Askofu Ikongo: Walioniteka, kunivalisha kitambaa cha sumu nawafahamu

Waambieni hao viongozi wa kanisa waachane na siasa.

Biblia gani hizo wanasoma?

Mi nimesoma Bible ya king James, nimesoma lost books from the bible, ninasoma wisdom of Solomon (apocrapha) sijaona vikimchanganya Mungu na politics.
Nitakuelewa kupitia kwa watu wengine watakaokuelewa
 
Waambieni hao viongozi wa kanisa waachane na siasa.

Biblia gani hizo wanasoma?

Mi nimesoma Bible ya king James, nimesoma lost books from the bible, ninasoma wisdom of Solomon (apocrapha) sijaona vikimchanganya Mungu na politics.
Ninamashaka na uwezo wa kufikiri kwa hawa watu waliokupa likes, labda kama ndyo watekaji wenyewe ao.
 
Like Kanisa lililolala ndio linaamka sasa utasikia kila aina ya tamko ili tu uongozi wa Mama Samia uyumbe bila kumung'unya maneno hawa viongozi wa Kanisa ni wanafiki tu na niwadini hatarii na tusipowaangalia hawa ndio watakuwa watu wa kwanza kuchochea utengano katika Nchi hii
 
Waambieni hao viongozi wa kanisa waachane na siasa.

Biblia gani hizo wanasoma?

Mi nimesoma Bible ya king James, nimesoma lost books from the bible, ninasoma wisdom of Solomon (apocrapha) sijaona vikimchanganya Mungu na politics.
Soma tena
 
Waambieni hao viongozi wa kanisa waachane na siasa.

Biblia gani hizo wanasoma?

Mi nimesoma Bible ya king James, nimesoma lost books from the bible, ninasoma wisdom of Solomon (apocrapha) sijaona vikimchanganya Mungu na politics.
Tatizo ulisoma wakati ukiwa umeshapakwa KY.
 
Waambieni hao viongozi wa kanisa waachane na siasa.

Biblia gani hizo wanasoma?

Mi nimesoma Bible ya king James, nimesoma lost books from the bible, ninasoma wisdom of Solomon (apocrapha) sijaona vikimchanganya Mungu na politics.

Pole Mamndenyi!
Kuna mambo huyajui.
Je wajua ni kwanini sababu ya Yohana The Revelator kutupwa kunako Kisiwa cha Patmo?
 
Waambieni hao viongozi wa kanisa waachane na siasa.

Biblia gani hizo wanasoma?

Mi nimesoma Bible ya king James, nimesoma lost books from the bible, ninasoma wisdom of Solomon (apocrapha) sijaona vikimchanganya Mungu na politics.
Afande selle, nakushauri acha hayo madawa ya kulevya unayotumia, kwanza unatakiwa kuwa mirembe na sio uraiani.
 
Urithi aliotuachia Mtupoli, mshamba na limbukeni. Niacheni nifurahi tu.
Mungu alie HAI ajawahi shindwa na shetani wa Chato. 🤸🏽‍♀️🤸🏾‍♂️🤸🏽‍♀️🤸🏾‍♂️🤸🏽‍♀️
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…