigia debe chanjo, nani alituloga sisi kuwa na mass reasoning!! Hizi chanjo ambazo watengenezaji wenyewe hawaziamini sisi tunataka nn kufuata mkumbo! Let us have African solutions to our own problems. Kama nikufa acha tufe na hiyo corona kuliko kufuata untested things. Watalaamu wetu wa afya waache kuburuzwa na wanasiasa na walafi wa hela wao hawana issue with your health issues or your welfare ,lakin wao wanataka wauze chanjo tu. And worse is that music which is played in US they just bring it hear and we start dancing bila kujua Kwa nn wao waliamua kupia huu muziki in that tune. Tusiwe kondoo tuwe na intelligent reasoning and critical thinking. Hii mass vaccination ya watu wote duniani Kwa nn ww kama una akili timamu usihoji. If we want to survive as Africans we need to start questionnin from now
 
  • Thanks
Reactions: Ame
Mm naomba niulize swali hawa wanaopigia debe chanjo, nani alituloga sisi kuwa na mass reasoning!! Hizi chanjo ambazo watengenezaji wenyewe hawaziamini sisi tunataka nn kufuata mkumbo! Let us have African solutions to our own problems. Kama nikufa acha tufe na hiyo corona kuliko kufuata untested things. Watalaamu wetu wa afya waache kuburuzwa na wanasiasa na walafi wa hela wao hawana issue with your health issues or your welfare ,lakin wao wanataka wauze chanjo tu. And worse is that music which is played in US they just bring it hear and we start dancing bila kujua Kwa nn wao waliamua kupia huu muziki in that tune. Tusiwe kondoo tuwe na intelligent reasoning and critical thinking. Hii mass vaccination ya watu wote duniani Kwa nn ww kama una akili timamu usihoji. If we want to survive as Africans we need to start questionnin from now
Sasa huu msimamo wako ni kwenye chanjo ya corona tu au zozote zinazotoka huko? Je madawa yanayoingizwa kutoka huko tuendelee kuyatumia?
 
Wakati unasubiri hayo,mwenzio kashatengeneza na Muumba wake!
Km kuna kitu nimejifunza,ni mtu akikosea akarudi kwa Mungu wake kutubu na kutengeneza wengine bila kujua wanaendelea kunyoosha vidole kumbe ye kasharudi kwny mstari
Unakuta jashatubu muda kapatana na Mungu wake wengine bado mmeshikilia lilelile!

Sent from my TECNO P701 using JamiiForums mobile app
Kuna mtu hapo juu anauliza juu ya ile kauli ya yeye kutoutaka ubunge wala urais, leo ni nani?
 
Hivi aliyesema hawezi kugombea ubunge kwa sababu utumishi wa Mungu ni mkubwa kuliko ubunge ndo huyu huyu au mwingne
Na kweli huyu gwajiboy ni vigumu kubadili msimamo, kwani aliendelea kusisitiza ule mkono ulikuwa wa baunsa.......anyway kwenye swala la chanjo ya UVIKO nipo na gwajiman....
 
  • Thanks
Reactions: Ame
Gwajima ameendelea kujibu mashambulizi yanayoelekezwa kwake na amesisitiza kuwa yeye si aina ya watu wanaobadilika badilika akisema hivi leo ni hivyo hivyo mpaka anakufa na amesisitiza kuwa kuna hoja nyingi kuhusu chanjo ambazo alizitoa hadi leo hajaona majibu yake zaidi ya kuona uzushi wa yeye kuchomwa chanjo na kujiuzulu Ubunge.

Ameendelea kusisitiza wataalam kujibu hoja za wananchi

Kwenye kuchonganishachonganisha mwingine jana kasambaza kabango jamani Gwajima kajiuzulu Ubunge, mlikaona kabango kale? kauongo.. ka wale wachonganishichonganishi haina uhusiano"

"Uhusiano ni kwamba mimi ni aina ya Mtu ambae nikisema hivi leo, nitasema hivyo kesho, kesho kutwa wiki ijayo, nyinyi ambae mnabadilikabadilika na nyie mmebarikiwa kwa aina yenu, mimi sina uwezo huo"
Askofu GWAJIMA WanaCCM ni WANAFIKI SANA HAWANA TOFAUTI NA HUYU MNYAMA
82fdef4c350425272677f133d767a4f5.jpg
 
Mm naomba niulize swali hawa wanaopigia debe chanjo, nani alituloga sisi kuwa na mass reasoning!! Hizi chanjo ambazo watengenezaji wenyewe hawaziamini sisi tunataka nn kufuata mkumbo! Let us have African solutions to our own problems. Kama nikufa acha tufe na hiyo corona kuliko kufuata untested things. Watalaamu wetu wa afya waache kuburuzwa na wanasiasa na walafi wa hela wao hawana issue with your health issues or your welfare ,lakin wao wanataka wauze chanjo tu. And worse is that music which is played in US they just bring it hear and we start dancing bila kujua Kwa nn wao waliamua kupia huu muziki in that tune. Tusiwe kondoo tuwe na intelligent reasoning and critical thinking. Hii mass vaccination ya watu wote duniani Kwa nn ww kama una akili timamu usihoji. If we want to survive as Africans we need to start questionnin from now
Unfortunately there is none will understand this...Its a high pitch voice only the prudent will...As for me would Have no problem if at all it would have not involved nano technology...
 
Back
Top Bottom