Askofu Mwamakula: Viongozi wa dini ndani ya TBC

Hawaijui demokrasia wao ukiwasema wanakasirika harafu wanajiita wanademos ,wanataka kila mtu aichukie serkali
 
Kuwaza kwa kufikiri Fulani atapendezwa nahili au atachukizwa na lile Ni hangs kubwa Sana, Tumuombe Mwenyezi Mungu mwenye wingi wa rehema atuongoze na tumtukuze yeye tu sio binadamu. Amina
Mungu hasikiliza maombi ya wenyedhambi kama nyie
 
Duh! Kwangu mpya hii
 
Una UFINYU wa akili wewe, Askofu kazunguka Tanzania nzima wakati wa kampeni halafu leo unaandika upuuzi/uongo wako kwamba eti anajificha! Wahi Mirembe wakakufungulie faili kabla hujaharibikiwa zaidi.

Sawa askofu bandekule mwana uamsho hahahha .kaombe na wewe TBC1 kipindi sio kujificha JF eti anaandika askofu mara anasema askofu mara kutoka kwa askofu si uombe tu uwe verified
 
Una UFINYU wa akili wewe, Askofu kazunguka Tanzania nzima wakati wa kampeni halafu leo unaandika upuuzi/uongo wako kwamba eti anajificha! Wahi Mirembe wakakufungulie faili kabla hujaharibikiwa zaidi.
Bande -Kule
 
Kama ni mkristo nenda kasome vitabu vya wafalme 1&2 uone manabii wa Mungu walikua wana waonya vipi viongozi wa serikali walio pwaya..Hoja yake ni kwamba viongozi wa dini wasifie..waonye na kukemea wazi wazi bila kusimama upande wowote..na jamii ielewe hivyo.

#MaendeleoHayanaChama

Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
 
Farisayo na Sadukayo walikuwa TBC
 
Reactions: BAK
Mkuu tufafanulie huyo katimba ndiyo nani? Na wakafikia kulala kitanda kimoja!
 
Huyu in muasi, hakuna kanisa la Moravian la uamsho! Anapenda tu kiki huyu askofu, alikuwa anawaongoza kwa Sara wapumuliwa visogoni, hii ni laana!
Eti Kanisa la Morovian la uamsho! Dizaini Kama alifukuzwa Na Morovian.
Ila ana bidii ya kutafuta Kiki hadi akawa mjumbe wa kudumu kwenye kampeni za Lissu!
 
Eti Kanisa la Morovian la uamsho! Dizaini Kama alifukuzwa Na Morovian.
Ila ana bidii ya kutafuta Kiki hadi akawa mjumbe wa kudumu kwenye kampeni za Lissu!
Alikula pesa za usharika akaleta siasa akafukuzwa kama Mungu alivyomfukuza Adam pale Eden sasa anatafuta kiki za kisiasa huyu bandekule anaishi kwa utapeli mbeya
 
Alikula pesa za usharika akaleta siasa akafukuzwa kama Mungu alivyomfukuza Adam pale Eden sasa anatafuta kiki za kisiasa huyu bandekule anaishi kwa utapeli mbeya
Na hajatubu dhambi ya kul sadaka za wanyonge wa Moroviani
 
Askofu Gwamanywa na Shehe Twalib wa Bakwata hebu tufafanulieni umakini wa baraza la mawaziri mlilolisifia ambalo bado hatujaona utendaji wake japo tumeona mmojawao akishindwa kusoma kiapo!
 
Reactions: BAK
Askofu Gwamanywa na Shehe Twalib wa Bakwata hebu tufafanulieni umakini wa baraza la mawaziri mlilolisifia ambalo bado hatujaona utendaji wake japo tumeona mmojawao akishindwa kusoma kiapo!
MATAGA wakupe ufafnuzi?
 
Sijawahi kuona ka-Askofu kaalikopauka kama hako ka-Mwamakula
 
Mnaoneemeka na utawala wa Magufuli hamko tayari akosolewe. Hivi mnamuona kama malaika au Mtume?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…