Askofu Mwamakula: DP World kujenga msikiti wa Masjid al jumaa wa Mbeya na kuendelea kusaidia dini ya kiislam nchini Tanzania!

Askofu Mwamakula: DP World kujenga msikiti wa Masjid al jumaa wa Mbeya na kuendelea kusaidia dini ya kiislam nchini Tanzania!

Huyu askofu akumbuke pia kuelezea namna wazungu wanavyojenga makanisa na kufadhili mataasisi ya dini ya wakiristu ambayo yameenea kila kona.
Wazungu wanajenga mahospital shule ambayo wakristo na waislamu wote wanatumia...nao wangefanya Ivo kama wakijenga hospital wakazi wote wa mbeya bila kujali dini zao wanaweza kupata Huduma.
DP ana uhusiano na Serikali ya Tanzania ambayo Katiba ya si ya kidini. Msitake kutuletea Sharia kama mnavyoiingiza kidogo kidogo Zanzibar. Katika inatambua kuwa watanzania wote ni sawa. Sasa kama hapa MWANZO tu ameishaonyesha upendeleo wa kidini huko mbeleni je? Si ndyo waajiriwa wote watakuwa Waislam!! Na social responsibility zake ataelekeza kwa Waislam!
Baadhi yenu nyinyi Waislam mmegubikwa na Udini mbaka masuala ya kawaida kabisa ya KUTIMIA hekima yanawashinda!
Ndyo maana Waislam wamekatibishwa Europe lakini sasa wanataka kuwapanda kichwani na kutaka sharia ikubaliwe.
Mwana Mfalme wa Saudia mwenzenu ameisha yasitukia mafundisho ya Quran
Asante Kwa kunisaidia kumjibu huyo mdini.
 
Wazungu wanajenga mahospital shule ambayo wakristo na waislamu wote wanatumia...nao wangefanya Ivo kama wakijenga hospital wakazi wote wa mbeya bila kujali dini zao wanaweza kupata Huduma.

Asante Kwa kunisaidia kumjibu huyo mdini.
Haya makanisa yanayojengwa nani mwisilam kaingia?? Na kama mwislamu anaingia kanisani shida iko wapi misikiti ikijengwa, si na wakristo wataingia? Acheni udinii, msikiti kwa wote na makanisa kwa wote. Toeni nongwa msikiti unapojengwa na waislamu wa kiarabu ndivyo na makanisa yanavyojengwa na wazungu na wamalekaniii.
 
Kampuni ya DP World ambayo katika Mkataba wa Bandari kati ya Ufalme wa Dubai na Serikali ya Tanzania ndiyo imepewa kuendesha Bandari zote Tanzania Bara (Tanganyika) inatumia faida inayopata katika biashara zake kusaidia misikiti na Waislamu kwa ujumla.

Mwaka huu wakati wa mfungo wa Radhamani, wawakilishi wa DP World walitembelea Mbeya ambako waliahidi kujenga Msikiti wa Masjid Al Jumaa na misaada mbalimbali. Baada ya hapo walisema wanakwenda Zanzibar ambako nako pia watafanya hayo hayo.

Video:

Video hii imerekodiwa kwa lugha ya Kingereza na Kiswahili na ilichukuliwa Mkoani Mbeya! Je, ulijua kuwa Kampuni ya DP ina malengo pia ya kukuza Uislamu mahali popote pale inapokuwa duniani? Je, ulijua kuwa DP World ina malengo ya kidini? Je, unafikiri hii ndiyo sababu Sheikh Mwaipopo alitoa kauli kali ya kutisha na kuonya Waislamu wasihudhurie Mkutano wa Temeke wa 23 Julai 2023 uliolenga kujadili na kuhoji Mkataba wa Bandari unaolalamikiwa sana?

Je, unafikiri kwa nini wawakilishi wa DP World walipofika hawakutembelea Makanisa, viwanja vya michezo, vyuo vikuu badala yake waliamua kutembelea Misikiti na kuahidi kutoa misaada huko? Je, faida watakayopata DP World katika kuendesha Bandari zetu itatokana na Kodi za Waislamu pekee?

Je, unafikiri moja ya sababu za Spika Dkt. Tulia kuutetea Mkataba wa Bandari na kufikia hatua ya kuwaita wanaoupinga kuwa ni 'wapumbavu wasiosha upumbavu wao' ni pamoja na hao DP World kutembelea Mbeya na kuwasidia wapiga kura wake Waislamu kwa kuaahidi kuwajengea Msikiti wa Masjid Al Jumaa?

Usimkarikie Askofu Mwamakula kwa kuandika haya na kuweka video hii hapa, wakasikirikie DP World kwa kuweka malengo yao wazi kuwa wanasaidia misikiti na sio dini nyingine. Pia, walaumu waliovujisha video hii hadi ikamfikia Askofu. Je, ni nani sasa anayeleta udini katika mjadala huu wa Mkataba wa Bandari? Je, ni DP World au wanaoupinga Mkataba wa Bandari?

Je, kuweka hadharani habari hizi ni uchochezi, uhalisia au uzalendo? Je, ni kwa nini viongozi wa Serikali na CCM hawaweki wazi wananchi katika mikutano yao ya hadhara kuwa faida mojawapo ya DP World ni pamoja na kujenga misikiti na kusaidia Uislamu? Je, ni kwa nini hili linafichwa wakati liko wazi hata katika malengo ya DP World? Kama Serikali haikujua malengo hayo, Waarabu hao wangesafiri hadi Mbeya kwa kificho na kuahidi kujenga misikiti nchini?
Je, nini kimekushangaza? Je, nini maoni yako?

Mwana Kondoo Ameshinda! Tumfuate!
Askofu Emmaus Bandekile Mwamakula
Dar es Salaam, 26 Julai 2023; 07:55 am.
askofu, unakumbuka miaka ile walihangaika sana kupeleka mchele na ndani ya mchele wakaweka kuran? hao wamekuja Tanzania kuvuruga mshikamano kati ya wakristo na waislam kwa faida yao. wakitoka hapo wakajenge kanisa basi kama sio wadini na wamekuja kusambaza dini.
 
Haya makanisa yanayojengwa nani mwisilam kaingia?? Na kama mwislamu anaingia kanisani shida iko wapi misikiti ikijengwa, si na wakristo wataingia? Acheni udinii, msikiti kwa wote na makanisa kwa wote. Toeni nongwa msikiti unapojengwa na waislamu wa kiarabu ndivyo na makanisa yanavyojengwa na wazungu na wamalekaniii.
Sio wamalekani ni wamarekani.....siku hizi hawajengi makanisa wanatoa Huduma za kijamii
 
wana ujasiri sana na very strategic kwenda kufanya icho kitu msikitini, wanategemea support ya waislam kwenye hii issue, na wanajua utawala na viongozi wakubwa ni waislam. wamesahau kuwa kuna wakristo pia wengi tu Tanzania, na kilichofanyika Lebanon hakiwezekani kufanyika Tanzania.
 
hawa jamaa wamejipanga tangu zamani sana, tangu ramadhan iliyopita, na wamejipanga kututenganisha sana aisee. watatugawa na kutusambaratisha kabisa. kwanini wamepitia kwenye dini? si wangeenda hata kwenye vituo vya watoto yatima au wakachime hata visima vijijini huko ili kuonyesha pengine kwamba sio wadini. Tanganyika hatupo salama kabisa dhidi ya watu hawa.
 
Hao matapeli wa kiarabu wamefeli na vilemba vyao, kwa akili za wajinga hapo wanaweza kufurahi wanasaidiwa, kumbe hawajui huo msaada wanaopewa ni kutokana na kile walichoibiwa toka kwenye ule mkataba wa hovyo wa bandari.
waarabu hawanaga akili aisee, mwenye akili hapo asingefikia kwenye msikiti, angefikia shuleni, vyuoni, hospitali au watoto yatima, ili kuficha udini kidogo, wao wamekuja uchi bila hata kupepesa macho.
 
Hawa Waislam Siasa Kali ndyo wenye kuleta shida na hoja zao Wala hazina mashiko. Mfano Mtu anasema wazungu ati wanawakengea wakiristo makanisa, hiyo walifanyaga zama hizo. Siku HIZI wakiristo hujenga makanisa yao kwa michango na ndyo maana utaona makanisa kama pale magomeni, TANKI BOVU, Tabata yamechukua muda mrefu kukamilika.
Lakini wao Misikiti inachipuka kama uyoga; na hilo wakiristo hawana shida nalo, lakini tu msiichanganye Serikali na Wala msituletee Ugaidi
Ushahidi wa uenezeji wa Ugaidi video hapa chini, ambayo Inaonyesha Mwana Mfalme ameona haiendani na vision yake ya 2023 hivyo amepiga marufuku more funding of mosques abroad. But the same agenda inatekelezwa na nchi nyingine za Kiarabu DUBAI, IRAN QATAR na sasa pia UTURUKI CHINI YA Egorgan
 
Kampuni ya DP World ambayo katika Mkataba wa Bandari kati ya Ufalme wa Dubai na Serikali ya Tanzania ndiyo imepewa kuendesha Bandari zote Tanzania Bara (Tanganyika) inatumia faida inayopata katika biashara zake kusaidia misikiti na Waislamu kwa ujumla.

Mwaka huu wakati wa mfungo wa Radhamani, wawakilishi wa DP World walitembelea Mbeya ambako waliahidi kujenga Msikiti wa Masjid Al Jumaa na misaada mbalimbali. Baada ya hapo walisema wanakwenda Zanzibar ambako nako pia watafanya hayo hayo.

Video:

Video hii imerekodiwa kwa lugha ya Kingereza na Kiswahili na ilichukuliwa Mkoani Mbeya! Je, ulijua kuwa Kampuni ya DP ina malengo pia ya kukuza Uislamu mahali popote pale inapokuwa duniani? Je, ulijua kuwa DP World ina malengo ya kidini? Je, unafikiri hii ndiyo sababu Sheikh Mwaipopo alitoa kauli kali ya kutisha na kuonya Waislamu wasihudhurie Mkutano wa Temeke wa 23 Julai 2023 uliolenga kujadili na kuhoji Mkataba wa Bandari unaolalamikiwa sana?

Je, unafikiri kwa nini wawakilishi wa DP World walipofika hawakutembelea Makanisa, viwanja vya michezo, vyuo vikuu badala yake waliamua kutembelea Misikiti na kuahidi kutoa misaada huko? Je, faida watakayopata DP World katika kuendesha Bandari zetu itatokana na Kodi za Waislamu pekee?

Je, unafikiri moja ya sababu za Spika Dkt. Tulia kuutetea Mkataba wa Bandari na kufikia hatua ya kuwaita wanaoupinga kuwa ni 'wapumbavu wasiosha upumbavu wao' ni pamoja na hao DP World kutembelea Mbeya na kuwasidia wapiga kura wake Waislamu kwa kuaahidi kuwajengea Msikiti wa Masjid Al Jumaa?

Usimkarikie Askofu Mwamakula kwa kuandika haya na kuweka video hii hapa, wakasikirikie DP World kwa kuweka malengo yao wazi kuwa wanasaidia misikiti na sio dini nyingine. Pia, walaumu waliovujisha video hii hadi ikamfikia Askofu. Je, ni nani sasa anayeleta udini katika mjadala huu wa Mkataba wa Bandari? Je, ni DP World au wanaoupinga Mkataba wa Bandari?

Je, kuweka hadharani habari hizi ni uchochezi, uhalisia au uzalendo? Je, ni kwa nini viongozi wa Serikali na CCM hawaweki wazi wananchi katika mikutano yao ya hadhara kuwa faida mojawapo ya DP World ni pamoja na kujenga misikiti na kusaidia Uislamu? Je, ni kwa nini hili linafichwa wakati liko wazi hata katika malengo ya DP World? Kama Serikali haikujua malengo hayo, Waarabu hao wangesafiri hadi Mbeya kwa kificho na kuahidi kujenga misikiti nchini?
Je, nini kimekushangaza? Je, nini maoni yako?

Mwana Kondoo Ameshinda! Tumfuate!
Askofu Emmaus Bandekile Mwamakula
Dar es Salaam, 26 Julai 2023; 07:55 am.
Na Ujerumani kwa miaka yote zaidi 100 toka waingie mpaka leo wamejenga makanisa mangapi? Kuna waliolalamika? Wote tuliona sawa tu, si ni kwa mapenzi yao.
Sasa kelele zoteee leo za nini? Njaa na uoga wa hawa wachungaji unezidi!
 
Na Ujerumani kwa miaka yote zaidi 100 toka waingie mpaka leo wamejenga makanisa mangapi? Kuna waliolalamika? Wote tuliona sawa tu, si ni kwa mapenzi yao.
Sasa kelele zoteee leo za nini? Njaa na uoga wa hawa wachungaji unezidi!
Makanisa, mashule, mahospitali, vyuo etc kila kona nchini
 
Tukachozuia ni nyie kuanzisha mafundisho ya kigaidi kwenye hizo misikiti. Ukigundulika ni kifungo cha miaka mingi au maisha kama wale mashekh wa UAMSHO.
Ukishaswali na kujitawaza na ukiangalia msikiti unaona kuna maendeleo sana?
Ukienda kwa ndugu zako Singida, kuna misikiti na mizuri sana kila mtaa hadi vijijini huko lkn hakuna maendeleo yoyote.
Waliojenga nyumba ni watu kutoka mikoa mingine tena ni imani tofauti na uislamu.
Wengi wakienda kuswali na kujitawaza wanaona tayari wanamaendeleo.
La bandari lishaisha, zimebaki kelele chache nazo zitaisha just before 2024
 
Kampuni ya DP World ambayo katika Mkataba wa Bandari kati ya Ufalme wa Dubai na Serikali ya Tanzania ndiyo imepewa kuendesha Bandari zote Tanzania Bara (Tanganyika) inatumia faida inayopata katika biashara zake kusaidia misikiti na Waislamu kwa ujumla.

Mwaka huu wakati wa mfungo wa Radhamani, wawakilishi wa DP World walitembelea Mbeya ambako waliahidi kujenga Msikiti wa Masjid Al Jumaa na misaada mbalimbali. Baada ya hapo walisema wanakwenda Zanzibar ambako nako pia watafanya hayo hayo.

Video:

Video hii imerekodiwa kwa lugha ya Kingereza na Kiswahili na ilichukuliwa Mkoani Mbeya! Je, ulijua kuwa Kampuni ya DP ina malengo pia ya kukuza Uislamu mahali popote pale inapokuwa duniani? Je, ulijua kuwa DP World ina malengo ya kidini? Je, unafikiri hii ndiyo sababu Sheikh Mwaipopo alitoa kauli kali ya kutisha na kuonya Waislamu wasihudhurie Mkutano wa Temeke wa 23 Julai 2023 uliolenga kujadili na kuhoji Mkataba wa Bandari unaolalamikiwa sana?

Je, unafikiri kwa nini wawakilishi wa DP World walipofika hawakutembelea Makanisa, viwanja vya michezo, vyuo vikuu badala yake waliamua kutembelea Misikiti na kuahidi kutoa misaada huko? Je, faida watakayopata DP World katika kuendesha Bandari zetu itatokana na Kodi za Waislamu pekee?

Je, unafikiri moja ya sababu za Spika Dkt. Tulia kuutetea Mkataba wa Bandari na kufikia hatua ya kuwaita wanaoupinga kuwa ni 'wapumbavu wasiosha upumbavu wao' ni pamoja na hao DP World kutembelea Mbeya na kuwasidia wapiga kura wake Waislamu kwa kuaahidi kuwajengea Msikiti wa Masjid Al Jumaa?

Usimkarikie Askofu Mwamakula kwa kuandika haya na kuweka video hii hapa, wakasikirikie DP World kwa kuweka malengo yao wazi kuwa wanasaidia misikiti na sio dini nyingine. Pia, walaumu waliovujisha video hii hadi ikamfikia Askofu. Je, ni nani sasa anayeleta udini katika mjadala huu wa Mkataba wa Bandari? Je, ni DP World au wanaoupinga Mkataba wa Bandari?

Je, kuweka hadharani habari hizi ni uchochezi, uhalisia au uzalendo? Je, ni kwa nini viongozi wa Serikali na CCM hawaweki wazi wananchi katika mikutano yao ya hadhara kuwa faida mojawapo ya DP World ni pamoja na kujenga misikiti na kusaidia Uislamu? Je, ni kwa nini hili linafichwa wakati liko wazi hata katika malengo ya DP World? Kama Serikali haikujua malengo hayo, Waarabu hao wangesafiri hadi Mbeya kwa kificho na kuahidi kujenga misikiti nchini?
Je, nini kimekushangaza? Je, nini maoni yako?

Mwana Kondoo Ameshinda! Tumfuate!
Askofu Emmaus Bandekile Mwamakula
Dar es Salaam, 26 Julai 2023; 07:55 am.
Kumbe kwanini ijenge MISIKITI TU na SIO NA MAKANISA?
 
Ni jambo jema

Ni vema nyumba za ibada zijengwe nyingi vijana wamjue Mungu

Kuna kampuni ya Iran uliwahi kujenga Misikiti kandi kando ya barabara ya Dar hadi Iringa ikiitwa Nurdhein Sijui

Binafsi niliona ni jambo jema kwa sababu hapo Mbeya kwenyewe Nabii na Mtume Mwamposa anajenga Hotel
DP WORLD NA MISIKITI TU SIO NA MAKANISA KWELI NI JAMBO JEMA SANA ILI WAISLAAM WAONGEZEKE NYANDA ZA JUU KUSINI
 
Tukachozuia ni nyie kuanzisha mafundisho ya kigaidi kwenye hizo misikiti. Ukigundulika ni kifungo cha miaka mingi au maisha kama wale mashekh wa UAMSHO.
Ukishaswali na kujitawaza na ukiangalia msikiti unaona kuna maendeleo sana?
Ukienda kwa ndugu zako Singida, kuna misikiti na mizuri sana kila mtaa hadi vijijini huko lkn hakuna maendeleo yoyote.
Waliojenga nyumba ni watu kutoka mikoa mingine tena ni imani tofauti na uislamu.
Wengi wakienda kuswali na kujitawaza wanaona tayari wanamaendeleo.
1.Ugaidi
i)Hakunaga mafundisho ya ugaidi, nachojua mimi ni mazoezi kwaajili ya self defense kama karate judo taekwondo etc ambayo hayajaanzishwa na uislam pia ni michezo halali iliyosajiliwa na kuna vituo vingi tu vinafundisha nchini hadi duniani pia kunakuwaga hadi mashindano ya kimataifa.
ii) Kipi bora kufundisha wanafunzi au watu michezo ya kuihami mnayodai ni ugaidi na kufundisha watoto ushoga a usagji kwa kivuli cha kanisa????
Misaada imewaponza watoaji sasa wanataka wanaume muolewe, tena ndoa za jinsia moja sikuhizi ruksa zinafungishwa kanisani papa kashaamua subiri utafutiwe mume.

2.Maendeleo
Hapa ktk maendeleo ususani ya kiuchumi unaongelea, kwa imani yetu ya kiislam
i) Mwenyezi Mungu anamruzuku amtae pasina hisabu, pia hapangiwi nani wa kumna na wakutompa
ii) Dunia ni jela kwa muumini na ni pepo kwa asieuwa muumini, kwahiyo ww kumiliki mali mbili tatu ukajiona unamaendeleo sawa enjoy
iii) tofauti kubwa ya mali baina ya waislam na wasio waislam walio wengi inakuja kutokana na Halali Vs Haramu
Nyie hamna haram bhana kila kitu twende mnafuga na kuuza nguruwe, mnauza pombe, gest bubu & madangulo, kamari, makasino etc tena hizo biashara zote zinalipa hatari ila waislam had aguse kitu anaangalia kwanza imani yake inamruhusu etc
iv) kuna Mou mliingizwa makanisa Vs serikali mnapokea ruzuku nzito ndo inwaoa jeuri kufinnce mambo yote mkatukataza sisi kujiunga na OIC leo hii Bandari unawatoa mavi chadema ya kanisa inazunguka kila kona na mapadri kwenye jukwaa hata aibu mnakosa
 
Kampuni ya DP World ambayo katika Mkataba wa Bandari kati ya Ufalme wa Dubai na Serikali ya Tanzania ndiyo imepewa kuendesha Bandari zote Tanzania Bara (Tanganyika) inatumia faida inayopata katika biashara zake kusaidia misikiti na Waislamu kwa ujumla.

Mwaka huu wakati wa mfungo wa Radhamani, wawakilishi wa DP World walitembelea Mbeya ambako waliahidi kujenga Msikiti wa Masjid Al Jumaa na misaada mbalimbali. Baada ya hapo walisema wanakwenda Zanzibar ambako nako pia watafanya hayo hayo.

Video:

Video hii imerekodiwa kwa lugha ya Kingereza na Kiswahili na ilichukuliwa Mkoani Mbeya! Je, ulijua kuwa Kampuni ya DP ina malengo pia ya kukuza Uislamu mahali popote pale inapokuwa duniani? Je, ulijua kuwa DP World ina malengo ya kidini? Je, unafikiri hii ndiyo sababu Sheikh Mwaipopo alitoa kauli kali ya kutisha na kuonya Waislamu wasihudhurie Mkutano wa Temeke wa 23 Julai 2023 uliolenga kujadili na kuhoji Mkataba wa Bandari unaolalamikiwa sana?

Je, unafikiri kwa nini wawakilishi wa DP World walipofika hawakutembelea Makanisa, viwanja vya michezo, vyuo vikuu badala yake waliamua kutembelea Misikiti na kuahidi kutoa misaada huko? Je, faida watakayopata DP World katika kuendesha Bandari zetu itatokana na Kodi za Waislamu pekee?

Je, unafikiri moja ya sababu za Spika Dkt. Tulia kuutetea Mkataba wa Bandari na kufikia hatua ya kuwaita wanaoupinga kuwa ni 'wapumbavu wasiosha upumbavu wao' ni pamoja na hao DP World kutembelea Mbeya na kuwasidia wapiga kura wake Waislamu kwa kuaahidi kuwajengea Msikiti wa Masjid Al Jumaa?

Usimkarikie Askofu Mwamakula kwa kuandika haya na kuweka video hii hapa, wakasikirikie DP World kwa kuweka malengo yao wazi kuwa wanasaidia misikiti na sio dini nyingine. Pia, walaumu waliovujisha video hii hadi ikamfikia Askofu. Je, ni nani sasa anayeleta udini katika mjadala huu wa Mkataba wa Bandari? Je, ni DP World au wanaoupinga Mkataba wa Bandari?

Je, kuweka hadharani habari hizi ni uchochezi, uhalisia au uzalendo? Je, ni kwa nini viongozi wa Serikali na CCM hawaweki wazi wananchi katika mikutano yao ya hadhara kuwa faida mojawapo ya DP World ni pamoja na kujenga misikiti na kusaidia Uislamu? Je, ni kwa nini hili linafichwa wakati liko wazi hata katika malengo ya DP World? Kama Serikali haikujua malengo hayo, Waarabu hao wangesafiri hadi Mbeya kwa kificho na kuahidi kujenga misikiti nchini?
Je, nini kimekushangaza? Je, nini maoni yako?

Mwana Kondoo Ameshinda! Tumfuate!
Askofu Emmaus Bandekile Mwamakula
Dar es Salaam, 26 Julai 2023; 07:55 am.
Inaonekana mkataba siombovu shida kanisa maslahi yaohayaonekani nawao waliishajiaminisha nchi niyakwapekeyao
 
Back
Top Bottom