Ingekua kenya huyu angeshatwangwa makondeTuna spika dhaifu sana tangu Bunge lianzishwe..ukweli hakua mweledi 2015-20 lakini haikumzuia yeye kubadilika 2021-25 kutumia kiti chake kuichallenge serikali na kua mtenda haki ila alichofanya ni udhaifu mkubwa sana na kama yeye kama kiongozi wa bunge ameufyata vipi hao wabubge wengine?.
Ndugai ameharibu zaidi kuliko kutengeneza ,hii imeonesha jinsi gani hawa watu wako kwa maslahi ya matumbo yao.
#katiba mpya spika asitokane na chama chochote.
baada ya kukiri kosa ameomba msamaha kwa watanzania na Mungu ..hakuna mahali amemuomba msamaha raia wa JMT.hivyo basi nikiwa kama mwananchi nawakilisha watanzania wote kwa kumwambia hatujamsamehe kwa huo msamaha wake wa mchongokwa maelezo yako bwana jobo itabidi kutangaziwa kwake msamaha kuhusike na wananchi wa nchi ya wanyonge au Mungu muumba mbingu na dunia.
baada ya kukiri kosa ameomba msamaha kwa watanzania na Mungu ..hakuna mahali amemuomba msamaha raia wa JMT.hivyo basi nikiwa kama mwananchi nawakilisha watanzania wote kwa kumwambia hatujamsamehe kwa huo msamaha wake wa mchongo
unawezaje kuomba msamaha ikiwa hujakubali makosa uliyofanya. Job ameamua kumbeza mama haiwezekani ukatae kosa lako mwenyewe afu uombe msamaha tena.pia jamaa ni dhaifu kweli hivyo anaongoza wadhaifu wenzake pale centre ya nchi. Ameamua kuomba msamaha pamoja na kuelewa yuko sahihi.
Unaan umemzidi ndio shidaASAMEHEWE NA MAISHA YAENDELEE
😀😃😄😁😆😅🤣Mgogo ataendelea kuwa mgogo...sifa kuu ya mgogo ni kuomba omba
Akishindwa kuomba omba hela, basi ataomba omba hata msamaha...
Kuna Sehemu Haipo SawaTanzania tunashuhudia Spika akiomba msamaha kuwa Spika.
Kosa lake ni lipi?Hivi katuomba na Sisi wanyonge... Basi nimemsamehe lakini sitamsahau
Mimi sijui muulize mwenyewe ndio kasema "NIMEKOSA MIMI NIMEKOSA MIMI NIMEKOSA SANA"Kosa lake ni lipi?
Ameomba msamaha kwa watanzania wote. Mimi kwa niaba ya michepuko yangu yote nasema tumemsamehe lakini hatutamsahaubaada ya kukiri kosa ameomba msamaha kwa watanzania na Mungu ..hakuna mahali amemuomba msamaha raia wa JMT.hivyo basi nikiwa kama mwananchi nawakilisha watanzania wote kwa kumwambia hatujamsamehe kwa huo msamaha wake wa mchongo
Naye aache uhuni wakutembea na bakora kuchapa watia nia wenzake.naona unaenyoy demokrasia mkuu...
Ndugai ni spika wa Bunge, Baba wa watoto na familia, ana ndugu zake na jamaa wengine wako humuhumu..
Kwahiyo anaendeleza unafiki!Asamehewe tu japo yupo sahihi
Hapo amejitetea kinafiki kabisa.Kwahiyo anaendeleza unafiki!
Kiukweli sio mzima kabisa huyu.Huyu jamaa ni mgonjwa wa akili
Halafu leo hii anatuomba msamaha wananchi. Huyu mzee ni mnafki na sio wa kumuamini kabisa.