Askofu Mkombo(Ktoka DRC) amevunja Duka Usiku wa Kuamukia Leo!!!!

Askofu Mkombo(Ktoka DRC) amevunja Duka Usiku wa Kuamukia Leo!!!!

Dini zakuunga unga utaziona2 dhuma huta wala naamani hupotea, lakini kwakua kafanya mkirsto hauta ckia huyo padri kasima mishwa kizimbani wala nini yataisha kimya kimya na ikibidi serikali ita muomba msamaa bila kujali tendo alicho fanya nikinyume cha sheria, ila sasa hapo ange fanya mslim mtu kama ponda, Basaleh, nk vyombo vyahabari vyote vinge ponda humu ndani ndio ucseme kila mgala ange lalamikia ugaidi bila kujua waondio wa a fuga magaid mfno huyo mconga kwanini hilo kanisa acnge fungua kwao? Au hamna waumini? Mfano mwengine ni mwaka jana serikali ilipo mkamata padri waki nigeria kwakosa la cocen hatacjui ele kesi iliishaje hiindiyo serikali ya mfumo cristo! Mcongo atoke kwake aje kumnyanya mtanzani kwenye ardh yake kisa kwanini asali kanisani kwake atake kupigana na polic kisa yeye padri akaidi amri ya polic kisa yeye mcristo. Nawaomba wahusika wali shuulikie hili jambo kwamakini wenda akwa ana shughulika na biashara kharam kama mihadarati na siraa, nihayo2

una elimu gani?
 
Ndugu Kitoabu una tatizo kubwa mno la lugha nakushauri badala ya kuhangaika na ulichokiita mfumo 'cristo'-(Christ/Kristo) tumia muda huo kurudi darasani ukaelimike zaidi HASA upande wa lugha ITAKUSAIDIA MNO!!!
 
Dini zakuunga unga utaziona2 dhuma huta wala naamani hupotea, lakini kwakua kafanya mkirsto hauta ckia huyo padri kasima mishwa kizimbani wala nini yataisha kimya kimya na ikibidi serikali ita muomba msamaa bila kujali tendo alicho fanya nikinyume cha sheria, ila sasa hapo ange fanya mslim mtu kama ponda, Basaleh, nk vyombo vyahabari vyote vinge ponda humu ndani ndio ucseme kila mgala ange lalamikia ugaidi bila kujua waondio wa a fuga magaid mfno huyo mconga kwanini hilo kanisa acnge fungua kwao? Au hamna waumini? Mfano mwengine ni mwaka jana serikali ilipo mkamata padri waki nigeria kwakosa la cocen hatacjui ele kesi iliishaje hiindiyo serikali ya mfumo cristo! Mcongo atoke kwake aje kumnyanya mtanzani kwenye ardh yake kisa kwanini asali kanisani kwake atake kupigana na polic kisa yeye padri akaidi amri ya polic kisa yeye mcristo. Nawaomba wahusika wali shuulikie hili jambo kwamakini wenda akwa ana shughulika na biashara kharam kama mihadarati na siraa, nihayo2

yani hata sijamaliza kusoma kinyesi ulichokunya hapa,unaleta udini tuuu sasa uyo ponda katokea wapi? unaupeo mdogo sn unaonekana ingawa sikujui lakin wewe ni bogasi!
 
hizi ni habari za kupakana matope bila shaka. tatizo sasa hivi kila mtu anajiita askofu. je anayo fimbo ya askofu?. mia

Si ndio hapo mkuu, yaani Watanzania tunapenda sana kupakana matope - na si ajabu mleta habari hizi ni mshindani wao! Hivi inaingia akili kwamba Askofu huyo anaweza kukurupuka kufanya vitendo hivyo bila sababu (kama ametenda kweli), kwanza anazungumzia Askofu kuvunja duka, alafu baadae anazungumzia mambo ya kukimbiwa na wahumini, sasa hii wapi na wapi?

Kama wana tafuati zao i.e kutoelewana wayamalize huko huko siyo kuleta adithi za kutunga humu.
 
pole sana sana wakatoriki na walutheri mlioingia kichwa kichwa huko kwa wapiga kelele...
 
Kwanza 'papaa askofu' ana kibali cha kufanyia biashara nchini? Maana wao wanakomaliaga fungu la kumi n masadaka lazima utoe othwz kanisa utalionea paa 2.

Ndo maana niliunga sana mkono taasisi hizi zilipe kodi. Unakuta 'nabii' anaendesha vogue sport au hammer afu waumini wanakwenda kwa tz11 kanisani na bado anazidi kuwakamua.

USHAURI: rudini makanisa yenu ya asili

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
Dini zakuunga unga utaziona2 dhuma huta wala naamani hupotea, lakini kwakua kafanya mkirsto hauta ckia huyo padri kasima mishwa kizimbani wala nini yataisha kimya kimya na ikibidi serikali ita muomba msamaa bila kujali tendo alicho fanya nikinyume cha sheria, ila sasa hapo ange fanya mslim mtu kama ponda, Basaleh, nk vyombo vyahabari vyote vinge ponda humu ndani ndio ucseme kila mgala ange lalamikia ugaidi bila kujua waondio wa a fuga magaid mfno huyo mconga kwanini hilo kanisa acnge fungua kwao? Au hamna waumini? Mfano mwengine ni mwaka jana serikali ilipo mkamata padri waki nigeria kwakosa la cocen hatacjui ele kesi iliishaje hiindiyo serikali ya mfumo cristo! Mcongo atoke kwake aje kumnyanya mtanzani kwenye ardh yake kisa kwanini asali kanisani kwake atake kupigana na polic kisa yeye padri akaidi amri ya polic kisa yeye mcristo. Nawaomba wahusika wali shuulikie hili jambo kwamakini wenda akwa ana shughulika na biashara kharam kama mihadarati na siraa, nihayo2

Mkuu kawaida yangu hua nawatetea sana Waislaam, lakini kama kuna waislaam wa design ya kwako basi kumbe Serikali itakuwa na kibarua kigumu mpaka ije kuwaweka sawa! Umenisikitisha sana na sijuhi elimu yako ya kiwango gani? Kwa nini unapenda sana kuvaria njuga mambo ya makanisa, kanisa linahusika kivipi na masuala ya Sheikh Ponda na Polisi! Kama Sheikh kaonewa wakutoa uhamuzi ni mahakama na ndio maana amepelekwa huko, kesi hizi za civil/criminal hawajali/kuogopa kama mshitakiwa ni Mkristo/Mchungaji/Padri/Askofu same applies to moslems, sasa tatizo liko wapi?

Mwenzetu naona umeangalia kichwa cha habari bila ya kutafakali kama mleta post hii naye analeta mambo ya majungu tu ya kupakana matope, mara ngapi nyinyi mnakurupusha huko wakati mwingine mnataka kuwa ondoa madarakani unceremoniously viongozi wenu wa dini, unaweza kusema umewahi kusikia wakristo wakifurahia au kutaka kuingilia mambo yenu ya ndani, sana sana wakristo watakacho fanya ni kuwaombea kwa Mungu msikorofishane.
 
Hivi ndugu zangu wakristo mbona mnakubali dini yenu kudhalilishwa hivi? Siku hizi kila kona kuna kanisa linamilikiwa na mtume mara nabii bado kidogo kuna mwehu atajiita YESU KRISTO afungue kanisa na yeye.

Hivi haya makanisa ya vichochoroni haya mara wanaombea maiti ifufuke,mara wamefumaniwa gest,mara wanauza madawa ya kulevya nyie mnaona poa tu?
Potelea mbali mtuite magaidi lakini sisi hatufugi kima aisee hata siku moja.

ndugu unadhihirisha wewe ni mchonganishi,, mafia,,, unataka wakristo tufanye yale hawa waislam walofanya kule daresalam au ni gani? sisi hatupelekwi na upepo in fact maandilko matakatifu yapo clear "kupigana kwetu sio juu ya damu na mali, ni juu ya nguvu za giza yule mwovu shetani, sasa hawa wanapigani mali wala it doesnt worthy discusion in our church.
mwehu kujifanya yesu mbona ishatokea kwanza mwenyewe umesema mwehu, hivo huna haja ya kushangaa mwehu atabaki kuwa mwehu na kama ata wewe umeona ni mwehu basi wote wataona mwehu,, maana kama hayupo upande wetu, hayupo upande wa Mungu pia, na kama sio mpango wa Mungu hautadumu kwani hukuskia yule alitokea marekani akawa anavaa viatu vya dhahabu, na kuondesha gari ya hela nyingi alipotelea wapi?
hii mambo ni mambo jambo,, siku za mwisho watakuja wengi kwa jina la Yesu, zijaribuni hizo roho, watato pepo wakida ni kwa jina la Yesu, ila kumbe ni mbwa mwitu wamejivalia ngozi ya kondoo just let em go,, ,they will die and perish poor u who gained his trust
 
Nayaona haya kuja kutokea ktk familia yangu.mama yangu kagawa nusu ya kiwanja kwa wapumbavu wajenge kanisa,hapa najipanga kwenda kuwatimua
 
Si ndio hapo mkuu, yaani Watanzania tunapenda sana kupakana matope - na si ajabu mleta habari hizi ni mshindani wao! Hivi inaingia akili kwamba Askofu huyo anaweza kukurupuka kufanya vitendo hivyo bila sababu (kama ametenda kweli), kwanza anazungumzia Askofu kuvunja duka, alafu baadae anazungumzia mambo ya kukimbiwa na wahumini, sasa hii wapi na wapi?

Kama wana tafuati zao i.e kutoelewana wayamalize huko huko siyo kuleta adithi za kutunga humu.

Tuko pamoja......!!!, aliyeleta uzi inawezekana ni mchungaji wa kanisa jirani; anatafuta waumini....!!!
 
Tuko pamoja......!!!, aliyeleta uzi inawezekana ni mchungaji wa kanisa jirani; anatafuta waumini....!!!

Mkuu baadhi ya jamaa hawa ni hatari sana, yaani DINI imekwisha geuzwa kitega UCHUMI - sasa sijuhi kama wanasahau adithi ya Bwana Yesu kuhusu "NGAMIA KUPITA NDANI YA TUNDU LA SINDANO!!!!" jamaa hawa hawaogopi moto wa jehanamu mkuu - wanatanguliza hela mbele, mkuu kuna vitimbwi kule - utawasikia wana sema: Wenye tatizo la kupata wachumba leteni elfu kumi kumi madhabauni, baadae-wenye elfu tano tano leteni mbele, baadae wenye hela yoyote leteni mbele: Utaona vijana ambao hawajaoa wanakimbizana kupeleka hela mbele, kumbuka wengi wao ni walala hoi na wengine nauli wamekopa!! Sijuhi tunakwenda wapi?
 
Binadamu tunatakiwa tutulie mtu umezaliwa lutheran au katoliki iweje anajitokeza mtu anaanzisha kanisa lake unamfua kwani yeye ana mungu wa tofauti.

Kabla sijatoa maoni yangu, naomba nieleweke kwamba sipingani na imani ya mtu yeyote (simaaniishi kuwa nakubaliana nazo pia)

Kwa mtu aliye makini na maisha yake ya kiroho hawezi akasema yupo kwenye imani flani kwa kuwa amezaliwa humo. Inakupasa kuifahamu 'Kweli' kwa kupitia Neno la MUNGU na ndipo ujue kwamba upo sehemu sahihi au vp (mbinguni hakuna citizenship by natural/physical birth bali kuna citizenship by spiritual birth)
Hao watu wanaohangaika kwenye makanisa mbalimbali kutafuta miujiza (wengine wanapitiliza kwa kusafiri nchi za nje eti kufuata uponyaji na miujiza) wengi wao c wasomaji wa Neno la MUNGU - biblia.
MUNGU alishaonya, watu wake wanaangamia kwa kukosa maarifa.

Ukiwa na maarifa kwa kupitia Neno la MUNGU na maombi yako binafsi (hufanya uwe na uhusiano wa karibu na MUNGU) hutababaishwa na mtu yeyeote hata ajiite, 'nabii, mtume, askofu, n.k'.
Manabii, mitume, na maaskofu wa kweli wapo, ila kwa sasa kuna watu wanatumia hayo majina vibaya!
 
hapa ndo ninachoka kabisa na izi dini....kweli dini ya kweli ni kuwatembelea yatima,kuwalisha wajane,kuwaona wagonjwa nk
mwisho tutasalia vyumbani mwetu basi,
 
Huyu askofu si ndo yule aliyesemekana kumdhurumu bw Chaula gari aina ya coaster?mi nilijua ameshashughulikiwa.atakuwa juu ya sheria huyo
 
Hivi huyu Askofu ndiye yule kipindi fulani zililetwa taarifa toka mbeya kuwa alimtapeli mtu gari?
 
siku hizi kuna watu wengi wameingia kwenye dini kumake money asa haya makanisa ya kilokole,kuweni makini,tena wana matangazo mengi ya mpesa,tigo mchangie harafu awataji wamepata kiasi gani,inakuwa siri yake,wanaishi maisha ya kifahari,magari ya kifahari,kwa sadaka zenu,mimi sikuhiz uwa nasaidia mtu moja kwa moja,kanisa tayari ni tajiri
 
Mkuu kawaida yangu hua nawatetea sana Waislaam, lakini kama kuna waislaam wa design ya kwako basi kumbe Serikali itakuwa na kibarua kigumu mpaka ije kuwaweka sawa! Umenisikitisha sana na sijuhi elimu yako ya kiwango gani? Kwa nini unapenda sana kuvaria njuga mambo ya makanisa, kanisa linahusika kivipi na masuala ya Sheikh Ponda na Polisi! Kama Sheikh kaonewa wakutoa uhamuzi ni mahakama na ndio maana amepelekwa huko, kesi hizi za civil/criminal hawajali/kuogopa kama mshitakiwa ni Mkristo/Mchungaji/Padri/Askofu same applies to moslems, sasa tatizo liko wapi?

Mwenzetu naona umeangalia kichwa cha habari bila ya kutafakali kama mleta post hii naye analeta mambo ya majungu tu ya kupakana matope, mara ngapi nyinyi mnakurupusha huko wakati mwingine mnataka kuwa ondoa madarakani unceremoniously viongozi wenu wa dini, unaweza kusema umewahi kusikia wakristo wakifurahia au kutaka kuingilia mambo yenu ya ndani, sana sana wakristo watakacho fanya ni kuwaombea kwa Mungu msikorofishane.

Sijuhi-sijui. Uhamuzi-uamuzi, sasa wewe unamuuliza mwenzio ana elimu ya kiwango gani, na wewe tukuulize shule uliyosoma ilikuwa haina somo la kiswahili?
 
Back
Top Bottom