johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Halafu baadaye niombe radhi? 🐼Picha husika tafadhali
Nitumie na ya kwako basi chapuPicha husika tafadhali
Unakuwa umevunja sheria ipi?Halafu baadaye niombe radhi? 🐼
Si kuwa kalala, pozi lile akikaa anaonekana kama kasinzia ila alikuwa anaandika.Askofu Mwamakula amesema mzee Wassira licha ya kuwa ni Makamu mwenyekiti wa CCM Lakini pia ni Kiongozi mstaafu wa serikali anayepaswa kuheshimiwa na Taasisi zote
Askofu Mwamakula amesema siyo sahihi TBC kurusha picha ya Mzee Wassira akiwa amesinzia kikaoni
TBC wanapaswa kujieleza na kuomba radhi, amesisitiza askofu Mwamakula Ukurasani X
Ahsanteni sana
Kwanza hakuwa amesinziaWaliomuona ni wachache sana. Hapa lengo ni kumfedhehesha zaidi.
Mzee alikuwa anafanya meditation.Kama ni kweli, huo ni zaidi ya unaki 😁😁
Ujumbe sio TBC kuomba radhi Ila mteuliwa kusinzia kikaoni..
Ukiona Kobe kainama anatunga sheria.Askofu Mwamakula amesema mzee Wassira licha ya kuwa ni Makamu mwenyekiti wa CCM Lakini pia ni Kiongozi mstaafu wa serikali anayepaswa kuheshimiwa na Taasisi zote
Askofu Mwamakula amesema siyo sahihi TBC kurusha picha ya Mzee Wassira akiwa amesinzia kikaoni
TBC wanapaswa kujieleza na kuomba radhi, amesisitiza askofu Mwamakula Ukurasani X
Ahsanteni sana