Askofu Mkuu Kanisa Orthodox nchini Uganda afariki dunia

Askofu Mkuu Kanisa Orthodox nchini Uganda afariki dunia

R.I.P
Lakini hii picha ya pili,imekaa kana kwamba ni wakala wa shetani na si askofu
Sababu Dunia na Ukristo wa Magharibi walipokuwa wanaeneza dini yao huku Afrika,walitujengea taswira kuwa shetani ana sura ya mtu mweusi, tena walichora taswira ya mzee wa makaMO mwenye uchovu wa maisha sbb ya umri na Uzee.
 
R.I.P
Lakini hii picha ya pili,imekaa kana kwamba ni wakala wa shetani na si askofu
Ni aina ya mavazi yao tu, sema yanawapendezea wenye ngozi nyeupe
archbishop-elpidophoros-400_orig.jpg
abpkyrill.jpg
8142061_full-orthodox-saints-quotes-work-archbishop-makarios-greek-orthodox-archdiocese-of-aus...jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hivi kumbe orthodox ipo Africa...I thought ni zaidi Sana huko former Soviet countries..
 
Kanisa hili makao yake ni URUSI..

Kama ilivo Angalikana -Uingereza
Katoliki--Vatican .


Wanapatikana sana sana kwenye zile nchi za Usovieti na zile zilizokua zimeegemea upande wa Ujamaa


Kwa hapa Afrika wengi wako Misri, Ethiopia
 
Back
Top Bottom