Askofu Mkuu wa Canterbury ajiuzulu kwa kashfa ya unyanyasaji iliyokumba Kanisa

Hao wa kanisa la Anglican wanaruhusiwa kuoa .
Nani kawakataza kuoa ? Msimsingizie mungu maana kasema tuje tujaze dunia
Kwa yesu nae vile vile kawaambia muoe muache zinaaa
Kama si Paulo kawaingiza chaka cjui Nani maana mna manabii wapya kila cku
 
Nani kawakataza kuoa ? Msimsingizie mungu maana kasema tuje tujaze dunia
Kwa yesu nae vile vile kawaambia muoe muache zinaaa
Kama si Paulo kawaingiza chaka cjui Nani maana mna manabii wapya kila cku
Kwa hiyo wewe tatizo lako nini ?
 
Mara mabikira 72 mara kobazi ndicho walichofundishwa sunday school hicho😀
 
Tatizo mkuu wa kanisa alibariki huu ushenzi na alikuwa anajua tangu zamani sana
Sasa huyu mnyanyasaji kafa wakakaa kimya tena ila sasa pressure imezidi wameamua kumshinikiza ajiuzuru
Ni sawa akiondoka maana ndio aliebariki ndoa ya jinsia moja

Huyu aliekufa aliendelea ku abuse watoto hata alipohamishiwa South Africa
Hii ni kesi ya kanisa moja kuu sasa kwanini mtu inamuuma na kuchomekea mengine na dini zingine?
Bora mleta mada kalileta maana kuna waandishi waliuchuna kama hapajatokea kitu
😄
 
Utawakuta pale mzimbaz center wako biz na nusu vishungi eti wao hawana matamanio hahaa labda wawe wamejitengeneza kama gari hii tunaipa 4wheel hii hapana jaman mwanamk na manaume aliseshiba haitatokea kukaa pamoja wasitamaniane ndo yalyopo makanisani wakiwa masseter hawapo au wamewachoka wanahamia kwa watt wa kiume simba ikipatikana sister anahamishwa na mtt anapelekwa kambi za kulelea mfano dar anapelekwa peramiho wa mwanza anapelekwa tanga hizi zilianzishwa kwa wao
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…