Askofu Mwamakula, ni vizuri kujua kuhusu kanisa lako, wachungaji, na waumini wako

Askofu Mwamakula, ni vizuri kujua kuhusu kanisa lako, wachungaji, na waumini wako

Usipojitahidi kutumia ubongo wako kufikiri na kuwa na fikra tunduizi na kutengemea akili mnemba katika mambo yanayohitaji akili halisi kufikiri ni kiashiria Cha uvivu ujinga na upumbavu. Kwa umri wako inafaa utumie zaidi akili Yako binafsi kabla haijaendelea kusimama! Labda uwe na hata uwezo wa kuiongoza akili mnemba katika kuleta majibu ambayo Yana uhusiano wa Moja kwa Moja na mambo unayolingania. Ujinga ni mzigo wa mavi kichwani
Ni sawa kabisa kutegemea akili ya wengine na kukosa jitihada za kufikiri kwa kina. Hata hivyo, kutokuwa na fikra tunduizi kunaweza kuleta urahisi na amani katika maisha.

Kwa umri wako, inaweza kuwa bora usijitahidi sana kutumia akili yako binafsi; ni rahisi kuacha mambo yajiendeshe yenyewe.

Kujitolea kuwafuata wengine na kukubali majibu yao bila kuyachambua kunaweza kuwa na manufaa.

Ujinga, kwa kweli, si mzigo bali ni hali ya kawaida ambayo inaweza kutumika kama njia ya kuishi bila wasiwasi.

Kila mtu ana njia yake ya kuendesha maisha, na si lazima kufikiri kwa kina ili kufikia furaha.
 
Askofu Mwamakula, Kila siku yumo kwenye siasa!
Kuna mahali una shida kabisa kichwani na hiyo shida itakutesa sana.

Ina maana mtu hawezi kufanya shughuli zake akajihusiha pia na siasa? Kwani nchi hii mtu kijihusisha na siasa ni dhambi?

Maneno haya ungemwabia basi Mchungaji Msigwa na Bwana Josephati Gwajima! Au wakati ule ungemuuliza Padre Augustin Ramadhani!

Ukiwa mpumbavu hakuna namna unaweza kuficha upumbavu wako ni aibu sana. Nilitegemea swali hili ungemuuliza Mchungaji Mtikila na Mama Lwakarare. Ila kwakua unajua kwamba ni mpumbavu huwezi kuhusianisha watu hao na mjadala wako. Mwamakula amekua sauti ya watu wengi kiasi hata hao unaojaribu kwalamba matako wanamtambua na wanamtambua mchango wake.

Mohammed alikua sio halifa au Mtume wa dini Bali hata kiongozi wa kisiasa aliyetawala.
Yesu Kristo alishtakiwa katika mahakama zote, za kidini na za kiraia Kwa sababu mahubiri yake yaligusa siasa (maisha) ya watu pamoja na dini! Ndio mana alipalekwa Kwa Gavana Pontius Pilate!

Mitume na manabii wote walitangulia walichukua wajibu wa Kimungu sio kuhubiri dini tu! Bali kukemea Wana siasa ambao walikua kinyume na mpango wa Mungu. Waliwakemea wanasiasa waliojitazama wao na kujiona Bora zaidi kuliko waliowaongoza. Yohanne Mbatizaji alikatwa kichwa kwa kumkemea Herodi (Mfalme) kwa kumuua ndugu yake na kumtwaa mke wake!

Serikali Yako imeanzisha kamati za amani zikiongozwa na hao viongozi wa dini. Sasa hawakujua kwamba Wana wajibu wa kuwajua waamini wao kuliko kuhusika na siasa?

Viongozi wa dini wanahubiri watu wao kuwa na amani upendo na mshikamano Kila siku! Mbweha kama wewe unaandika kushusu watu kuchukiana. Ni wajibu wa kiongozi wa dini kwenda Moja kwa Moja kwenye shina linalotaka waamini wachukiane sababu ya tofauti zao za kisiasa..

Hii ni kutokana na ukweli kwamba chuki hizo zinawwza kusababisha mauji ambayo ni dhambi Kwa mujibu wa amri za Mungu. Kanisa litafanyaje kazi wakati wote watu wanauana na kuwa wakimbizi?

Kanisa ni watu, na watu Hawa Ndio wanaotenda haya matendo ya wizi wa kura, ufisadi na Mauaji, watu wanaopora Haki za watu. Sasa Askofu au mchungaji ana wajibu wa kunakumbusha hawa watu kuwa matendo Yao ni kinyume na maelekezo ya mwenyezi Mungu!


Askari ni watu wanaolinda usalama wa watu na Mali zao! Wanapogeuka kuwa majambazi. Askofu ana wajibu wa kiroho wa kuwakemea mana imeandikwa kuiba ni dhambi na kudhulumu Haki ni dhambi! Hakuna namna unaweza kuchora mstari wankimajukumu linapokuja swala la siasa na Imani. Soma hapa
“Askari nao wakamwuliza, wakisema, Sisi nasi tufanye nini? Akawaambia, Msipokele rushwa kwa mtu awaye yote, wala msisingizie mtu bure; mkatosheka na mishahara yenu.”
(Luka 3:14).

Na mwisho Mshauri Mwenyekiti asiwaalike ikulu Wala juwapigia simu kuwapa michango ya makanisa Yao katikati ya ibada, lakini wakati wa uapisho wasiwaalike, na Wala wasiwatake kukuombea Taifa na wasivunje wanazoita kamati za amani za Mkoa na taifa!
Wewe ni Mjinga Ashakum sio matusi
 
Ni sawa kabisa kutegemea akili ya wengine na kukosa jitihada za kufikiri kwa kina. Hata hivyo, kutokuwa na fikra tunduizi kunaweza kuleta urahisi na amani katika maisha.

Kwa umri wako, inaweza kuwa bora usijitahidi sana kutumia akili yako binafsi; ni rahisi kuacha mambo yajiendeshe yenyewe.

Kujitolea kuwafuata wengine na kukubali majibu yao bila kuyachambua kunaweza kuwa na manufaa.

Ujinga, kwa kweli, si mzigo bali ni hali ya kawaida ambayo inaweza kutumika kama njia ya kuishi bila wasiwasi.

Kila mtu ana njia yake ya kuendesha maisha, na si lazima kufikiri kwa kina ili kufikia furaha.
Jifariji mjinga mmoja wewe na u some hiyo paragraph ya pili! Unachohangaika ni kitu gani badala ya kuacha mambo yajiendee! Nilijua upo hapa kama great thinkers kumbe ni robot tu! Pathetic
 
Askofu Mwamakula anapojihusisha na siasa, ni muhimu kuelewa jinsi anavyoweza kusawazisha majukumu yake ya kiaskofu na shughuli za kisiasa.

Katika mazingira mengi, viongozi wa kidini wanapohusika na siasa, wanakabiliwa na changamoto za kuhakikisha kwamba huduma zao za kiroho hazidharauliwi na masuala ya kisiasa.

Huduma za kiaskofu zinaweza kuwa na muda maalum wa utoaji, unaoweza kuathiriwa na mahitaji ya waumini na shughuli za kanisa. Mara nyingi, askofu atatoa huduma hizo wakati wa ibada, mikutano ya kiroho, na matukio mengine ya kidini.

Hata hivyo, anaposhiriki katika siasa, muda wake wa huduma za kiaskofu unaweza kupungua.

Kila siku, askofu anaweza kuwa na ratiba ya shughuli zinazohusiana na siasa, kama vile kutoa maoni kuhusu sera za umma, kushiriki katika mijadala ya kisiasa, au kuhamasisha jamii kuhusu haki za kiraia.

Hii inahitaji uhamasishaji wa kina ili kuhakikisha kwamba waumini wanapata msaada wa kiroho na kiuchumi.

Kwa hiyo, ni muhimu kwa Askofu Mwamakula kuweka vipaumbele vyake ili kuhakikisha kwamba anatimiza majukumu yake ya kiaskofu, huku akishiriki kikamilifu katika siasa.

Hii inahitaji usimamizi mzuri wa muda na uwezo wa kujitenga na siasa ili kutoa huduma bora kwa waumini wake. Kila siku, anapaswa kujiuliza jinsi ya kuboresha huduma za kiroho, huku akichangia katika maendeleo ya jamii kupitia siasa.
Hamna Askofu pale. Ushawahi ona wapi nchi hii askofu kakondeana kwa gubu kama yule?

Yule tulishamfukuza Morovian sasa anajifurahisha kujiita askofu.

Asikupotezee muda wako kumfikiria kuwa ni Askofu. 😀😀
 
Kuna mahali una shida kabisa kichwani na hiyo shida itakutesa sana.

Ina maana mtu hawezi kufanya shughuli zake akajihusiha pia na siasa? Kwani nchi hii mtu kijihusisha na siasa ni dhambi?

Maneno haya ungemwabia basi Mchungaji Msigwa na Bwana Josephati Gwajima! Au wakati ule ungemuuliza Padre Augustin Ramadhani!

Ukiwa mpumbavu hakuna namna unaweza kuficha upumbavu wako ni aibu sana. Nilitegemea swali hili ungemuuliza Mchungaji Mtikila na Mama Lwakarare. Ila kwakua unajua kwamba ni mpumbavu huwezi kuhusianisha watu hao na mjadala wako. Mwamakula amekua sauti ya watu wengi kiasi hata hao unaojaribu kwalamba matako wanamtambua na wanamtambua mchango wake.

Mohammed alikua sio halifa au Mtume wa dini Bali hata kiongozi wa kisiasa aliyetawala.
Yesu Kristo alishtakiwa katika mahakama zote, za kidini na za kiraia Kwa sababu mahubiri yake yaligusa siasa (maisha) ya watu pamoja na dini! Ndio mana alipalekwa Kwa Gavana Pontius Pilate!

Mitume na manabii wote walitangulia walichukua wajibu wa Kimungu sio kuhubiri dini tu! Bali kukemea Wana siasa ambao walikua kinyume na mpango wa Mungu. Waliwakemea wanasiasa waliojitazama wao na kujiona Bora zaidi kuliko waliowaongoza. Yohanne Mbatizaji alikatwa kichwa kwa kumkemea Herodi (Mfalme) kwa kumuua ndugu yake na kumtwaa mke wake!

Serikali Yako imeanzisha kamati za amani zikiongozwa na hao viongozi wa dini. Sasa hawakujua kwamba Wana wajibu wa kuwajua waamini wao kuliko kuhusika na siasa?

Viongozi wa dini wanahubiri watu wao kuwa na amani upendo na mshikamano Kila siku! Mbweha kama wewe unaandika kushusu watu kuchukiana. Ni wajibu wa kiongozi wa dini kwenda Moja kwa Moja kwenye shina linalotaka waamini wachukiane sababu ya tofauti zao za kisiasa..

Hii ni kutokana na ukweli kwamba chuki hizo zinawwza kusababisha mauji ambayo ni dhambi Kwa mujibu wa amri za Mungu. Kanisa litafanyaje kazi wakati wote watu wanauana na kuwa wakimbizi?

Kanisa ni watu, na watu Hawa Ndio wanaotenda haya matendo ya wizi wa kura, ufisadi na Mauaji, watu wanaopora Haki za watu. Sasa Askofu au mchungaji ana wajibu wa kunakumbusha hawa watu kuwa matendo Yao ni kinyume na maelekezo ya mwenyezi Mungu!


Askari ni watu wanaolinda usalama wa watu na Mali zao! Wanapogeuka kuwa majambazi. Askofu ana wajibu wa kiroho wa kuwakemea mana imeandikwa kuiba ni dhambi na kudhulumu Haki ni dhambi! Hakuna namna unaweza kuchora mstari wankimajukumu linapokuja swala la siasa na Imani. Soma hapa

(Luka 3:14).

Na mwisho Mshauri Mwenyekiti asiwaalike ikulu Wala juwapigia simu kuwapa michango ya makanisa Yao katikati ya ibada, lakini wakati wa uapisho wasiwaalike, na Wala wasiwatake kukuombea Taifa na wasivunje wanazoita kamati za amani za Mkoa na taifa!
Wewe ni Mjinga Ashakum sio matusi
Umekuja kujitetea. Tuambie u askofu wa Kanisa gani? Maana Morovian tumekufukuza u wa Kanisa lipi?😀😀
 
Back
Top Bottom