Pre GE2025 Askofu Mkuu Kanisa la AICT atoa tamko Mpina kufukuzwa bungeni

Pre GE2025 Askofu Mkuu Kanisa la AICT atoa tamko Mpina kufukuzwa bungeni

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Shakari

Senior Member
Joined
Jul 6, 2022
Posts
188
Reaction score
570
ASKOFU Mkuu wa Kanisa la Africa Inland Church Tanzania ( AICT) Musa Masanja Magwesela amejitokeza hadharani kuzungunzumia tukio la Mbunge wa Jimbo la Kisesa, Luhaga Mpina kufukuzwa bungeni na Spika wa Bunge Dk. Tulia Ackson kutokana na sakata la utoaji wa vibali vya kuagiza sukari nje ya nchi linalomhusisha Waziri wa Kilimo, Hussein Bashe.

Baba Askofu Magwesela amesema "Napokea na kusoma nakala ya Taarifa kwa vyombo vya Habari ya Mhe. Luhaga Joelson Mpin (Mb) kuhusu kupewa adhabu ya kutohudhuria vikao vya Bunge 15 mfululizo kuanzia Julai 24 2024...Haki huinua taifa; Bali dhambi ni aibu ya watu wowote" Mithali 14:34

Kupitia ukurasa wake rasmi wa X zamani Twitter Baba Askofu Magwesela ameandika ujumbe huo.

306149384_3360182207546891_4391748151387472619_n.jpg

ASKOFU Mkuu wa Kanisa la Africa Inland Church Tanzania ( AICT) Musa Masanja Magwesela
 
Askofu ngosha hamasishaneni bhagosha pyee from Kanda ya ziwa mlianzishe kama Gen Z ya Kenya.
 
ASKOFU Mkuu wa Kanisa la Africa Inland Church Tanzania ( AICT) Musa Masanja Magwesela amejitokeza hadharani kuzungunzumia tukio la Mbunge wa Jimbo la Kisesa, Luhaga Mpina kufukuzwa bungeni na Spika wa Bunge Dk. Tulia Ackson kutokana na sakata la utoaji wa vibali vya kuagiza sukari nje ya nchi linalomhusisha Waziri wa Kilimo, Hussein Bashe.

Baba Askofu Magwesela amesema "Napokea na kusoma nakala ya Taarifa kwa vyombo vya Habari ya Mhe. Luhaga Joelson Mpin (Mb) kuhusu kupewa adhabu ya kutohudhuria vikao vya Bunge 15 mfululizo kuanzia Julai 24 2024...Haki huinua taifa; Bali dhambi ni aibu ya watu wowote" Mithali 14:34

Kupitia ukurasa wake rasmi wa X zamani Twitter Baba Askofu Magwesela ameandika ujumbe huo.
View attachment 3032601
ASKOFU Mkuu wa Kanisa la Africa Inland Church Tanzania ( AICT) Musa Masanja Magwesela
Kwa hiyo...?

Ni kweli "HAKI HUINUA TAIFA NA DHAMBI NI AIBU KWA WATU WOTE...."

Sasa hapo nani mwenye dhambi anayeleta aibu kwa watu wote na ni nani aliye au asiye haki ktk scenario hii yote?

Je, ni Luhaga Mpina au hao waliompa adhabu hiyo anayotumikia sasa?

Nafikiri Baba Askofu alipaswa kuwa wazi na kufunguka kikamilifu bila woga ili watu wajue aliposimamia katika hili..

Lakini kutoa ujumbe wake na kuufunga ktk fumbo, ni ishara kuwa hata yeye hajiamini, ni mwoga wa kurushiwa mishale...!

Askofu na mtumishi wa Yesu Kristo kuionea aibu kweli, ni makosa. Hilo tu tayari ni dhambi....
 
Kwa hiyo kanukuu tu mstari wa Biblia akaishia hapo, ukabila unamsumbua askofu feki shida hawa..!!
Tusijadili kabila la mtu tujadili hoja za mtu !
Anayerukia kwenye kulaumu na kutaja habari za ukabila huyo ndio mbaguzi kweri kweri 🙄🤠

Tujadili hoja za watu sio kabila !
Kabila is nothing excepting kwenye Matambiko tu ndio kuna umuhimu wake 😳😅🤠👍
 
Kanisa la wasukuma hilo, miaka dahari wameshindwa kujitanua sehemu mbalimbali za nchi. Kama Askofu anataka ugomvi kwenye matope, asiogope kuchafuka, maana tutaanzia pale AIC Makongoro mwanza kwenye kwaya, na kashfa anazohusika nazo. Tukimaliza tunakuja kwenye ujenzi wa kanisa hilo
 
Kwa hiyo...?

Ni kweli "HAKI HUINUA TAIFA NA DHAMBI NI AIBU KWA WATU WOTE...."

Sasa hapo nani mwenye dhambi anayeleta aibu kwa watu wote na ni nani aliye au asiye haki ktk scenario hii yote?

Je, ni Luhaga Mpina au hao waliompa adhabu hiyo anayotumikia sasa?

Nafikiri Baba Askofu alipaswa kuwa wazi na kufunguka kikamilifu bila woga ili watu wajue aliposimamia katika hili..

Lakini kutoa ujumbe wake na kuufunga ktk fumbo, ni ishara kuwa hata yeye hajiamini, ni mwoga wa kurushiwa mishale...!

Askofu na mtumishi wa Yesu Kristo kuionea aibu kweli, ni makosa. Hilo tu tayari ni dhambi....
kasimama kwenye haki, yeye sio muuza utamu wala hayuko bungeni, palipo tendeka haki ndipo anaposimama
 
Kwa mtu wenye ubongo unaofanya kwazi, kupitia mstari huu mmoja anaweza pima mawimbi ya mtetemo wa ubongo na hawezi kuhitaji lundo la maandishi ili aelewe
Kwa hiyo kanukuu tu mstari wa Biblia akaishia hapo, ukabila unamsumbua askofu feki shida hawa..!!
 
Askofu ngosha hamasishaneni bhagosha pyee from Kanda ya ziwa mlianzishe kama Gen Z ya Kenya.
Mlikua mnawaponda kwa sasa mnataka wapambane,,,,kila mtu atatetea ugali wake,, hakuna mambo ya kupiganiwa ugali wako na mwanaume mwingine
 
Siku zote tangu wakati ule wa magu mpaka wakati huu maaskofu wawili tu nimekuwa nawasikia wakiwa upande wa wananchi
1. Askofu Dr Bangoza
2. Askofu Mwamakula
Ao wengine waliamua kukaa upande wa farao na kupita mbali kama yule Kuhani alivyompita yule mtu alie jeruliwa na wanyang'anyi na Msamaria mwema akamsaidia.
 
Mlikua mnawaponda kwa sasa mnataka wapambane,,,,kila mtu atatetea ugali wake,, hakuna mambo ya kupiganiwa ugali wako na mwanaume mwingine
Basi watulie, waanche kutuchosha na stori za kufikirika
 
Biblia bhana sasa Kwanini,Isengesema"Haki ni Ya Watu Wote,,Na dhambi hudidimiza Taifa"ingekua poa vibaya mnoo
 
ASKOFU Mkuu wa Kanisa la Africa Inland Church Tanzania ( AICT) Musa Masanja Magwesela amejitokeza hadharani kuzungunzumia tukio la Mbunge wa Jimbo la Kisesa, Luhaga Mpina kufukuzwa bungeni na Spika wa Bunge Dk. Tulia Ackson kutokana na sakata la utoaji wa vibali vya kuagiza sukari nje ya nchi linalomhusisha Waziri wa Kilimo, Hussein Bashe.

Baba Askofu Magwesela amesema "Napokea na kusoma nakala ya Taarifa kwa vyombo vya Habari ya Mhe. Luhaga Joelson Mpin (Mb) kuhusu kupewa adhabu ya kutohudhuria vikao vya Bunge 15 mfululizo kuanzia Julai 24 2024...Haki huinua taifa; Bali dhambi ni aibu ya watu wowote" Mithali 14:34

Kupitia ukurasa wake rasmi wa X zamani Twitter Baba Askofu Magwesela ameandika ujumbe huo.
View attachment 3032601
ASKOFU Mkuu wa Kanisa la Africa Inland Church Tanzania ( AICT) Musa Masanja Magwesela
Huyooohuyoooo anauliza bei za sukarii za Kenya Uganda zambia Malawi huku akicheka aisee
 
ASKOFU Mkuu wa Kanisa la Africa Inland Church Tanzania ( AICT) Musa Masanja Magwesela amejitokeza hadharani kuzungunzumia tukio la Mbunge wa Jimbo la Kisesa, Luhaga Mpina kufukuzwa bungeni na Spika wa Bunge Dk. Tulia Ackson kutokana na sakata la utoaji wa vibali vya kuagiza sukari nje ya nchi linalomhusisha Waziri wa Kilimo, Hussein Bashe.

Baba Askofu Magwesela amesema "Napokea na kusoma nakala ya Taarifa kwa vyombo vya Habari ya Mhe. Luhaga Joelson Mpin (Mb) kuhusu kupewa adhabu ya kutohudhuria vikao vya Bunge 15 mfululizo kuanzia Julai 24 2024...Haki huinua taifa; Bali dhambi ni aibu ya watu wowote" Mithali 14:34

Kupitia ukurasa wake rasmi wa X zamani Twitter Baba Askofu Magwesela ameandika ujumbe huo.
View attachment 3032601
ASKOFU Mkuu wa Kanisa la Africa Inland Church Tanzania ( AICT) Musa Masanja Magwesela
Hawa wahangaike na kuwaandaa waumini kiroho,Wana ashki Sana na siasa
 
Kanisa la wasukuma hilo, miaka dahari wameshindwa kujitanua sehemu mbalimbali za nchi. Kama Askofu anataka ugomvi kwenye matope, asiogope kuchafuka, maana tutaanzia pale AIC Makongoro mwanza kwenye kwaya, na kashfa anazohusika nazo. Tukimaliza tunakuja kwenye ujenzi wa kanisa hilo
Jaribu kujikita kwenye hoja yake, sio viroja.
Kama vipi anzisha uzi unaohusiana na tuhuma dhidi ya Askofu tukukute huko.
 
Back
Top Bottom