Zakaria Lang'o
JF-Expert Member
- Apr 2, 2012
- 2,593
- 2,768
Ndivyo ilivyo ndugu yangu, tuko njia panda, lakini yana mwisho , tujikaze kiume madhalimu yasitumeze!!!Bandiko lako limenigusa sana! Na kunihuzunisha kwa yanayoendelea,Tena kwenye hiyo kauli mbiu yao waliyoigundua sasa hivi"WAPOTEZWE WAMEZIDI".mungu ibariki tanzania
UMEONA USHIRIKINA WAPI ? KUHUBIRI AMANI ????Wakristu wameanza ushirikina?
Zipo nyingi tu humu, ukifuatilia utaziona.Mkuu uwe unaanzisha thread mara moja moja. Nimependa uandishi na hoja zako.
We mtumwa usinishobokeeHuo ukristu una hati miliki nao wewe kafir mweusi?
Yeye amenukuu kutoka kwenye Gazeti la RAI ya leoWe figganigga hilo neno la kishirikina 'albadir' liishie huko huko usililete kwenye Ukristo
Koma kabisa
Ok thanks, ngoja nikudukue kidogo...Zipo nyingi tu humu, ukifuatilia utaziona.
Siyo ushirikina. Tangu mwanzo. Walipewa mamlaka ya kufungia jambo lolote duniani na Mungu analifungia mbinguniWakristu wameanza ushirikina?
Mkuu umelenga mule mule..Mleta mgawanyiko mkubwa hapa nchini ni yule anayedai kuwa yeye ndiye "Mzalendo" na wengine wote wenye mawazo tofauti na mtazamo wake ni "Wasaliti"
Mvurugaji wa amani yetu ni yule anayewafukuza watu wengine kazi wakiwa na taaluma zao kwa kisingizio cha kukosa vyeti vya Form IV, huku wapambe wanaotumika kuvuruga amani wanasifiwa hata kama majina yao ya elimu ni feki.
Nenda kwenye Mkutano wowote wa kitaifa ujionee, hasa wa kiserikali jinsi ubaguzi ulivyotamalaki. Ukiwa upinzani hata kama una haki ya kutambulishwa watajifanya vipofu ilimradi jina lako lisisike.
Imejitokeza nadharia ya kishetani kwamba kuna kitu kinaitwa "Vita ya Uchumi" ambayo usipofikiri kama wao basi umekaribisha "Watu wasiojulikana" mlangoni.
Kwamba sasa "Watu wasiojulikana" ndio wamekuwa watetezi wakubwa wa serikali ya Chama cha Mapinduzi ni jambo lililo bayana. Ukiwauripoti Polisi unaona dhahiri jinsi Polisi wanavyowagwaya.
Leo hii inasikitisha na kutia kinyaa unapokutana na kada wa CCM anayetamba bila lepe la aibu kuwa: "Apotezwe tu naye amezidi" Yaani CCM iliyokuwa tayari kujikosoa na kukosolewa, leo imekuwa chama kinacholea ukatili dhidi ya walio na hoja kinzani.
Chama kilicholeta kauli mbiu ya "Kushindana bila kupigana," leo kimeishiwa hoja na kubakiza vitisho vinavyotumiwa na magenge ya "Wapotezaji"
Kwa hakika CCM IMEIVURUGA MAMA TANZANIA KWA SIASA ZA CHUKI NA VISASI!!!
Mhe. Askofu ombeni sana, maana tumeingiliwa, si na joka tu, bali pia na "Wakana Mungu" wenye kiu ya damu za raia wenzao!!!!!!!
Nikushobokee una chura?We mtumwa usinishobokee
Nadhani dhana nzima ya mahubiri ya askofu imelala hapo. Kujifanya Mzalendo huku ukihubiri utengano huna tofauti na joka analokisema baba Askofu.Nimeondoka na hili,
HAKUNA UZALENDO BILA UMOJA
Amina.
Mtoa post kaanza vibaya na heading yake, embu soma.Wakristu wameanza ushirikina?
Unajing'ata nini mkuu sema Magufuli na sio yule ambaye sijui anajifanya mzalendoMleta mgawanyiko mkubwa hapa nchini ni yule anayedai kuwa yeye ndiye "Mzalendo" na wengine wote wenye mawazo tofauti na mtazamo wake ni "Wasaliti"
Mvurugaji wa amani yetu ni yule anayewafukuza watu wengine kazi wakiwa na taaluma zao kwa kisingizio cha kukosa vyeti vya Form IV, huku wapambe wanaotumika kuvuruga amani wanasifiwa hata kama majina yao ya elimu ni feki.
Nenda kwenye Mkutano wowote wa kitaifa ujionee, hasa wa kiserikali jinsi ubaguzi ulivyotamalaki. Ukiwa upinzani hata kama una haki ya kutambulishwa watajifanya vipofu ilimradi jina lako lisisike.
Imejitokeza nadharia ya kishetani kwamba kuna kitu kinaitwa "Vita ya Uchumi" ambayo usipofikiri kama wao basi umekaribisha "Watu wasiojulikana" mlangoni.
Kwamba sasa "Watu wasiojulikana" ndio wamekuwa watetezi wakubwa wa serikali ya Chama cha Mapinduzi ni jambo lililo bayana. Ukiwauripoti Polisi unaona dhahiri jinsi Polisi wanavyowagwaya.
Leo hii inasikitisha na kutia kinyaa unapokutana na kada wa CCM anayetamba bila lepe la aibu kuwa: "Apotezwe tu naye amezidi" Yaani CCM iliyokuwa tayari kujikosoa na kukosolewa, leo imekuwa chama kinacholea ukatili dhidi ya walio na hoja kinzani.
Chama kilicholeta kauli mbiu ya "Kushindana bila kupigana," leo kimeishiwa hoja na kubakiza vitisho vinavyotumiwa na magenge ya "Wapotezaji"
Kwa hakika CCM IMEIVURUGA MAMA TANZANIA KWA SIASA ZA CHUKI NA VISASI!!!
Mhe. Askofu ombeni sana, maana tumeingiliwa, si na joka tu, bali pia na "Wakana Mungu" wenye kiu ya damu za raia wenzao!!!!!!!