Pre GE2025 Askofu Malasusa: Yeyote anayetamani kuleta machafuko katika nchi tumsihi na kumuombea ashindwe katika Jina la Yesu

Pre GE2025 Askofu Malasusa: Yeyote anayetamani kuleta machafuko katika nchi tumsihi na kumuombea ashindwe katika Jina la Yesu

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Huyu inaonekana ni kiongozi mnafiki mkubwa.

Kiongozi unatakiwa zaidi kuongelea haki. Toka kale vita zilikuwepo, na kuna wakati Mungu alizibariki vita hizo kwa sababu zilikjwa ni vita za kuitafuta haki.

Kiongozi mwenye hekima, siku zote huzungumzia haki. Kwa sababu machafuko mengi na vita chanzo chake ni dhuluma. Hivi unaweza kumwambia anayepigwa, tena kwa uonevu, asipige kelele wakati anapigwa?
Jitu fala kabisa, eti na hyo ni kiongozi wa dini. Halioni atrocities zinazofanywa na serikali. stupid tena
 
Back
Top Bottom