Mtoto anapotea, Bibi na mama hawamtafuti wamekaa kimya tu. Aliiba limao jirani au mtaani kwao...iweje taarifa zisimfikie bibi yake anaye ishi nae?
Huyo mtoto ni chokoraa hata akipotea hawajali na inaelekea huwa anapotea na kurudi.
Nadhani suala la msingi ni kuchanganywa na mahabusu watu wazima.
huyo amekubuhu sasa linatokea lijitu linajiita liaskofu feki kuja kutetea majitu yaliyoshindikana hajawahi kupingwa ngeta huyu anayejifanya askofu haiwezekani anaoishi nao wasimfuatilie kashindikana huyoMtoto anapotea, Bibi na mama hawamtafuti wamekaa kimya tu. Aliiba limao jirani au mtaani kwao...iweje taarifa zisimfikie bibi yake anaye ishi nae?
Huyo mtoto ni chokoraa hata akipotea hawajali na inaelekea huwa anapotea na kurudi.
Nadhani suala la msingi ni kuchanganywa na mahabusu watu wazima.
Pepo mchafu wewe.
Wenzako tuko serious wewe unaleta ushoga wako hapa.
Hoja ni kosa la kuchuma limao kukaa sell?
Hoja ni kwamba, ni sahihi mtoto kukaa mahabusu pamoja na wazee?
wangemuua kabisa haiwezekani wamshambulie wanakijiji kwasababu ya limao kuna mengi kafanya huyoKabisa mkuu. Na itakuwa imetumika busara kumuweka mahabusu ili kumnusuru na kifo. Mtaani wameshamchoka huyo.
Halafu majizi ya mali za umma,majambazi, muuaji na wabakaji kama akina Sabaya utasikia wanaachiwa huru kisa ni CCM na mtoto anafungwa, haya yataisha tu very soon,shame!"Kati ya mahabusu wa kiume 48 waliokuwepo katika Kituo cha Kirumba, kuna mtoto mwenye umri wa miaka 13. Mtoto huyu, alimsogelea Askofu na kumueleza kwa masikitiko kisa chake. Kwamba siku moja aliamua kuchuma limao moja katika mlimao wa jirani yake ili aweke kwenye dagaa ili ale. Jirani yake ambaye ni mwanamke pamoja na watoto wake walimshukia kwa kipigo kizito mtoto yule wakimshambulia kuwa ni mwizi.
Mtoto huyo aliyejitambulisha kwa jina la Johnson Frank, anasoma Kidato cha Kwanza katika Shule ya Sekondari ya Ibungilo iliyoko Ilemela. Askofu anakumbuka kuwa mtoto yule alisema kuwa shuleni anajulikana kwa jina la Ibrahim Frank na kwamba anakaa na bibi yake kwani mama yake yupo Dar es Salaam. Bibi yake, Mama yake na hata Uongozi wa Shule yake hawajui kama yupo mahabusu. Lakini kwa umri kama ule mtoto kuchanganywa mahabusu na watu wazima ni jambo lililomuumiza sana Askofu.
Askofu anajiuliza kama Mwanza hakuna Mahabusu ya Watoto? Askofu anatoa wito kwa makundi ya kutetea haki za watoto kufika haraka sana katika Kituo cha Polisi Kirumba, Mwanza ili kuangalia namna ya kumsaida mtoto yule. Lakini pia mtoto yule anatakiwa kufanyiwa vipimo kwani alikuwa analalamika maumivu katika mkono wake wa kulia kutokana na kipigo alichokuwa ameshushiwa na mwenye mti wa mlimao. Mazingira hayakuruhusu kwa Askofu kupata picha ya mtoto yule." - Askofu Emmaus Mwamakula
Iwe hata kama aliiba dhahabu au almasi au hata kama aliua...Una hakika kwamba ni kweli aliiba limao tu? Acheni kutoa bila kusikiliza upande wa pili.
Yetu masikio.....ukweli utajulikana, hakuna aja ya kunyooshea vidole.........Wewe na huyo askofu mwamakula mna uhakika huyo mtoto ana miaka 13? mumehakiki wapi?
pili mtoto huyo anasema shuleni anajulikana kama Ibrahim frank lakini mahabusu anajiita Johnson Frank kwa nini alibadili jina ghafla alipoingia mahabusu? akaandikisha jina tofauti kulikoni kama sio mhalifu mzoefu alikuwa anaficha nini? maana ASKOFU KASEMA HUYO MTOTO ALIJITAMBULISHA KWAKE KAMA JOHNSON FRANK wakati huko shule anajulikana kama Ibrahim FRank
Anaposema hakuna ajuaye yuko mahabusu watajuaje wakati kabadili jina alipoingia mahabusu
Basi aliiba gari!!Una hakika kwamba ni kweli aliiba limao tu? Acheni kutoa bila kusikiliza upande wa pili.
OK, tuseme sio limao tu kaiba simu, nguo za ndani etc, je ni sahihi kuwekwa mahabusu ya Watu wazima? Je, ni sahihi kuwekwa mahabusu bila kupelekwa mahakamani. Nadhani uache kujitia ujuajiUna hakika kwamba ni kweli aliiba limao tu? Acheni kutoa bila kusikiliza upande wa pili.
Sababu ya mtoto kujihusisha na wizi, ni kuporomoka kwa maadili katika nyumba za ibada! MaAskofu wanakwepa kazi zao za kuwaongoza wakina Frank makanisani, wanakutana nao mhabusu!Huko makanisani mwao wanapohubili huwa hawaulizi watu wenye shida ili wawasaidie kwa hizo sadaka na kufanya hao wenye shida kutoingia kwenye migogoro ya kisheria? Au mpaka wakutane mahabusu ndo waje kusimulia na kuona huruma kwa wenye shida?
Ni wajibu wa mwamakula kusaidia wenye shida kabla hawajaingia kwenye madhambi ya kujitafutia riziki.
Kwa kua ameamua kuwa mchungaji basi achunge na shida zao na sio kuwanyofoa kondoo sadaka bila kuwalisha kondoo wenye shida.
WA MAASKOFU FAKE NDIYO WANAA HARIBU MAAADILI BADALA YAKE WANAKUTANA SERO DA MKUU UMEFIKIRIA MBALI SANA NI KWELI TUPU WANGEWAFUNDISHA WAUMINI KUWA KUIBA DHAMBI ASINGEKAMATWA NA YEYE ASINGEENDA MAHABUSU KAMA ANGEFANYA KAZI YAKE TU SIYO SIASASababu ya mtoto kujihusisha na wizi, ni kuporomoka kwa maadili katika nyumba za ibada! MaAskofu wanakwepa kazi zao za kuwaongoza wakina Frank makanisani, wanakutana nao mhabusu!
Amewaacha kondoo amekimbilia tumbo lake (siasa), unategemea nini? Msilaumu polisi tu! Angalia chanzo cha kuporomoka maadili., na mtoto badala ya kwenda kuomba limao kwa bibi yule akaamua kumwibia! Mtoto wa Miaka 13 anajua kuwa ni vibaya kuiba.
Sijasema nina uhakika tunasubiri tusikie na upande wa pili. We vipi ?Ww ambae unao uhakika kwamba aliiba na kingine useme sasa.
Wanajua tu kutoa kipigoPolisi wanamshikilia huyo mtoto siku zote mahabusu bila aibu, kisa chenyewe limao, kwani limao shilingi ngapi?
Hawa polisi wetu wanatakiwa kupelekwa mahala wakapigwe msasa wajue haki za raia na makundi tofauti, huyo mtoto watakuwa wameshamuharibu kisaikolojia kwa ujinga wao.
Una hakika kwamba ni kweli aliiba limao tu? Acheni kutoa bila kusikiliza upande wa pili.
Kwanini aibe afungwe tu utoto wake auhalalishi udokozi"Kati ya mahabusu wa kiume 48 waliokuwepo katika Kituo cha Kirumba, kuna mtoto mwenye umri wa miaka 13. Mtoto huyu, alimsogelea Askofu na kumueleza kwa masikitiko kisa chake. Kwamba siku moja aliamua kuchuma limao moja katika mlimao wa jirani yake ili aweke kwenye dagaa ili ale. Jirani yake ambaye ni mwanamke pamoja na watoto wake walimshukia kwa kipigo kizito mtoto yule wakimshambulia kuwa ni mwizi.
Mtoto huyo aliyejitambulisha kwa jina la Johnson Frank, anasoma Kidato cha Kwanza katika Shule ya Sekondari ya Ibungilo iliyoko Ilemela. Askofu anakumbuka kuwa mtoto yule alisema kuwa shuleni anajulikana kwa jina la Ibrahim Frank na kwamba anakaa na bibi yake kwani mama yake yupo Dar es Salaam. Bibi yake, Mama yake na hata Uongozi wa Shule yake hawajui kama yupo mahabusu. Lakini kwa umri kama ule mtoto kuchanganywa mahabusu na watu wazima ni jambo lililomuumiza sana Askofu.
Askofu anajiuliza kama Mwanza hakuna Mahabusu ya Watoto? Askofu anatoa wito kwa makundi ya kutetea haki za watoto kufika haraka sana katika Kituo cha Polisi Kirumba, Mwanza ili kuangalia namna ya kumsaida mtoto yule. Lakini pia mtoto yule anatakiwa kufanyiwa vipimo kwani alikuwa analalamika maumivu katika mkono wake wa kulia kutokana na kipigo alichokuwa ameshushiwa na mwenye mti wa mlimao. Mazingira hayakuruhusu kwa Askofu kupata picha ya mtoto yule." - Askofu Emmaus Mwamakula
Askofu alikosea, alitakiwa achukue maelezo ili angalau awasiliane na shule yake au na bibi yake, mimi nimekutana watu wa aina hiyo mara nyingi na niliwasaidia kwa kuwajulisha wahusikaBalaa, kwa kuwa Askofu ameyaongea kesho watamwachia. Polisi wawe wanatumia busala
This is sad, huyo mwanamke aliemfanyie hivyo mtoto wa mwenzie kisa limao Mungu atamlipa. Mtoto wa miaka kumi na tatu alipaswa amuweke chini amuonye na amuelekezenkwamba akitaka kitu aombe badala ya kuchukua vitu vya watu"Kati ya mahabusu wa kiume 48 waliokuwepo katika Kituo cha Kirumba, kuna mtoto mwenye umri wa miaka 13. Mtoto huyu, alimsogelea Askofu na kumueleza kwa masikitiko kisa chake. Kwamba siku moja aliamua kuchuma limao moja katika mlimao wa jirani yake ili aweke kwenye dagaa ili ale. Jirani yake ambaye ni mwanamke pamoja na watoto wake walimshukia kwa kipigo kizito mtoto yule wakimshambulia kuwa ni mwizi.
Mtoto huyo aliyejitambulisha kwa jina la Johnson Frank, anasoma Kidato cha Kwanza katika Shule ya Sekondari ya Ibungilo iliyoko Ilemela. Askofu anakumbuka kuwa mtoto yule alisema kuwa shuleni anajulikana kwa jina la Ibrahim Frank na kwamba anakaa na bibi yake kwani mama yake yupo Dar es Salaam. Bibi yake, Mama yake na hata Uongozi wa Shule yake hawajui kama yupo mahabusu. Lakini kwa umri kama ule mtoto kuchanganywa mahabusu na watu wazima ni jambo lililomuumiza sana Askofu.
Askofu anajiuliza kama Mwanza hakuna Mahabusu ya Watoto? Askofu anatoa wito kwa makundi ya kutetea haki za watoto kufika haraka sana katika Kituo cha Polisi Kirumba, Mwanza ili kuangalia namna ya kumsaida mtoto yule. Lakini pia mtoto yule anatakiwa kufanyiwa vipimo kwani alikuwa analalamika maumivu katika mkono wake wa kulia kutokana na kipigo alichokuwa ameshushiwa na mwenye mti wa mlimao. Mazingira hayakuruhusu kwa Askofu kupata picha ya mtoto yule." - Askofu Emmaus Mwamakula