Askofu Mkuu Novatus Rugambwa ameteuliwa na Baba Mtakatifu kuwa Balozi wa Vatican katika Visiwa vya Cook, Fiji, Nauru mpaka New Zealand

Askofu Mkuu Novatus Rugambwa ameteuliwa na Baba Mtakatifu kuwa Balozi wa Vatican katika Visiwa vya Cook, Fiji, Nauru mpaka New Zealand

Sky Eclat

JF-Expert Member
Joined
Oct 17, 2012
Posts
57,761
Reaction score
216,011
2 Februari 2021, wakati wa Sikukuu ya kutolewa Bwana Hekaluni Baba Mtakatifu Francisko almteuwa Askofu mkuu Novatus Rugambwa kuwa Balozi mpya wa Vatican kwenye Kisiwa cha Cook. Ataendelea pia kuwa Balozi wa Vatican kwenye Visiwa vya Marshall, Kiribati, Nauru na Tonga. Amebarikiwa pia kuwa ni Balozi wa Vatican nchini New Zealand, Fiji, Palau na Mwakilishi wa Kitume kwenye Bahari ya Pacific.
www.radiomarai.co.tz
#Vaticannews

1612691982904.png
 
Yuko kimya sana Baba Askofu huyu, siasa sijawahi kusikia akiongelea.. Kulikoni? Kila la kheri
 
congolee kwake ,akatumikie vyema hayo majukumu,ila asijisahau hasa katka kindiki hiki Cha Corona ,akaanza kutumiwa na kulishwa matango pori na mabeberu.
 
Huyu si alikua askofu wa jimbo la kigoma then mwaka 2011 kahamishwa kwamba amekua muwakilishi wa papa.
 
Bado anaendelea kuwa mwakikishi wa Pope na ameongezewa kisiwa cha Cook.
Kitu hujui ni bora ukakaa kimya. Aliyekuwa Askofu wa Kigoma ni Protase Iholana Rugambwa na sasa ni Rais wa wamisionari duniani. Ni Katibu mkuu wa moja ya wizara ya Papa. Natafuta picha yake
 
Mbona anaamishwa amishwa huyu Askofu.


Naona atakuwa cardinals soon
 
Huyu si alikua askofu wa jimbo la kigoma then mwaka 2011 kahamishwa kwamba amekua muwakilishi wa papa.
Sio huyu. Yule ni Askofu protace Rugambwa. Huyu ni Novatus Rugambwa yeye ni balozi siku zote.


Novatus Rugambwa ni wa bukoba
Protace Rugambwa ni wa karagwe wote kagera
 
Kila La Heri Kwenye Majukumu.
Tunakupongeza Sana.
 
Back
Top Bottom