Askofu kazua balaa ibadani

Misamwanda kama hii utaiachaje huko kanisani...
anasbo

Ova
Tako la mwanamke huwa ni tamu na linavutia likiwa ndani ya vazi tu ila ukiliona live halina maajab ..hasa mabonge..tako lina mikunjo kunjo...lina mafindo findo yan limefunga funga mpaka dahh!!.
 
Kila kona ni uzinzi tu unaongelewa,,Mwenyezi Mungu hawezi kumfunulia mtumishi wake ufunuo wa hovyo kiasi hicho,,,tena anasema kabisa naweza kupoint rangi za mavazi yao sema roho mtakatifu kamkataza,,,mbona jamaa amekaa kimchongo sana!!!
 
,,tena anasema kabisa naweza kupoint rangi za mavazi yao sema roho mtakatifu kamkataza,,,mbona jamaa amekaa kimchongo sana!!!
Ofcz nk moja ya sababu zilizofanya nijiulize sanaaa kuhusu hilo.

Kwann mtumishi wa Mungu asijikite kumfunza mtu aijie kwel ili kwel ya hiyo ya Mungu ndio im shape mtu hata kama atakua kwenye mazingira gan?
 
Wewe ndiyo umesema ukweli.
Hapo kacheza na saikolojia zao.
Hakuna cha maono wala cha roho mtakatifu hapo!
 
Mkuu kaanza nao tuu. Akirudi tena linahamia kwenu. Ni fire mpaka kieleweke
 
Kuna mmoja anajiita nabii anatabiri na kufanya unabii. Basi Kila akipigiwa yeye ataongelea mambo matatu, Hali ngumu ya uchumi, mahusiano na pesa kutokaa mfukoni.

Watumishi Wengine wanajua tu kucheza na mazingira. Dunia ya Leo utakosa wazinifu popote kweli?
 
Utakosa watu wa hali ngumu,fedha kutokaa,uzinzi ,kukosa kazi.
 
Ofcz huwez kukosa..Sasa kwa maana hiyo si unataka kumanisha kwmba mambo yote watu watakua wanajitungia tu hata kama ni kwel Mungu kaweka msukuml wa watu kuyazungumza...au ndio kusema kwasasa hawa watu hawapo?
 
Kila kona ni uzinzi tu unaongelewa,,Mwenyezi Mungu hawezi kumfunulia mtumishi wake ufunuo wa hovyo kiasi hicho,,,tena anasema kabisa naweza kupoint rangi za mavazi yao sema roho mtakatifu kamkataza,,,mbona jamaa amekaa kimchongo sana!!!
unamu underate Roho mtakatifu sana!! kaa ukijua Roho mtakatifu ni Mungu kamili kwaiyo anaweza ona kila kitu na kama anaweza kuona basi anaweza kuonyesha icho kitu kwa uwazi kabsa.
.
mbona ivo vitu ni vidgo sana hata ww unayesali hapo kama ukikaa vzr anaweza kuonyesha live sio vitu vingum vyakushindwa kuviona
 
Nakubaliana na wewe mkuu. Na hii kitu mke wngu anayo.
Mara 3 kabla ya zote kuchepuka asubuh kabisaa alikua akiamka ananiambia kuwa ameota nafa ha zinaa na mwanamke.. na kwel mara zote...
 
Ndo maana malaya wanaojiuza ni wanawake sio wanaume kwanzia kwenye enzi za bible ni hivo mkuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…