Askofu Mwamakula: Sikutarajia yaliyoandikwa na Kabendera yangewekwa hadharani wakati wa uhai wangu

Haha mkuu mbona unauliza kitu ambacho unajua kabisa abadan kisingewezekana? It was still a classified information ndiomana hata yeye anashangaa imekuwaje mambo haya yamewekwa wazi akiwa bado hai meaning hata yeye alitegemea kubakia kuwa "CONFIDENTIAL"
 
Huyu mzee naye ni mganga njaa tu,ukiona mtu anapambana na marehemu huyo ana changamoto za Afya ya akiri.
 
Kwa maneno mengine, Askofu anatuthibitishia kwamba yaliyoandikwa katika kitabu cha Kabendera ni kweli kwani naye alipewa taarifa hizohizo ila hakuwahi kuzisema kokote.
Exactly...hii ndio maana yake na kahitimisha kwa CHADEMA kuangalia jinsi ya kuiliwaza kwa heshima familia ya Ben na gazeti la Mwananchi kuiliwaza familia ya Azorl.
Declassified.......😥
 
Great read, Askofu.
Naona umeyashuhudia kuwa ni kweli, yaliyoandikwa na Kabendera.
I will buy the book.
 
Kwahiyo magufuli hakuua mtu hata mmoja? MKIRU unaifahamu?
 
N
Huyu askofu feki naye ni ile axis ya ubeberu kuzima mapinduzi ya kuwakomboa umma wa wananchi kutoka unyonyaji kiuchumi. Wameanza kampeni yao mwanzo kabisa wa mwaka wa uchaguzi. Lakini watanzania waliyojamaa akilini fikra za Nyerere watasimama imara. Kina kabendera wataangukia pua.
 

Kama ni uongo tuambieni Ukweli ni upi?
 
Nkikumbuka Kabendera alivoteswa.
Nkikumbuka Ben Saanane alivokuwa akilalamika anatishwa.
Nkikumbuka Yussuph Manji alivoteswa.
Nkikumbuka mkurugenzi wa stendi ya ubungo alivoanguka ghafla na kufa.
Mungu ndo mwamuzi.

Na yakina Soka na Mzee Kibao bado tunaunganisha dots. Baada ya 2030 tutajua Ukweli.
 
Hata kama alikuwa na uzalendo WA nchi , ukatili ni character
 
You must also be a killer! an aide to magufuli, how dare you write such nonsense

With all these stereotype, yes I'm a killer.
Its nonsense because it's type of truth you don't want to hear.

Barrick CEO (Mark Bristol) is wanted now in Mali and some barrick officials have been detained, the main issue is fraud, corruptions and all dirties thing in mining business.
JPM was fighting with these bunch of thugs the way he choose to fight but somebody wanted JPM to take his way and even tried to backbite him by stealing here and there secret informations and shared to these thugs.

With no doubt, you know Imma advocate ( if l am not mistaken), Masha, Fatma, Lissu etc go and dig deep which kind of cases they use to advocacy and how much they have been paid.

Kabendera was paid to tarnish the image of the country during JPM reign, the bunch of thugs wanted this so that they can smoothen their operation and use it as bargain chip to JPM.

Yapo mengi ya ndani marehemu amekwenda nayo mwenyewe, ndio hata baadhi ya watu wanathubutu kudai uchunguzi huru juu ya kifo chake.
 
Huyu mwamakula Kwa Nini anatuficha mtu aliyetumwa na rais ili awashawishi Mbowe na lisu?Pia kasema alitishwa na polisi central Kwa nini hamtaji Kwa jina.Mungu hapende mtu ashuhudie uovu na kusema uongo.Awataje ili tuwajue vingine to itakuwa kama propaganda
 
Basi kama unalifahamu hilo jitahidi siku ya Mwisho Uulizwe kuhusu nafsi yako sio ya Nafsi za watu wengine, Mungu wetu alituasa ya Gizani/ Sirini tumuachie yeye wewe ni nani mpaka ukajua hukumu ya Bwana Mungu wetu
Amosi 3:7, Hakika Bwana Mungu hatafanya neno lolote bila kuwafunulia watumishi wake manabii siri yake.
 
Ulitaka auwawe?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…