Askofu Mkuu wa Canterbury ajiuzulu kwa kashfa ya unyanyasaji iliyokumba Kanisa

Askofu Mkuu wa Canterbury ajiuzulu kwa kashfa ya unyanyasaji iliyokumba Kanisa

Hao wa kanisa la Anglican wanaruhusiwa kuoa .
Nani kawakataza kuoa ? Msimsingizie mungu maana kasema tuje tujaze dunia
Kwa yesu nae vile vile kawaambia muoe muache zinaaa
Kama si Paulo kawaingiza chaka cjui Nani maana mna manabii wapya kila cku
 
Nani kawakataza kuoa ? Msimsingizie mungu maana kasema tuje tujaze dunia
Kwa yesu nae vile vile kawaambia muoe muache zinaaa
Kama si Paulo kawaingiza chaka cjui Nani maana mna manabii wapya kila cku
Kwa hiyo wewe tatizo lako nini ?
 
Hii shida kwasasa ingekuwa ndio shekhe uyo sasa UZI upo w 13 kwann amjuulizi kuna kitu kimejificha mungu akikupa akili utatafakali kwanini ikiwa shekhe vijana wanakuja wengi na vicheko vyakinafki nafki ngoja tusemazane ipo ivi mashekh uwa wanafundisha Dini sio uwasama sio mbinu za propaganda sio kudhalilisha imani nyengine ndio mana UZI umepoa akuna wachangiaji lkn upande wa pili mungu kwao anasifiwa lkn muda wa elimu chuki ndio mkubwa kuliko kumtangazs uyo mungu kuwajaza chuki kuwadanganya vijana ndio kipaumbele kikuu sijui wale wanamajini wazinzi kuna kijana mmoja aliniuliza eti nyie mtu akifa mnamkamua kisha utombo wake mnaifadhi kwenye friji !!!!ikifika mwez w ramadhan ndio mnachanganya kwenye futali kwaajili msos!!!!! Shekhe kajikita kumpa elimu ya Dini vijana wake,, uyu mchungaj kajikita DIN Kias kidogo lkn seem kubwa wamewekeza kupiga vita iman pinzani kwanjia yoyote kwake muimu kuifitinisha tu. Ndio utawaona umu waumini wao awawezi kujificha na chuki zao yanapopoma tu. Mkuu w mkoa wa DAR kati apa kawapiga vijembe live wapo juu wanashangaana awaamini ile kauli kaongea mkuu w Mkoa. ambaye alikuwa Iman yao!!!! lkn kachoka vituko vyao udanganyifu kawachana mchana kweupee. Je nani sio shaidi ichi nisemacho chunguza NYUZI utokuta ata 1 ikiwa ni propaganda ya kiislam kuujumu Iman nyingine, lkn chunguza utaona NYUZI uslam vile unaujumiwa!! lkn sio ukristo, ukiwa. ujatosheka na kujua kazi ya baadhi y wachungaji kuwa ni kusambaza chuki ona umu majibu yawachangiaji jinsi chuki zao azijifichi ata ikiwa mada sio ya Dini wao wanachomekea Dini!!!
Mara mabikira 72 mara kobazi ndicho walichofundishwa sunday school hicho😀
 
Tatizo mkuu wa kanisa alibariki huu ushenzi na alikuwa anajua tangu zamani sana
Sasa huyu mnyanyasaji kafa wakakaa kimya tena ila sasa pressure imezidi wameamua kumshinikiza ajiuzuru
Ni sawa akiondoka maana ndio aliebariki ndoa ya jinsia moja

Huyu aliekufa aliendelea ku abuse watoto hata alipohamishiwa South Africa
Hii ni kesi ya kanisa moja kuu sasa kwanini mtu inamuuma na kuchomekea mengine na dini zingine?
Bora mleta mada kalileta maana kuna waandishi waliuchuna kama hapajatokea kitu
😄
 
Utawakuta pale mzimbaz center wako biz na nusu vishungi eti wao hawana matamanio hahaa labda wawe wamejitengeneza kama gari hii tunaipa 4wheel hii hapana jaman mwanamk na manaume aliseshiba haitatokea kukaa pamoja wasitamaniane ndo yalyopo makanisani wakiwa masseter hawapo au wamewachoka wanahamia kwa watt wa kiume simba ikipatikana sister anahamishwa na mtt anapelekwa kambi za kulelea mfano dar anapelekwa peramiho wa mwanza anapelekwa tanga hizi zilianzishwa kwa wao
 
Back
Top Bottom