johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Askofu Malasusa wa DMP amesema kinachoangaliwa siyo wingi bali ubora wa kazi uliyoifanya hapa duniani na kwamba hayati Magufuli amehudumu kwa muda mfupi kama Rais lakini kazi zake ni nyingi na bora.
Hayati Magufuli alikuwa ni Kiongozi wa kipekee barani Afrika.
Askofu Malasusa amesema hayo katika ibada ya Ijumaa kuu katika Kanisa la CCT Chuo Kikuu cha Dar es salaam.
Source TBC.
Hayati Magufuli alikuwa ni Kiongozi wa kipekee barani Afrika.
Askofu Malasusa amesema hayo katika ibada ya Ijumaa kuu katika Kanisa la CCT Chuo Kikuu cha Dar es salaam.
Source TBC.