peno hasegawa
JF-Expert Member
- Feb 24, 2016
- 14,255
- 23,949
Mungu amuweke pahala anapostahiki. Poleni wafiwa na muwe na subra kipindi hichi kigumuTaarifa zaidi zitaendelea kutufikia.
Poleni kwa msiba mkubwa!
Kuna wakati nadhani watu huwa tunatumia baadhi ya maneno sehemu zisizotakiwa ama kwa kujua au kutokujua.Lol alale pema peponi
nimeshangaa na mimi piaKuna wakati nadhani watu huwa tunatumia baadhi ya maneno sehemu zisizotakiwa.
Sasa mdau unasema ”laugh out loud” na ni mtu amekufa umemaanisha nini,au siku hizi tukifa hatulii tena tunacheka?
Pole kwa wafiwa.Kuna wakati nadhani watu huwa tunatumia baadhi ya maneno sehemu zisizotakiwa.
Sasa mdau unasema ”laugh out loud” na ni mtu amekufa umemaanisha nini,au siku hizi tukifa hatulii tena tunacheka?
Oooooh
Mungu aipokee roho ya marehemu na ampatie masamaha ya dhambi zake
Watu wengi hawajui kutolofautisha "l ol" na " l oo" ya kusikitika kiswahili.Kuna wakati nadhani watu huwa tunatumia baadhi ya maneno sehemu zisizotakiwa ama kwa kujua au kutokujua.
Sasa mdau unasema ”laugh out loud” na ni mtu amekufa umemaanisha nini,au siku hizi tukifa hatulii tena tunacheka?