Pre GE2025 Askofu KKKT, Isaac Laizer: Tunatakiwa kuombea roho za wizi wa kura na utekaji nchini

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

the guardian 17

JF-Expert Member
Joined
Aug 15, 2024
Posts
395
Reaction score
570
"Wizi umeota mizizi katika nchi yetu watu wanaiba kila kitu, wanaiba kura. Na ninyi mmeshuhudia juzi tu kwenye mambo haya ya kura kura pamoja na kwamba tumesikia ucaguzi umekuwa huru na wa haki, si kweli. Na wengine kwa ajili ya kutaka kupata nafasi wamewaua wengine, ndugu zangu tunapaswa kuombea roho hiyo" Dkt Isaac Laizer, Askofu KKKT Dayosisi ya Magharibi
Your browser is not able to display this video.

Kupata taarifa na matukio yanayojiri kuelekea uchaguzi mkuu kwa kila mkoa ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025
 
Sasa mtu aibe kura aingie madarakani ataacha kuiba mali ya umma
 
Watu wa Mungu utawajua tu. Injili yao inachoma kama Moto.

Asante Bana Askofu
 
Wizi wa kura na fedha uko hukohuko kkkt.
Yawezekana ccm imejifunza huko
 
Kuombea au kukemea? Ebu rekebisha hapo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…