TANZIA Askofu Mstaafu wa Dayosisi ya Kaskazini ( KKKT) Dkt. Erasto Kweka afariki Dunia

TANZIA Askofu Mstaafu wa Dayosisi ya Kaskazini ( KKKT) Dkt. Erasto Kweka afariki Dunia

peno hasegawa

JF-Expert Member
Joined
Feb 24, 2016
Posts
14,255
Reaction score
23,949
Taarifa zaidi zitaendelea kutufikia.
Poleni kwa msiba mkubwa!

713E9C9B-471A-43FF-B1B4-97C343145B09.jpeg
 
Umevipiga vita vilivyo vyema, mwendo umeumaliza na IMANI umeilinda Baba Askofu Kweka, wana Kaskazini watatukumbuka kwa kazi zako nzuri za kulitumikia kanisa wakati wa Uhai wako. Pole wana Dayosisi ya Kaskazini, pole kwa Familia !
 
Kuna wakati nadhani watu huwa tunatumia baadhi ya maneno sehemu zisizotakiwa ama kwa kujua au kutokujua.

Sasa mdau unasema ”laugh out loud” na ni mtu amekufa umemaanisha nini,au siku hizi tukifa hatulii tena tunacheka?
Watu wengi hawajui kutolofautisha "l ol" na " l oo" ya kusikitika kiswahili.
 
Back
Top Bottom