Askofu Mkuu wa Canterbury ajiuzulu kwa kashfa ya unyanyasaji iliyokumba Kanisa

Askofu Mkuu wa Canterbury ajiuzulu kwa kashfa ya unyanyasaji iliyokumba Kanisa

5523

JF-Expert Member
Joined
Nov 13, 2014
Posts
2,275
Reaction score
2,410
1.jpg

Askofu Mkuu wa Canterbury ametangaza kujiuzulu wadhifa wake kufuatia ripoti ya kulaaniwa kuhusu mnyanyasaji mkubwa wa watoto anayehusishwa na Kanisa la Uingereza.

Uchunguzi uligundua kuwa Justin Welby, 68, "angeweza na alipaswa" kuripoti unyanyasaji wa John Smyth kwa wavulana na vijana kwa polisi mnamo 2013.

Katika taarifa, Bw Welby alisema kuwa "ni wazi kabisa kwamba lazima nichukue jukumu binafsi na la kitaasisi" kwa majibu yake baada ya kuambiwa mara ya kwanza kuhusu unyanyasaji huo.

"Ninaamini kwamba kujiondoa ni kwa manufaa ya Kanisa la Uingereza."
"Natumai uamuzi huu unaonyesha wazi jinsi Kanisa la Anglikana linaelewa kwa uzito hitaji la mabadiliko na kujitolea kwetu kwa kina kujenga kanisa salama.
Msemaji wa Waziri Mkuu Keir Starmer alisema "anaheshimu uamuzi ambao umechukuliwa na kuwa yuko pamoja na waathiriwa wote".
Haijabainika mara moja ni lini askofu huyo mkuu ataacha wadhifa wake lakini huenda mchakato wa kumpata mtu mwingine ukachukua takribani miezi sita.
 
Ahahahahahahaha!!

Pale kati patamu

Ney ananitega
 
Ndugu zangu kwa anaehitaji kuja kutembea Zanzibar anitafute


Kwa maelezo zaidi tuongee private
 
Hawa mapadri ni kondoo waliopotea,
 
Hii shida kwasasa ingekuwa ndio shekhe uyo sasa UZI upo w 13 kwann amjuulizi kuna kitu kimejificha mungu akikupa akili utatafakali kwanini ikiwa shekhe vijana wanakuja wengi na vicheko vyakinafki nafki ngoja tusemazane ipo ivi mashekh uwa wanafundisha Dini sio uwasama sio mbinu za propaganda sio kudhalilisha imani nyengine ndio mana UZI umepoa akuna wachangiaji lkn upande wa pili mungu kwao anasifiwa lkn muda wa elimu chuki ndio mkubwa kuliko kumtangazs uyo mungu kuwajaza chuki kuwadanganya vijana ndio kipaumbele kikuu sijui wale wanamajini wazinzi kuna kijana mmoja aliniuliza eti nyie mtu akifa mnamkamua kisha utombo wake mnaifadhi kwenye friji !!!!ikifika mwez w ramadhan ndio mnachanganya kwenye futali kwaajili msos!!!!! Shekhe kajikita kumpa elimu ya Dini vijana wake,, uyu mchungaj kajikita DIN Kias kidogo lkn seem kubwa wamewekeza kupiga vita iman pinzani kwanjia yoyote kwake muimu kuifitinisha tu. Ndio utawaona umu waumini wao awawezi kujificha na chuki zao yanapopoma tu. Mkuu w mkoa wa DAR kati apa kawapiga vijembe live wapo juu wanashangaana awaamini ile kauli kaongea mkuu w Mkoa. ambaye alikuwa Iman yao!!!! lkn kachoka vituko vyao udanganyifu kawachana mchana kweupee. Je nani sio shaidi ichi nisemacho chunguza NYUZI utokuta ata 1 ikiwa ni propaganda ya kiislam kuujumu Iman nyingine, lkn chunguza utaona NYUZI uslam vile unaujumiwa!! lkn sio ukristo, ukiwa. ujatosheka na kujua kazi ya baadhi y wachungaji kuwa ni kusambaza chuki ona umu majibu yawachangiaji jinsi chuki zao azijifichi ata ikiwa mada sio ya Dini wao wanachomekea Dini!!!
 
View attachment 3151302
Askofu Mkuu wa Canterbury ametangaza kujiuzulu wadhifa wake kufuatia ripoti ya kulaaniwa kuhusu mnyanyasaji mkubwa wa watoto anayehusishwa na Kanisa la Uingereza.

Uchunguzi uligundua kuwa Justin Welby, 68, "angeweza na alipaswa" kuripoti unyanyasaji wa John Smyth kwa wavulana na vijana kwa polisi mnamo 2013.

Katika taarifa, Bw Welby alisema kuwa "ni wazi kabisa kwamba lazima nichukue jukumu binafsi na la kitaasisi" kwa majibu yake baada ya kuambiwa mara ya kwanza kuhusu unyanyasaji huo.

"Ninaamini kwamba kujiondoa ni kwa manufaa ya Kanisa la Uingereza."
"Natumai uamuzi huu unaonyesha wazi jinsi Kanisa la Anglikana linaelewa kwa uzito hitaji la mabadiliko na kujitolea kwetu kwa kina kujenga kanisa salama.
Msemaji wa Waziri Mkuu Keir Starmer alisema "anaheshimu uamuzi ambao umechukuliwa na kuwa yuko pamoja na waathiriwa wote".
Haijabainika mara moja ni lini askofu huyo mkuu ataacha wadhifa wake lakini huenda mchakato wa kumpata mtu mwingine ukachukua takribani miezi sita.
Mashehe wanao najisi watoto watakamtwa lini

USSR
 
Kujiuzulu tu haitoshi,aburuzwe Mahakamani kwenda kujibu tuhuma,

Ama sivyo basi hata Pdidy na R,Kelly nao waachiwe huru.
 
Mashehe wanao najisi watoto watakamtwa lini

USSR
Skendo tu huwa zinatengenezwa kuchafuana
Wewe na akili zako timamu mtu ana wake wawili watatu wanne tena akanajisi mtoto?
Hizo nguvu na hamu anaitolea wapi?
Kidogo italeta maana Kama Hana mke .
 
Hivi visa mara zote huwa ni mapapa na mapadre
Pamoja na walimu wa madrasa!!!

Usimung'unye maneno,hata walimu wa shule hizi za serikali wanafanya huu ujinga in short hakuna mtoto aliye salama nje ya uwanja wa wazazi wake Mungu tu atusaidie.
 
 
Back
Top Bottom