Kuna watu wana roho mbaya kumzidi hata shetani aisee ila Mungu ni mwaminifu malipo hapahapa duniani hata usipolipa wewe kizazi chako kitalipa tu, nimeiona na ninalipia tu kwa sababu ni kizazi cha machifu, waliyoyafanya babu zangu kwenye uchifu wao nalipia big time lakini Mungu ni mwema, nimeshatubu kama kizazi na Mungu anatenda miujiza. Tusitende mabaya jamani.