Askofu Ikongo: Walioniteka, kunivalisha kitambaa cha sumu nawafahamu

Askofu Ikongo: Walioniteka, kunivalisha kitambaa cha sumu nawafahamu

Waambieni hao viongozi wa kanisa waachane na siasa.

Biblia gani hizo wanasoma?

Mi nimesoma Bible ya king James, nimesoma lost books from the bible, ninasoma wisdom of Solomon (apocrapha) sijaona vikimchanganya Mungu na politics.
Nitakuelewa kupitia kwa watu wengine watakaokuelewa
 
Waambieni hao viongozi wa kanisa waachane na siasa.

Biblia gani hizo wanasoma?

Mi nimesoma Bible ya king James, nimesoma lost books from the bible, ninasoma wisdom of Solomon (apocrapha) sijaona vikimchanganya Mungu na politics.
Ninamashaka na uwezo wa kufikiri kwa hawa watu waliokupa likes, labda kama ndyo watekaji wenyewe ao.
 
Jiwe ni muoga sana,sijui kwa nini! Askofu Niwemugizi wa Kanisa Katoliki Rulenge Ngara Kagera,alipomkosoa alimind sana,hadi kuanza kuchunguza uraia wake ,wakampora hati yake yakusafiria yaani passport,sina uhakika kama alisharudishiwa!! Na hapa nikutokana na nguvu za Kanisa Katoliki tu,la sivyo Askofu Niwemugizi angekiona cha moto!!

Gwajima alikiona cha moto hadi kunyoosha mikono juu,nakujiunga na timu yakuabudu!

Kakobe alimkosoa jiwe,akatishwa na mzuka wa TRA akaufyata kimya,hadi leo anaabudi chochote kutoka kwa Magu!!

Lakini kipindi cha JK,viongozi wa dini walikua wanaiponda sana serikali ya Jakaya!

Katoliki kulikua na Kitima Charles rafiki yake mkubwa na Magu,alikua anaponda sana serikali ya Jakaya, Pengo pia alikua anaponda sana serikali ya Jakaya!

KKKT kuna Askofu mmoja nadhani wa Arusha, Malasula wa Dar Es Salaam,walikua wanaikalia kooni serikali ya Kikwete...

Angalikana kulikua na Valentine Mokiwa,aisee ilikua balaa,waliponda sana serikali ya Jakaya..

Kina Shekhe Ponda na taasisi yake,waliponda sana serikali ya Jakaya, Jakaya hakuwahi wapiga hawa viongozi wala kuwapa kesi za ajabu,yeye alikuaga na maneno yake tu yakuwakera,ilikua kwenye sherehe au mazishi ya kiongozi mmoja wa Kanisa,Jakaya alisema baadhi ya viongozi wa dini wanauza poda! Aiseee aliwasha moto balaa,alishambuliwa sana!

Vitabu vya dini vipo kwa ajiri yakuwakosoa watawala wa serikali,Magu ana urafiki na Kanisa Katoliki, ndiyo maana wala hawamsemi,subiri aje mwingine,watamsema,watatoa walaka utakua unasomwa makanisani hadi basi!!


Sent from my TECNO CA7 using JamiiForums mobile app
Like Kanisa lililolala ndio linaamka sasa utasikia kila aina ya tamko ili tu uongozi wa Mama Samia uyumbe bila kumung'unya maneno hawa viongozi wa Kanisa ni wanafiki tu na niwadini hatarii na tusipowaangalia hawa ndio watakuwa watu wa kwanza kuchochea utengano katika Nchi hii
 
Waambieni hao viongozi wa kanisa waachane na siasa.

Biblia gani hizo wanasoma?

Mi nimesoma Bible ya king James, nimesoma lost books from the bible, ninasoma wisdom of Solomon (apocrapha) sijaona vikimchanganya Mungu na politics.
Soma tena
 
Waambieni hao viongozi wa kanisa waachane na siasa.

Biblia gani hizo wanasoma?

Mi nimesoma Bible ya king James, nimesoma lost books from the bible, ninasoma wisdom of Solomon (apocrapha) sijaona vikimchanganya Mungu na politics.
Tatizo ulisoma wakati ukiwa umeshapakwa KY.
 
Waambieni hao viongozi wa kanisa waachane na siasa.

Biblia gani hizo wanasoma?

Mi nimesoma Bible ya king James, nimesoma lost books from the bible, ninasoma wisdom of Solomon (apocrapha) sijaona vikimchanganya Mungu na politics.

Pole Mamndenyi!
Kuna mambo huyajui.
Je wajua ni kwanini sababu ya Yohana The Revelator kutupwa kunako Kisiwa cha Patmo?
 
Waambieni hao viongozi wa kanisa waachane na siasa.

Biblia gani hizo wanasoma?

Mi nimesoma Bible ya king James, nimesoma lost books from the bible, ninasoma wisdom of Solomon (apocrapha) sijaona vikimchanganya Mungu na politics.
Afande selle, nakushauri acha hayo madawa ya kulevya unayotumia, kwanza unatakiwa kuwa mirembe na sio uraiani.
 
Urithi aliotuachia Mtupoli, mshamba na limbukeni. Niacheni nifurahi tu.
Mungu alie HAI ajawahi shindwa na shetani wa Chato. 🤸🏽‍♀️🤸🏾‍♂️🤸🏽‍♀️🤸🏾‍♂️🤸🏽‍♀️
 
Back
Top Bottom