Abrianna
JF-Expert Member
- Mar 30, 2021
- 4,696
- 15,390
Utadhani hawajasomea kazi yaoAibu kubwa sana kwa Jeshi la Polisi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Utadhani hawajasomea kazi yaoAibu kubwa sana kwa Jeshi la Polisi
Very narrow approach.... Mungu na akuongezee ufahamu.Ubatizo mtu hubatizwa jina moja tu Lingekuwa la kilugha hapo sawa lakini huwezi kuitwa nyumbani jina la ubatizo la peter halafu shule ukaitwa jina lingine la ubatizo la mark
Huyo anaonyesha mhalifu mzoefu hataki wamfuatilie jina lake original kujua mambo yake
unajuwa ndugu hakuna binadamu mwenye huruma kama mwanamke huyo kijana kuna makubwa aliyofanya siyo kuiba limao huyomama siyo mwendawazimu akamfunge mtoto kwaajili ya limao na polisi wasingeweza kupokea kesiya namna hiyo lazima wangewasuruhisha waondoke kuna zaidi ya limaoPolisi wale waiba mafuta kigamboni mpo kimya ila mwizi wa limao mnamsweka lupango.
Km unayajua mengine funguka, pia sheria mtoto hapaswi changamywa na mtu mzima gelezani. Iwe isiwe wamefanya kosa kumchanganya mahabusu na watu wazima.unajuwa ndugu hakuna binadamu mwenye huruma kama mwanamke huyo kijana kuna makubwa aliyofanya siyo kuiba limao huyomama siyo mwendawazimu akamfunge mtoto kwaajili ya limao na polisi wasingeweza kupokea kesiya namna hiyo lazima wangewasuruhisha waondoke kuna zaidi ya limao
NDUGU SIJUI LOLOTE LINGINE LA HUYO MTOTO ILA TU YALIKUWA MAWAZOYANGU KAMA NILIVYOSEMA WATU WOOOOOOTE KUANZIA HUYO MAMA MWENYE MLIMAU MPAKA POLISI WOTE KITUONI KUNA KIT ZAIDI YA LIMAU NDUGU LAZIMA UELEWE WOTE HAO SIYO WATU WAJINGA KAMA UNAVYOWEZA KUFIKIRI KUNA SABABU ILA HIYO SABABU USINIULIZE MIMINI MAWAZO YANGUKm unayajua mengine funguka, pia sheria mtoto hapaswi changamywa na mtu mzima gelezani. Iwe isiwe wamefanya kosa kumchanganya mahabusu na watu wazima.
Au wewe unaona sawa?
Hoja hapa ni umri wake, hayo mengine ni UCCM wako tu, mana CCM lazima wawatetee polisi kwani polisi ndo nguvu ya CCM kuwa madarakani dhidi ya vyama vingine.Wewe na huyo askofu mwamakula mna uhakika huyo mtoto ana miaka 13? mumehakiki wapi?
pili mtoto huyo anasema shuleni anajulikana kama Ibrahim frank lakini mahabusu anajiita Johnson Frank kwa nini alibadili jina ghafla alipoingia mahabusu? akaandikisha jina tofauti kulikoni kama sio mhalifu mzoefu alikuwa anaficha nini? maana ASKOFU KASEMA HUYO MTOTO ALIJITAMBULISHA KWAKE KAMA JOHNSON FRANK wakati huko shule anajulikana kama Ibrahim FRank
Anaposema hakuna ajuaye yuko mahabusu watajuaje wakati kabadili jina alipoingia mahabusu
Unatetea uovu ili kubaki madarakani.Watoto wenye shida ni wengi sana humu mitaani lakini hao maaskofu huwa hawatumii muda wao hata kuwaombea michango ya kuwasaidia, zaidi ya kutaka sadaka zao tu.
Kwa uelewa wako unadhani mwamakula hajui kama kuna miji hapa tz kuna familia zinateseka kwa ajili ya kukosa huduma?
Hayo ni maigizo tu anafanya kama wenzake waliowahi kwenda sero na kujifanya ndo wameona matatizo huko.
Ajaribu kutangaza kanisani kwake watu wenye shida waende kwake asikilize aone kama patatosha.
Wakati mwingine unaweza kudandia ajenda kumbe haina ukweli unaozungumzwa. Huyo mtoto huenda akawa na jambo la ziada.Naagiza mtoto atendewe haki yake.
Kwa kosa la kuchuma limao hata mahabusu hatakiwi kukaa.
Aonywe kisha aachiwe huru.
Watazame pia ugumu wa maisha wa mtoto huyo.
Kiburi chao wanakipata CCM na CCM inawalea ili wawatumie dhidi ya wapinzani. Hivyo sio rahisi hawa kuchukuliana hatua.dah kwel polisi sio ndugu zetu! yaani hpo wanasubiri mpunga wa wazazi ili wamtoe..! wanajisahau sana hawa jamaa!
Regardless,Kama ana miaka 13 hakutakiwa kuwa pale.Period.Una hakika kwamba ni kweli aliiba limao tu? Acheni kutoa bila kusikiliza upande wa pili.
Angekuwa mwanao ungeuliza swali hili? Mtoto wa miaka 13? Hao waliompiga wamemuweka ndani kuogopa kesi na hakuna kingine,Una hakika kwamba ni kweli aliiba limao tu? Acheni kutoa bila kusikiliza upande wa pili.
So kila anayedokoa anapendaUdokozi sio mzuri
inamaana hata huo mtaa mzima unamatatizo basi haiwezekani wamvamie mtoto kama huyo na kuanza kumpiga karibia ya kuua kisa limao never huyo atakuwa anamatatizo makubwa mpa mtaa umemchokaAngekuwa mwanao ungeuliza swali hili? Mtoto wa miaka 13? Hao waliompiga wamemuweka ndani kuogopa kesi na hakuna kingine,
Tanzania tuna mchanganyiko wa dini, huyu mtoto anaweza kuwa wazazi wametofautiana dini baba kamwita jina lake na mama kamwita jina lake cheti cha kuzaliwa kina jina tofauti na lile analoitwa nyumbani si ajabu wengi wako hivyoWewe na huyo askofu mwamakula mna uhakika huyo mtoto ana miaka 13? mumehakiki wapi?
pili mtoto huyo anasema shuleni anajulikana kama Ibrahim frank lakini mahabusu anajiita Johnson Frank kwa nini alibadili jina ghafla alipoingia mahabusu? akaandikisha jina tofauti kulikoni kama sio mhalifu mzoefu alikuwa anaficha nini? maana ASKOFU KASEMA HUYO MTOTO ALIJITAMBULISHA KWAKE KAMA JOHNSON FRANK wakati huko shule anajulikana kama Ibrahim FRank
Anaposema hakuna ajuaye yuko mahabusu watajuaje wakati kabadili jina alipoingia mahabusu
Mwizi wa limao?sasa hapo tatizo ni kwa nani mtoto nimwizi sasa huyu malaya mwamakula anatetea nini aache use wake wacha vyombo vya dola vifanye kazi yake huyo ni mwizikama wezio wengine tu acha apate alichok=u=wa ana kitafuta
ndiyo maswali yakujiuliza mkuu limao? tu? halafu mpaka majirani waingilie kumpiga kama jambazi kweli? hapana huyu mwamakula dishi limeyumba anatudanganya kabisaametuletea stori isiyo na nyamaUpande wa pili wanaolalamikiwa hao waliompiga pamoja polisi wao wansemaje?,labda askofu angefatilia kwa kina uwenda kuna cha zaidi kilichojificha,sidhani mtoto kuiba Limao tu tena jirani anaweza kushushiwa kipigo na familia nyingine ya jirani.
Hata kama aliiba gari ama ng'ombe ni kwanini awekwe mahabusu na wanaume watu wazima???Una hakika kwamba ni kweli aliiba limao tu? Acheni kutoa bila kusikiliza upande wa pili.