Askofu Mwamakula: Polepole ametahadharisha tusipokuwa makini, Serikali inaweza 'kutekwa nyara' na kubaki kama 'mwanasesere'

Askofu Mwamakula: Polepole ametahadharisha tusipokuwa makini, Serikali inaweza 'kutekwa nyara' na kubaki kama 'mwanasesere'

Raisi Samia kasema leo anataka matendo sio kelele za kwenye TV na Youtube. Huyu alifanya nini cha maana wakati wake zaidi ya kununua wagombea wa upinzani? Hiyo ndiyo sera za maendeleo? Mdomo tu hakuna cha kuonyesha. Hebu tujiulize kabla ya siasa Polepole amewahi kufanya kazi gani kwenye sekta binafsi au shirika lolote la maana? !!
Hatuwezi wote kufanya kazi serikalini au shirika la maana. Kwa mfano humu JF kuna wakulima,manesi,mafundi nk. Yani unataka kila mtu afanye kazi serikalini au mashirika ya maana!!!!
 
Yeye anyamaze wakati wao umeshapita kwa sababu hicho anachokizungumza leo ndicho kilichokuwa kikifanyika wakati wa utawala wa bwana'ke aliyekuwa akimtumikia lakini kwa sababu alikuwa akipata maslahi wala hakujali, mshenzi mkubwa.
 
Polepole ni baadhi ya watu kwenye genge la Magufuli waliofanikisha siasa chafu kupata kutokea hapa nchini. Yeye anaamini chini ya utawala Magufuli serikali haikuwa kikundi, kwakuwa yeye alikuwa kwenye mlo.

Sasa hivi hayuko kwenye mlo, na yeye na wenzake waliokuwa kwenye genge la Magufuli wanaanza kutolewa kwenye mnyororo wa mlo, anaanza kupiga kelele.

Huyo Polepole inabidi avuliwe nyadhifa zote alizonazo, na akija huku mtaani ndio atavuna alichopanda. Na akiongea sana awekwe ndani ndio atajua ubaya hailipi.
 
Polepole ni baadhi ya watu kwenye genge la Magufuli waliofanikisha siasa chafu kupata kutokea hapa nchini. Yeye anaamini chini ya utawala Magufuli serikali haikuwa kikundi, kwakuwa yeye alikuwa kwenye mlo...
Kwa mwenendo wake sijui ataponea wapi.

Kwanza hakuna kundi analotetea angalau jamii ingemhurumia, anayoyaita shule ya uongozi kwa watanzania niwajuavyo ni upuuzi labda angepigia kelele tozo angevuna huruma.
 
Kwavile amenyimwa ulaji ndio anaona mambo hayapo sawa.....ila kipindi Lissu anavyopigwa risasi hakusema kitu, kipindi watu wanapewa kesi za uhujumu uchumi hakusema kitu ila kisa ametolewa kwenye mirija ya ulaji ndio anakumbuka nafasi yake kama kiongozi.....whether anasema ukweli au uongo kwanini hakuona mabaya huko nyuma? Mkosaji
 
Tena huyo polepole mwambieni atulie tutamrarua hataamini Hawa ndio waliotumika kusema lisu kajipiga risasi mwenyewe pumbavu kabisa Malaya wa kisiasa wewe.
Shenzi kabisa huyu slow slow
 
Najaribu kufuatilia kile anachokiita chuo cha uongozi, naona anahitaji tiba ya akili
mimi pia, juzi nimesikia, kupitia watu maana mimi kwakweli siwezi kamwe kumsikiliza huyo jamaa, anasema wazungu hawajawahi kuleta dawa inayotibu vidonda vya tumbo, wala kisukari, wala pumu n.k. akimaanisha tusiamini dawa zao bali tuchukie haswaaa.

naungana nawe, anaonekana ana hangaiko la roho lisilo la kawaida......haeleweki tu anasimamia nini au anatakaje haswa. cha kuchekesha, katikati ya maongezi yake eti nasikia anajifanya kuchomekea, 'namshukuru sana raisi samia'. lkn wadau wanadai sura yake inakataa kabisa akisema hivyo.

Kuna wakati alizungumza faida za kiuchumi kule bungeni ilizopata tanzania katika janga la korona na kupata likes kadhaa kutoka kwa wasiompenda samia. basi akafikiri ndo imeshakuwa njia yake ya kutokea, akaanza kutokea kwenye makongamano na hatimae hiko kipindi. kwa sasa pindi nasikia halina mvuto wowote, taratiibu linapotea zake. sijui anajipanga na nini sasa kitakachomweka kwenye chati?
 
Na hili ndio tatizo la Tanzania yetu. Ukitaka kupata mashabiki, ongea kile wanachopenda kusikia. Hata Bashite akiibuka leo na kujifanya anasapoti "Katiba Mpya," ataonekana shujaa.

Huyu Polepole anaongea haya kwa sababu amepigwa chini. Yeye ndio anajaribu kutengeneza kundi la maharamia mbadala wa hao maharamia wa CCM.

Alipaswa kupuuzwa, lakini kama nilivyotanabaisha awali, ukitaka upendwe na Watanzania, ongea kile wanachopenda kuskia. Hawana muda wa kuangalia background ya mwongeaji.
 
Watu kama polepole sio wakuwasapoti kabsa kwahiyo kili inamrudi baada ya kutolewa nnje ya system? Angeendelea na nafasi aliyonayo hapo awali angeyasema haya?
Acha watafunane wenyewe kwa wenyewe pole pole yupo nyuma ya sukuma gang, na b hangaya ni kama kashtuka vile
 
Hii kitu Inawezekana ikawa na ukweli. Polepole, Lissu na Ngurumo, wote wamekuja na similar statements.... Is it a coincidence.

South Africa story za STATE CAPTURE zilipoanza zilikuwa down played. Later ikaja kuwa wazi kuwa akina Gupta walikuwa ndiyo vinara..... Sasa Bongo kutokana na Polepole inaelekea ni kikundi ndani ya CCM.
 
  • Nzuri
Reactions: BAK
Polepole anajulikana kwa misimamo yake tangia kwenye Bunge la katiba alionyesha msimamo thabiti.
 
Back
Top Bottom