Askofu Mwamakula: Polepole ametahadharisha tusipokuwa makini, Serikali inaweza 'kutekwa nyara' na kubaki kama 'mwanasesere'

Humphrey Polepole ameanza kujenga taasisi huru ya fikra! Hahitaji kiwanja cha kujengea taasisi hiyo wala hahitaji Wajumbe wa Bodi wa kuendesha kwani kichwa chake ndio Bodi yenyewe...
Huyu anayejiita askofu anapitisha hoja yake kwa mgongo wa Polepole, Anajua yeye watanzania wameshaamua kumpuuza. Hatari sana
 
Polpole si ndiyo huyu anatembea na makahaba,hivyo hawezi kuwa timamu.mwacheni abwatuke akitaka msaada atatuamsha hata saa tisa usiku tumsaidie.
 
Upuuzeni huyo "Polepole"! Muda wake umekwisha. Awaache waliopo madarakani wafanye kazi.
 
Mzee wa v eighty kabanwa mithili ya mjusi kwenye mlango. Apandae ngazi hushuka. Uliipigania katiba mpya baadae ukapiga abouturn. ..ulijua Meko ataishi milele? Ulituaminisha huwezi kaa chama kimoja na Mzee Lowassa, leo uko nae! Poleeee
 
 
POLE POLE kahusika kutufikisha hapa , ni SUKUMA GANG , na kwakuwa hsmkubali SSH ajiuzulu tu , atokee.
 
Mzee wa ile moja iliobaki weka kichwani ,nasikitika kukuambia unaakili Kama za nzi.Masaa 24 unawaza mavi yako wapi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…