Askofu Mwamakula: Sikutarajia yaliyoandikwa na Kabendera yangewekwa hadharani wakati wa uhai wangu

Nkikumbuka Kabendera alivoteswa.
Nkikumbuka Ben Saanane alivokuwa akilalamika anatishwa.
Nkikumbuka Yussuph Manji alivoteswa.
Nkikumbuka mkurugenzi wa stendi ya ubungo alivoanguka ghafla na kufa.
Mungu ndo mwamuzi.
 
Wapi kasema aliambiwa na marehemu?
 
Tangu hizi habari zianze kusambaa hatujaona uthibitisho hata mmoja. Ni hearsays, speculations na personal opionions tu zinatawala. What a crap kutoka kwa a self-declared bishop.

Na bahati nzuri zinatoka kwa walewale vibaraka wa mabeberu. Hatushangai kama ambavyo hatushangai panya kumchukia paka.

It changes nothing especially kazi kubwa aliyolifanyia taifa hili Rais bora kabisa kuwahi kutokea.
 
Magufuli alikuwa muuaji mkubwa huyo shetani kabisa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…