Askofu kazua balaa ibadani

Ndo maana malaya wanaojiuza ni wanawake sio wanaume kwanzia kwenye enzi za bible ni hivo mkuu
Ila kiimani hii au kiroho hii haina upande...zinaa ni zinaa tuu haijalishi katenda Me au Ke.
 
Nyie si mnajiitaga walokole, waliosikika na hamtendi dhambi tena kama sisi tusiookoka? Huyo roho mtakatifu anayesingiziwa na wazushi kuna siku atawageuka
 
Nyie si mnajiitaga walokole, waliosikika na hamtendi dhambi tena kama sisi tusiookoka?
Aaahhhh mkuu...ujue mkuu hii bado haiondoi ule ukwel kwamba kuna walokole ambao wako safi hawana makandokando.
Ni sisi wachache tu ndio tunawaharibia.
Tunatamani kuw kama wao ila misuli yetu bado
 
Hivi kweli mazoezi ya kwaya hadi saa 2 usiku na unakuta vijana hawajaoa wala kuolewa damu moto mara utasikia kuna ziara ya bagamoyo hapo ni mwendo kutafunana tu
 
Kwanza hilo Kanisa la TAG Lina laana Roho Mtakatifu hapendi hata kukuona .lipite huku [emoji118]
 
......mara utasikia kuna ziara ya bagamoyo hapo ni mwendo kutafunana tu
Hili pia ni tatizo mojawapo.Kanisa limeiga sana na kuingiza mfumo wa maisha ya kijamaa kanisani badala ya ku stick kwenye mawanda ya kiiman tuu.

Moja ya kitu sipend kanisani na oia huwa si support ni kitu kinaigwa "siki ya wanandoa" ambao wenye ndoa ztu huandaa outing kikanisa kila mmoja akiwa na mkewe au mumewe mnakaa somewhere mna barizi..
Kula vizuri...kunywa vizur ....mnavaa sio zile nguo zetu za vitenge kanisan hapana japo za ziwe na kimaadili mnakaa ku exchange mawazo.

Sio kitu kibaya lakin huwa sion mantik hake kiroho
 
Kwanza hilo Kanisa la TAG Lina laana Roho Mtakatifu hapendi hata kukuona .lipite huku [emoji118]
Hapend kuliona kanisa au hapendi kuniona mimi!??

Halafu ni nani alilaani?

Na wewe pia unaweza nambia una moral authority ipi ya kuwa condemn wenzio kiwango hicho.??
What is so wrong with that so called TAG maana hata sijalitaja kama ndio hao !!.
 
Kama utakuwa na uwezo wa kusoma saikoloji ya mtu kupitia maandishi,,nazani utaelewa kuwa nimecomment kwa kile nilichokielewa kwa hiyo thread na si kwamba namu-underrate roho mtakatifu na kamwe siwezi kufanya hivo.
 
Nakubaliana na wewe mkuu. Na hii kitu mke wngu anayo.
Mara 3 kabla ya zote kuchepuka asubuh kabisaa alikua akiamka ananiambia kuwa ameota nafa ha zinaa na mwanamke.. na kwel mara zote...
2 wakorintho 11:14 "wala si ajabu maana shetani mwenyewe hujigeuza awe mfano wa malaika wa Nuru"....nijibu swali dogo tu,,tunawezaje kutambua ni nuru gani ambayo ni ya Mungu na ni nuru gani ambayo ni ya shetani tukiwa ndotoni??
 
2 wakorintho 11:14 "wala si ajabu maana shetani mwenyewe hujigeuza awe mfano wa malaika wa Nuru"....nijibu swali dogo tu,,tunawezaje kutambua ni nuru gani ambayo ni ya Mungu na ni nuru gani ambayo ni ya shetani tukiwa ndotoni??
Ahsante....ila kwa yf sio ishu ya shetani.Mke wangu ni mtu wa prayers sanaaaaaaaa af mwenyewe pia ndio hao hao japo nachechemea..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…