RIP Bishop.Marehemu Mtoto wake wa kiume alikuwa rafiki yangu.
Alifariki kwa sababu ya ulevi.Niliwahi kumuuliza inakuwaje mtoto wa Askofu anakuwa hivyo.Alinijibu kwa mkato; "Kwani Mimi Askofu?"
RIP Bishop.Marehemu Mtoto wake wa kiume alikuwa rafiki yangu.
Alifariki kwa sababu ya ulevi.Niliwahi kumuuliza inakuwaje mtoto wa Askofu anakuwa hivyo.Alinijibu kwa mkato; "Kwani Mimi Askofu?"