Hii shida kwasasa ingekuwa ndio shekhe uyo sasa UZI upo w 13 kwann amjuulizi kuna kitu kimejificha mungu akikupa akili utatafakali kwanini ikiwa shekhe vijana wanakuja wengi na vicheko vyakinafki nafki ngoja tusemazane ipo ivi mashekh uwa wanafundisha Dini sio uwasama sio mbinu za propaganda sio kudhalilisha imani nyengine ndio mana UZI umepoa akuna wachangiaji lkn upande wa pili mungu kwao anasifiwa lkn muda wa elimu chuki ndio mkubwa kuliko kumtangazs uyo mungu kuwajaza chuki kuwadanganya vijana ndio kipaumbele kikuu sijui wale wanamajini wazinzi kuna kijana mmoja aliniuliza eti nyie mtu akifa mnamkamua kisha utombo wake mnaifadhi kwenye friji !!!!ikifika mwez w ramadhan ndio mnachanganya kwenye futali kwaajili msos!!!!! Shekhe kajikita kumpa elimu ya Dini vijana wake,, uyu mchungaj kajikita DIN Kias kidogo lkn seem kubwa wamewekeza kupiga vita iman pinzani kwanjia yoyote kwake muimu kuifitinisha tu. Ndio utawaona umu waumini wao awawezi kujificha na chuki zao yanapopoma tu. Mkuu w mkoa wa DAR kati apa kawapiga vijembe live wapo juu wanashangaana awaamini ile kauli kaongea mkuu w Mkoa. ambaye alikuwa Iman yao!!!! lkn kachoka vituko vyao udanganyifu kawachana mchana kweupee. Je nani sio shaidi ichi nisemacho chunguza NYUZI utokuta ata 1 ikiwa ni propaganda ya kiislam kuujumu Iman nyingine, lkn chunguza utaona NYUZI uslam vile unaujumiwa!! lkn sio ukristo, ukiwa. ujatosheka na kujua kazi ya baadhi y wachungaji kuwa ni kusambaza chuki ona umu majibu yawachangiaji jinsi chuki zao azijifichi ata ikiwa mada sio ya Dini wao wanachomekea Dini!!!