Askofu Josephat Gwajima akiongelea kuhusu utekaji wa wananchi

Askofu Josephat Gwajima akiongelea kuhusu utekaji wa wananchi

The Palm Beach

JF-Expert Member
Joined
Dec 30, 2015
Posts
1,967
Reaction score
4,267

Hatimaye Roho Mtakatifu asema na Askofu Josephat Gwajima wa makanisa ya Ufufuo na Uzima Tanganyika na duniani kuhusu watu na wanaharakati wakosoaji wa sera na mipango ya serikali, CCM na hususani Rais Samia Suluhu Hassan kutekwa, kuteswa kisha wengine kuuwawa na kutupwa kama mizoga ya panya porini au nyikani...

Haya ndiyo aliyosema Askofu Josephat Gwajima Kwa ufupi:

ASKOFU GWAJIMA: Tanzania pameanza kuwa si mahali salama tena.....

ASKOFU GWAJIMA: Nani atafuata kutekwa. Si ajabu mimi. Lakini nawaambia kwa Jina la Yesu Kristo hapa hatekwi mtu ng'o hata waje kwa njia za kichawi.....!

ASKOFU GWAJIMA: Kama akija polisi, huko nitakwenda kwa sababu nafahamu police ni law enforcers. Lakini hawa wanaokuja na tuvitambulisho vya ajabu, akikujia mwambie sogea kwanza tupige "selfie" ili niweke kumbukumbu sawa......

=========================================

UPANDE WA PILI;

Rais wa TLS Adv. Boniface Mwabukusi amshangaa Spika wa Bunge Tulia Ackson kuzuia mjadala kuhusu suala la utekaji na kuuwawa kwa watu ktk mazingira ya kijambazi na kigaidi huku polisi wakiwa hawaoneshi juhudi zozote kuzuia ujambazi na uhalifu dhidi ya uhai na maisha ya watu kwa kigezo cha "kanuni za Bunge kutofustwa...."

Mwabukusi amesema labda Spika Tulia Ackson atashituka na kuona thamani ya uhai wa maisha ya binadamu pale mumewe au mwanae atakapokuwa amepatwa na wahalifu hawa.....

Amesema, kuna mambo ya dharura hasahasa yanayohusu uhai wa mtu, huhitaji kufuata kanuni kulifanya intervention ili kurebisha mambo. Kinachohitajika spika kutumia power na authority yake tu kuli - table swala husika kwa judicial notice ili Bunge litoe maelekezo kwa serikali nini cha kufanya....?
 
View attachment 3083698

Hatimaye Roho Mtakatifu asema na Askofu Josephat Gwajima wa makanisa ya Ufufuo na Uzima Tanganyika na duniani kuhusu watu na wanaharakati wakosoaji wa sera na mipango ya serikali, CCM na hususani Rais Samia Suluhu Hassan kutekwa, kuteswa kisha wengine kuuwawa na kutupwa kama mizoga ya panya porini au nyikani...

Haya ndiyo aliyosema Askofu Josephat Gwajima Kwa ufupi:

ASKOFU GWAJIMA: Tanzania si mahali salama tena kuishi.....

ASKOFU GWAJIMA: Nani atafuata kutekwa. Si ajabu mimi. Lakini nawaambia kwa Jina la Yesu Kristo hapa hatekwi mtu ng'o hata waje kwa njia za kichawi.....!

ASKOFU GWAJIMA: Kama akija polisi, huko nitakwenda kwa sababu nafahamu police ni law enforcers. Lakini hawa wanaokuja na tuvitambulisho vya ajabu, akikujia mwambie sogea kwanza tupige "selfie" ili niweke kumbukumbu sawa......

=========================================

UPANDE WA PILI;

Rais wa TLS Adv. Boniface Mwabukusi amshangaa Spika wa Bunge Tulia Ackson kuzuia swala la utekaji na kuuwawa kwa watu ktk mazingira ya kijambazi na kigaidi huku polisi wakiwa hawaoneshi juhudi zozote kuzuia ujambazi na uhalifu dhidi ya uhai na maisha ya watu kwa kigezo cha "kanuni za Bunge kutofustwa...."

Mwabukusi amesema labda Spika Tulia Ackson atashituka na kuona thamani ya uhai wa maisha ya binadamu pale mumewe au mwanae atakapokuwa amepatwa na wahalifu hawa.....

Amesema, kuna mambo ya dharura hasahasa yanayohusu uhai wa mtu, huhitaji kufuata kanuni kulifanya intervention ili kurebisha mambo. Kinachohitajika spika kutumia power na authority yake tu kuli - table swala husika ili Bunge litoe maelekezo kwa serikali nini cha kufanya....?
Sukuma Gang unfolding its true colours.. Bimkubwa Kazi anayo
 
View attachment 3083698

Hatimaye Roho Mtakatifu asema na Askofu Josephat Gwajima wa makanisa ya Ufufuo na Uzima Tanganyika na duniani kuhusu watu na wanaharakati wakosoaji wa sera na mipango ya serikali, CCM na hususani Rais Samia Suluhu Hassan kutekwa, kuteswa kisha wengine kuuwawa na kutupwa kama mizoga ya panya porini au nyikani...

Haya ndiyo aliyosema Askofu Josephat Gwajima Kwa ufupi:

ASKOFU GWAJIMA: Tanzania si mahali salama tena kuishi.....

ASKOFU GWAJIMA: Nani atafuata kutekwa. Si ajabu mimi. Lakini nawaambia kwa Jina la Yesu Kristo hapa hatekwi mtu ng'o hata waje kwa njia za kichawi.....!

ASKOFU GWAJIMA: Kama akija polisi, huko nitakwenda kwa sababu nafahamu police ni law enforcers. Lakini hawa wanaokuja na tuvitambulisho vya ajabu, akikujia mwambie sogea kwanza tupige "selfie" ili niweke kumbukumbu sawa......

=========================================

UPANDE WA PILI;

Rais wa TLS Adv. Boniface Mwabukusi amshangaa Spika wa Bunge Tulia Ackson kuzuia swala la utekaji na kuuwawa kwa watu ktk mazingira ya kijambazi na kigaidi huku polisi wakiwa hawaoneshi juhudi zozote kuzuia ujambazi na uhalifu dhidi ya uhai na maisha ya watu kwa kigezo cha "kanuni za Bunge kutofustwa...."

Mwabukusi amesema labda Spika Tulia Ackson atashituka na kuona thamani ya uhai wa maisha ya binadamu pale mumewe au mwanae atakapokuwa amepatwa na wahalifu hawa.....

Amesema, kuna mambo ya dharura hasahasa yanayohusu uhai wa mtu, huhitaji kufuata kanuni kulifanya intervention ili kurebisha mambo. Kinachohitajika spika kutumia power na authority yake tu kuli - table swala husika ili Bunge litoe maelekezo kwa serikali nini cha kufanya....?
Kila mwananchi ajilinde maana hali ya usalama si mzuri.
 
Tulia askon anakwambia waganga wakienyeji ndio wanateka watu na c jeshi la police🤭🤭🤭

Km taifaa tunasafari ndefu sana
Huyu ni vyema akapata fundisho dogo tu. Mumewe atekwe kisha ateswe sana lakini wasimuue ila wamrudishie Tulia Ackson huku akiwa wamevunja miguu na mikono na taya Moja imepigwa risasi labda ndipo atatambua kwanini Mungu kamweka kwenye nafasi hiyo muhimu ya kimamlaka na maamuzi...!
 
Kila mwananchi ajilinde maana hali ya usalama si mzuri.
Bila kusahau na kumbuka kuwa, bila msaada wa Mungu sisi binadamu si lolote, si chochote......

Yaani hatuwezi kufanya wala kujisasidia kwa lolote pasipo Mungu muumba wa mbingu na nchi kutupa akili, nguvu na uwezo wa kujisaidia...

Imeandikwa mahali katika maandiko matakatifu, Biblia hivi:

"........Bwana (Mungu) asipoulinda mji, wakeshao wafanya kazi bure......"
 

Hatimaye Roho Mtakatifu asema na Askofu Josephat Gwajima wa makanisa ya Ufufuo na Uzima Tanganyika na duniani kuhusu watu na wanaharakati wakosoaji wa sera na mipango ya serikali, CCM na hususani Rais Samia Suluhu Hassan kutekwa, kuteswa kisha wengine kuuwawa na kutupwa kama mizoga ya panya porini au nyikani...

Haya ndiyo aliyosema Askofu Josephat Gwajima Kwa ufupi:

ASKOFU GWAJIMA: Tanzania pameanza kuwa si mahali salama tena.....

ASKOFU GWAJIMA: Nani atafuata kutekwa. Si ajabu mimi. Lakini nawaambia kwa Jina la Yesu Kristo hapa hatekwi mtu ng'o hata waje kwa njia za kichawi.....!

ASKOFU GWAJIMA: Kama akija polisi, huko nitakwenda kwa sababu nafahamu police ni law enforcers. Lakini hawa wanaokuja na tuvitambulisho vya ajabu, akikujia mwambie sogea kwanza tupige "selfie" ili niweke kumbukumbu sawa......

=========================================

UPANDE WA PILI;

Rais wa TLS Adv. Boniface Mwabukusi amshangaa Spika wa Bunge Tulia Ackson kuzuia mjadala kuhusu suala la utekaji na kuuwawa kwa watu ktk mazingira ya kijambazi na kigaidi huku polisi wakiwa hawaoneshi juhudi zozote kuzuia ujambazi na uhalifu dhidi ya uhai na maisha ya watu kwa kigezo cha "kanuni za Bunge kutofustwa...."

Mwabukusi amesema labda Spika Tulia Ackson atashituka na kuona thamani ya uhai wa maisha ya binadamu pale mumewe au mwanae atakapokuwa amepatwa na wahalifu hawa.....

Amesema, kuna mambo ya dharura hasahasa yanayohusu uhai wa mtu, huhitaji kufuata kanuni kulifanya intervention ili kurebisha mambo. Kinachohitajika spika kutumia power na authority yake tu kuli - table swala husika kwa judicial notice ili Bunge litoe maelekezo kwa serikali nini cha kufanya....?
Safi...nadhani ni mtu wa kwanza mwanachama wa CCM kulisemea hili hadharani. Uchaguzi ujao nadhani hatagombea
 
Sukuma Gang unfolding its true colours.. Bimkubwa Kazi anayo
Bi Mkubwa pengine hata hajui kinachoendelea....

Obviously ni kuwa yupoyupo tu kama sanamu au mdoli wa pale bungeni....

Wajanja wanachomfanyia ni kupangia mlolongo wa vijisafari na vijiisherehe vya mara kwa mara vya hapa na pale...

Akirudi ni kumfungia ndani ya chumba na kupelekewa taarifa na ripoti za uongo uongo...

Nchi inaendeshwa na kuongozwa na monsters 💩 💩 and the devil 👿 👿 himself....

Hatuna Rais mtu hapo. Alishatekwa huyu na inahitajika holy spiritual intervention ya haraka kuikomboa na kuokoa nchi na taifa hili toka kwenye mikono ya hayawani hawa...

Walishateka Jeshi lote (JWTZ), mahakama, polisi, Bunge na Usalama wa Taifa (TISS)...

Wananchi tumezingirwa kotekote. Hapa anayeweza kutuokoa ni Mungu muumba pekee yake. Msaada wetu uko kwake peke yake....!!
 
Back
Top Bottom