Askofu Mwamakula: DP World kujenga msikiti wa Masjid al jumaa wa Mbeya na kuendelea kusaidia dini ya kiislam nchini Tanzania!

Askofu Mwamakula: DP World kujenga msikiti wa Masjid al jumaa wa Mbeya na kuendelea kusaidia dini ya kiislam nchini Tanzania!

Askofu Mwamakula kakosea timing ya tamko lake. Maoni yake haya alipaswa akae nayo kifuani ili kuondoa propaganda za wanaotaka kutumia dini kuua umoja wa kitaifa kwenye kuukataa mkataba huu.

Sasa amewapa ammunition akina Mwaipopo waliyokuwa wanaitafuta.

Njia ya kudeal na akina Mwaipopo ni kuwaignore ili ujinga wao ujionyeshe wenyewe. uachie umma udeal nao kwenye tit for tat, ila Askofu wewe inabidi uconcentrate ktk hoja za mkataba ulivyo.

Ukishaanza kuhoji misikiti, unaibua hisia za waislamu kuwa kumbe wewe ugomvi wako siyo mkataba bali una ugomvi na waislamu kitu ambacho pengine si kweli.
Huyu ni Askofu tapeli wa kikiristo
 
Bora hao waalabu watuletee udini kuliko wazungu watulazimishe kunanihiliana na mabendera yao ya urenbow.
 
Wazungu wa ulaya sa ivi wanapigwa vita Afrika nzima ,yaani wanapewa makavu makavu.
We wacha tu Sasa naamini saa ya ukombozi imefika,kuna viongozi wameonyesha uzalendo wa hali ya juu.
Kuna alisema kuwaambia waingereza au wamerekani hizo hela za misaada hatuzitaki zitumieni wenyewe kuwashughulikia homeless people.
 
Ni jambo la ajabu sana,hawa watu wanauza kebab hapa ulaya kila siku.ni wezi wazuri tu wanyonyaji.
Hawa hela wanapata wapi?
Kwanza anaenda na pesa za wizi toka kwao to Europe.
Anasema ye mkimbizi.
Anapewa msaada wa wakimbizi.
Anafanya tena kazi kwa ndugu zake analipwa kimgongomgongo.
 
Back
Top Bottom