Sang'udi
JF-Expert Member
- May 16, 2016
- 9,138
- 22,236
Tuthibitishie tuhuma hata mojawapo tu walau.Uthibitisho kiaje.. video ya ben akipigwa risasi?!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tuthibitishie tuhuma hata mojawapo tu walau.Uthibitisho kiaje.. video ya ben akipigwa risasi?!
Ati bado taarifa nyingine ni classified...! Kwa hiyo naye ni "Kitengo" katika ngozi ya kondoo?....hakuwahi kuzisema kokote.
Huu ujumbe alipewa nani akampe naniKwa hiyo jibu langu kwake lilikuwa moja tu: "Mwambie Mheshimiwa kuwa akitaka aniue, lakini Askofu hatarudi nyuma"! Vitisho vya aina hiyo niliwahi kupewa na Polisi mmoja nikiwa Central Polisi, Dar es Salaam mwezi mmoja kabla Rais Magufuli hajafariki dunia.
Mnafikiriaga wakati mnaandika? Waliosema akiwa hai uliwaamini? Yaliwapata yapi au ndio kujitetea kwa marehemu huko?Ukitaka kujua mtu muongo aliyekubuhu wana sifa moja za kufanana wawe maaskofu au yeyote utasikia marehemu aliniambia wakijua marehemu hawezi fufuka kujitetea au kusema muongo huyu Askofu
Askofu Mwamakula anaangukia kwenye hilo kundi la waongo wabobezi kwa nini hakusema hayo Magufuli akiwa hai?
Kuji brag na kiingereza hakufuti ukatili na ujambazi wa magufuli dhidi ya watz wasio na hatia aliomwaga damu zao.Don’t have to, don’t need to.
And if I did, it’d be above your pay grade.
Levels.
I’m deeper than the Challenger Deep.
Alisema kidogo kwenye kongamano la TLS la Amani, ukienda Kule Youtube aliwahi kutaja kuhusu kutishwa. Sijajua kama ni tukio hilo hilo au lingine.Kwa maneno mengine, Askofu anatuthibitishia kwamba yaliyoandikwa katika kitabu cha Kabendera ni kweli kwani naye alipewa taarifa hizohizo ila hakuwahi kuzisema kokote.
Ndiyo maana yake. Naye aliambiwa na yule mtishaji hayo hayo yaliomo.kwenye kitabuKwa maneno mengine, Askofu anatuthibitishia kwamba yaliyoandikwa katika kitabu cha Kabendera ni kweli kwani naye alipewa taarifa hizohizo ila hakuwahi kuzisema kokote.
Mwambie mshamba huyo.Kuji brag na kiingereza hakufuti ukatili na ujambazi wa magufuli dhidi ya watz wasio na hatia aliomwaga damu zao.
Kile cha akina Meena ulikimaliza? Au baada ya kufutwa na kile kilichoandikwa na Mtaaluma wa Malawi kuhusu "Magufulication of Africa" ulipotea Mazima?Mwenye PDF ya Kitabu Cha kabendera atuwekee hapa tafadhali.
We endelea na kina Kiboko ya wachawi na akina Gwajima na mwamposa na injili za kina DABHakuna mtumishi wa mambo ya kiroho halafu awe mwanasiasa . Hiyo ni hakuna. Kuwa mwanasiasa ni kuwa muongo muongp.
Kwa sasa aidha kambi Lisu au Mbowe. Unasimama wapi. Sioni cha maana
Si hata wewe ni mchawi, bush DaktariWe endelea na kina Kiboko ya wachawi na akina Gwajima na mwamposa na injili za kina DAB
😡Ati bado taarifa nyingine ni classified...! Kwa hiyo naye ni "Kitengo" katika ngozi ya kondoo?
HahahaSi hata wewe ni mchawi, bush Daktari
Upo sahihi.Kwa maneno mengine, Askofu anatuthibitishia kwamba yaliyoandikwa katika kitabu cha Kabendera ni kweli kwani naye alipewa taarifa hizohizo ila hakuwahi kuzisema kokote.