MzalendoHalisi
JF-Expert Member
- Jun 24, 2007
- 4,679
- 1,612
Naona MUHAS na UDOM wakifungua nafasi na kuchukua wadaktari 1000 kila chuo kwa mwaka..basi KCMC, Bugando, HKMU, IMTU watakufa tu..maana serikali wakati ada ni 1.5m private ni zaidi za 5.0 m yaani mara 3 ..yaani hivi vyuo vinapata wanafunzi kupitia Mikopo ili kujitajirisha???
Tuangalie tu 5 years ..nasema private hawatapata wanafunzi!!
Je kwa nini TCU isiharmonize fees kwa public na private..kwani Bodi ndo hutoa Mikopo???
Tuangalie tu 5 years ..nasema private hawatapata wanafunzi!!
Je kwa nini TCU isiharmonize fees kwa public na private..kwani Bodi ndo hutoa Mikopo???