Hapana, huyu hajawahi kuongoza jimbo hapa the Tz. Amekuwa balozi wa Vatican ktk mataifa mbalimbali. Alyekuwa askofu Kigoma ni mh. Protase Rugambwa, kwa sasa katibu wa idara ya uenezaji injili kwa matafa huko Vatican.Huyu si alikua askofu wa jimbo la kigoma then mwaka 2011 kahamishwa kwamba amekua muwakilishi wa papa.