Kimalingano
JF-Expert Member
- Mar 27, 2023
- 709
- 919
RIP Bishop.Marehemu Mtoto wake wa kiume alikuwa rafiki yangu.
Alifariki kwa sababu ya ulevi.Niliwahi kumuuliza inakuwaje mtoto wa Askofu anakuwa hivyo.Alinijibu kwa mkato; "Kwani Mimi Askofu?"
Alifariki kwa sababu ya ulevi.Niliwahi kumuuliza inakuwaje mtoto wa Askofu anakuwa hivyo.Alinijibu kwa mkato; "Kwani Mimi Askofu?"