Askofu Mwamakula: Sikutarajia yaliyoandikwa na Kabendera yangewekwa hadharani wakati wa uhai wangu

Hakika !
 
Na bado wataibuka wengi kuthibitisha unyama na ukatili wa JPM na baada ya uchaguzi mkuu 2025 tutaelezwa kwa kina namna damu zilivyomwagwa pia na Hanganya.

CCM imetuletea wauaji waongoze nchi
Mafisadi na wenye vyeti feki ndo wanao mchafua mwamba
 
Waongo na wanafiki wana sifa za kufanana jinsi wao walivyokuwa lopolopo mbona ingekuwa wazi mapema?
 
Hata huo ubunge alioshinda mara ya kwanza ni baada ya kufanya fouls kibao
Kimaadili jamaa alikuwa mchafu haiwezekani kusema alikuwa na angalau kijiusafi fulani
Yule alikuwa na kaushetani yule.
 
Ukitoka maoni dhidi ya nchi badala ya kutoa maoni ya kujenga nchi Tena ukiwa kiongozi wa dini...lazima tujiulize maswali.
Huwezi kumsikia huyo Mwamakula akijaribu kuunganisha wananchi majukwaani.

Akipongeza kujengwa kwa hospitali hivyo kuokoa maisha. Umeme, maji, kudhibiti mfumuko wa bei, kupunguza rushwa, ufisadi, haki ya wazee, yatima, wajane kutodhulumiwa ardhi yao, nyumba, mashamba yao.

Haoni kwamba haki ilitendeka kwa sera hizi. Kwamba mikakati hii iliwasaidia watoto wengi maskini, watoto wa Mungu.

Asijiche kwamba aliambiwa na watu wa ndani. Anatoa tuhuma zisizo na ushahidi. Biblia imeandika usimsingizie jirani yako uongo. Mwambieni awe jasiri aweke ushahidi wazi. Mungu atamlinda.
 
Ungekua wewe ungefunua nyumba Yako ya meno uzungumze hayo ilinushindane na nani?
Na hapo wapi amesema Magufuli alimwambia au alisema!
Kuna mambo ni Magumu kutetea, huyu Mtu alikua ni binadamu!
 
Pascal Mayalla naomba ulete ule Uzi wako, wajue wasiojulikana watakaojulikana! Kumradhi kama nimekosea title! Ingawa wanasema wewe Ndio ulimchoma Kabendera kwenye Mamlaka za Jiwe!
 
Pascal Mayalla naomba ulete ule Uzi wako, wajue wasiojulikana watakaojulikana! Kumradhi kama nimekosea title!
karibu Shambulio la Lissu: Wajue wasiojulikana watakaojulikana na 'Wasiojulikana' ambao kamwe, hawatajulikana
Ingawa wanasema wewe Ndio ulimchoma Kabendera kwenye Mamlaka za Jiwe!
hili la mimi kumchomea EK ni kweli nilihisiwa,alipofiwa na mama, kwanza nilimuombea kwa JPM Personal Plea Kwa Rais Magufuli: Kama ameweza kuwasamehe wabakaji, wauaji, mafisadi, wahujumu, anaweza pia kumsamehe Eric Kabendera, amzike mama yake
Mimi ni miongoni mwa waandishi tuliomzika mama yake EK, kisha nikajibu tuhuma Pascal Mayalla ndiye aliyemchongea Erick Kabendera kwa dola
Nikiwa UK, nikamtafuta,akanijulisha jinsi alivyokuwa akipelekewa print out za jf jinsi ninavyomchomea!。 Thanks God he is an intelligent man,angekuwa mjinga mjinga angeamini huo ujinga!
P
 
Kwa tafisiri hiyo ni Kuwa Askofu anatuambia Kuwa Erick kabendera ndio Amekuja Kuverify Kuwa Azory Gwanda na Ben Saanane wamefariki? Duh
 
Anataka kubariki drama za kitabu n ngumu sana kusahau mazur ya magufuli marais wote wana mazur na mabaya yao kwa nn wamekomalia kwa magu tu
Mkuu, hilo swali, 'kwa nini wamekolia kwa Magu" jiuluze wewe, tafakari kwa upana na undani wake, ukiwa neutral, bila upande.
 
Haisaidii, sasa kama Magu alikuwa muuaji kina ben watafufuka? Hakuna cha maana zaidi ya kupandikiza chuki kwenye hilo likitabu lenu la uongo na kutunga.
Inasaidia Sana kuweka kumbukumbu ili Kama taifa
Kwa maneno mengine, Askofu anatuthibitishia kwamba yaliyoandikwa katika kitabu cha Kabendera ni kweli kwani naye alipewa taarifa hizohizo ila hakuwahi kuzisema kokote.

Ndio maana yake.

Askofu ni Shahid muhim ikiwa Kabendera atahojiwa.

Kabendera hajakurupuka ,, aliyoyasema yapo vifuani mwa wengi.
 
Nilitegemea aina hii ya coments
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…