Askofu Mwamakula na matembezi ya hiyari

Umelewa nini, hizo lugha za kutokuwa na Corona kila siku jiwe anazisema, hadi kusifiwa kuwa ameondoa corona.
Sio kusifiwa tu mpaka kuna Makanisa yamemtunuku cheti cha kuifuta Corona nchini,ndio maana anaona aibu hata kuitamka tu,maana anaaibika
 
Sio kusifiwa tu mpaka kuna Makanisa yamemtunuku cheti cha kuifuta Corona nchini,ndio maana anaona aibu hata kuitamka tu,maana anaaibika

Kabisa, anaona aibu kumeza matapishi yake.
 
Reactions: BAK
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…