Askofu Mwamakula: Sikutarajia yaliyoandikwa na Kabendera yangewekwa hadharani wakati wa uhai wangu

Hapo ndio ajue Samia ni mtu sio kama kibaraka Mkuu anaemtetea anavyoropoka huko.
 
Hayo mazuri ulikuwa ni wajibu wake kuyatekeleza maana alikuwa analipwa kwa kodi zetu na wala hakuwa akitoa hela yake mfukoni kuyatekeleza zilikuwa ni kodi zetu pia.
Halafu wema huwa hauvumi sana kama ubaya.
Na kabendara si wa kwanza kuandika ubaya wa kiongozi ndo maana biblia imeandika wazi kuwa mfalme daudi alimchukua mke wa mwanajeshi wake na akamzalisha na akatengeneza mazingira ya mume wa mwanamke huyo kuuwawa
Hivyo hamna cha ajabu alichofanya kabendera
 
Jifunzeni kuthamini kazi za watu nyie wamatumbi. Mtu kachukua muda wake kuandika wewe unataka bure na kusambaza bure, ingekua ni kazi yako ungejisikiaja? Aendeshe vp familia yake?
Ndio maisha yetu sisi wamatumbi kwani vipi?
Kutumia muda wangu Kusoma hicho Kitabu ni heshima kubwa nitakuwa nimempa.
Alikwambia amekichapisha ili aendeshe familia au we ndio mkewe?
 

Jamaa hawexi kutunga story kama hizo.

Tatizo la Watanzania ni wabishi bila sababu. Hangover ya Ujamaa inawasumbua. Wamezoea kuishi kwa propaganda. Kuna watu hata hawaamini kuwa Lissu alikuwa auwawe kwa maelekezo toka juu. Makonda roho inamruka huko aliko. Soon kila kitu kitakuwa wazi. Nasubiri kesi ya Lissu ipande mahakani huko UK.
 
Sijui anajiskiaje akisikia hizi habari za bosi wake zinalipuka hivi wazi wazi.
 
Hakika
 
Kwahiyo kila mtu anaweza kuita mwingine mbakaji, mlawiti, muuaji akaandika kitabu bila ushahidi wowote mtu huyo akiwa kafariki.

Tuhuma nzito kama hizo inabidi ziwe na ushahidi usio na shaka, sio nimeambiwa hivi, vile, hearsay, huwasemi hata walikuambia.

Vipi wewe ukipewa hizo tuhuma bila ushahidi wowote unaona ni sawa?
 
Nafahamu,Kabendera ni kati ya well trained Investigative Journalist hapa nchini,by the way ni wachache wandishi wenye kaliba yake.Pia tusishau kwenye network yake wapo pia watu wa mifumo ambao pengine hawakupenda uonevu.
Bila shaka
 
N
Ndiyo, watu wanakengeuka nchini then wanataka huruma kwa wananchi. Pumbavu kabisa hao mbwa. Kuna watu ukikutana nao mtaani unaweza kusema Ni watu lkn anga zao Ni hatari kuliko simba. Sasa Kama Ni kiongozi kwa Nini wasipunguzwe nchi ipumue?
 
hakuna kuisha bila haki kutendeka
Hayaishi bila mwafaka....huko.ndani wataendelea kuwindana kama paka na panya. Nchi zote duniani yalitulia baada ya kuchapana na baadae wakwekeana mwafaka kupitia mifumo yao ya utawala. Hapo ndio wakaanza kupata maendeleo ya kiuchumi, utawala bora na demokrasia ya kueleweka hata kama sio 100%
 
Una ushahidi JPM alimpiga risasi Saanane, Lissu au alimtesa Kabendera?
Yes, kadendera asingelithubutu kuyaandika kwenye kitabu chake....wanasheria wa dunia wali Ok akichapishe maana walihakikisha kuna ushahidi usio na mashaka
 
100 % Truth !
Ndio maana HACHAFUKI na HACHAFUKIKI !
Acha waendelee kubwabwaja !
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…