Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sababu Dunia na Ukristo wa Magharibi walipokuwa wanaeneza dini yao huku Afrika,walitujengea taswira kuwa shetani ana sura ya mtu mweusi, tena walichora taswira ya mzee wa makaMO mwenye uchovu wa maisha sbb ya umri na Uzee.R.I.P
Lakini hii picha ya pili,imekaa kana kwamba ni wakala wa shetani na si askofu
You're right. That's their religious attire.Nadhani ni utamaduni wao wa mavazi.
Ni aina ya mavazi yao tu, sema yanawapendezea wenye ngozi nyeupeR.I.P
Lakini hii picha ya pili,imekaa kana kwamba ni wakala wa shetani na si askofu
Hili dhehebu lina wafuasi wengi sana kule ethiopia...Hivi kumbe orthodox ipo Africa...I thought ni zaidi Sana huko former Soviet countries..
Hivi Tz orthodox wapo?
Ndio huyo ndugai alikuwa mshauri wake sio
hahahaNyie ndiyo mnaamini shetani ana mapembe😂😂