TANZIA Askofu John Ramadhani afariki dunia

TANZIA Askofu John Ramadhani afariki dunia

Msitari wa pambizo

JF-Expert Member
Joined
Sep 25, 2014
Posts
3,098
Reaction score
5,451
Habari zalizotufikia hivi punde ni kuwa askofu mstaafu wa kanisa Anglikana Dayosisi ya Zanzibar na askofu mkuu msataafu wa Kanisa Anglikana jimbo la Tanzania John Ramadhani amefairiki dunia.

Bishop Ramadhani ni kaka wa marehemu jaji mkuu msataafu wa Tanzania Jaji Augustino Ramadhani.

Bishop Ramadhani atakumbukwa kwa harakati zake za kuueneza ukristo na kuitetea imani ya Kikristo visiwani Zanziar.

Mungu ampumzishe kwa amani
IMG-20220912-WA0009.jpg
IMG-20220912-WA0010.jpg
FB_IMG_1663053967566.jpg
 
Hii habari nitapata uhakika wake kwenye ukurasa wa Askofu Mkuu Emmaus Bandekile Mwamakula....

In fact hata huyu bishop nimemfaham kupitia Askofu Mwamakula kwenye post yake ya jana au leo kama sikosei japo ilikua inazungumzia masuala mengine. Kumbe imempendeza Bwana Askofu Ramadhani arudi mavumbini.

Jina la Bwana lihimidiwe
 
Apumzike salama..safari yake ameimaliza bado yetu.

Tuishi tujitenda haki.

#MaendeleoHayanaChama
 
Aseee amefunga kitabu chake cha maisha, tuonapo hilo tujiparaze vipara tukijiandaa!.
 
Hii habari nitapata uhakika wake kwenye ukurasa wa Askofu Mkuu Emmaus Bandekile Mwamakula....

In fact hata huyu bishop nimemfaham kupitia Askofu Mwamakula kwenye post yake ya jana au leo kama sikosei japo ilikua inazungumzia masuala mengine. Kumbe imempendeza Bwana Askofu Ramadhani arudi mavumbini.

Jina la Bwana lihimidiwe
Ukipata uhakika urudi hapa pia
 
Askofu wa kwanza wa Diosis ya Zanzibar na Tanga wakati huo, mtu mwenye imani ya kweli, hata kama alikuwa na mpungufu ya kibinadamu, lakini aliupa heshima uaskofu na kuutendea haki.
Bwana alitoa Bwana ametwaa, jina la Bwana lihimidiwe.
 
Hii habari nitapata uhakika wake kwenye ukurasa wa Askofu Mkuu Emmaus Bandekile Mwamakula....

In fact hata huyu bishop nimemfaham kupitia Askofu Mwamakula kwenye post yake ya jana au leo kama sikosei japo ilikua inazungumzia masuala mengine. Kumbe imempendeza Bwana Askofu Ramadhani arudi mavumbini.

Jina la Bwana lihimidiwe
Mwamakula kichwa chake kina madini mengi sana
 
Habari zalizotufikia hivi punde ni kuwa askofu mstaafu wa kanisa Anglikana Dayosisi ya Zanzibar na askofu mkuu msataafu wa Kanisa Anglikana jimbo la Tanzania John Ramadhani amefairiki dunia.

Bishop Ramadhani ni kaka wa marehemu jaji mkuu msataafu wa Tanzania Jaji Augustino Ramadhani.

Bishop Ramadhani atakumbukwa kwa harakati zake za kuueneza ukristo na kuitetea imani ya Kikristo visiwani Zanziar.

Mungu ampumzishe kwa amaniView attachment 2354918View attachment 2354919View attachment 2355294
Apumzike kwa amani
 
Habari zalizotufikia hivi punde ni kuwa askofu mstaafu wa kanisa Anglikana Dayosisi ya Zanzibar na askofu mkuu msataafu wa Kanisa Anglikana jimbo la Tanzania John Ramadhani amefairiki dunia.

Bishop Ramadhani ni kaka wa marehemu jaji mkuu msataafu wa Tanzania Jaji Augustino Ramadhani.

Bishop Ramadhani atakumbukwa kwa harakati zake za kuueneza ukristo na kuitetea imani ya Kikristo visiwani Zanziar.

Mungu ampumzishe kwa amani
Kuna miaka ya nyuma tulikuwa tunamsikia RTD ni kama alikuwa Dodoma kama sijakosea alihudumu Dayosisi ya Central Tanganyika
 
Back
Top Bottom