Askofu Mwamakula: Viongozi wa dini ndani ya TBC

Askofu Mwamakula: Viongozi wa dini ndani ya TBC

Uanmlinganisha huyu mvuta bangi mwamakula na pope. Pope amesoma huyu mwamakula unakula kwa utapeli tu
Kwa UFINYU wa akili zako. Hata POPE Francis kule Vatican anakemea na kukosoa maovu mbali mbali duniani lakini akifanya hivyo Askofu Mwamakula KOSA! Kule South Africa kuna Askofu TUTU naye alikemea na anaendelea kukemea maovo mbali mbali ndani ya Afrika Kusini na kwingineko duniani ambao umemjengea umaarufu mkubwa sana katika Nchi nyingi duniani.
 
Acha kulinganisha watu na takataka kama hizi wewe
Kwa UFINYU wa akili zako. Hata POPE Francis kule Vatican anakemea na kukosoa maovu mbali mbali duniani lakini akifanya hivyo Askofu Mwamakula KOSA! Kule South Africa kuna Askofu TUTU naye alikemea na anaendelea kukemea maovo mbali mbali ndani ya Afrika Kusini na kwingineko duniani ambao umemjengea umaarufu mkubwa sana katika Nchi nyingi duniani.
 
Ni MPUMBAVU tu ndiyo anayeweza kuandika UPUMBAVU kama huu. Eti Askofu Mwamakula ni takataka. Kumbuka kabla HUJAFA HUJAUMBWA.
Acha kulinganisha watu na takataka kama hizi wewe
 
Kwa UFINYU wa akili zako. Hata POPE Francis kule Vatican anakemea na kukosoa maovu mbali mbali duniani lakini akifanya hivyo Askofu Mwamakula KOSA! Kule South Africa kuna Askofu TUTU naye alikemea na anaendelea kukemea maovo mbali mbali ndani ya Afrika Kusini na kwingineko duniani ambao umemjengea umaarufu mkubwa sana katika Nchi nyingi duniani.
Alikosoa chama gani? Papa anakemea watu wote wakiwamo wa chadema wanaoua watu na kuwatupa wakati wamewapigia simu.
Kwani huko chadema hakuna maovu mbona huyo mwamakula na bagonza hajawakemea na wale wakiokuwa wanataka mapemzi ya jinsia moja?
Au kwa vile na yeye alikuwa analala na katimba ndo maana alikaa kimya?
 
Na kwa akili yako FINYU Askofu Mwamakula hajasoma siyo? MPUUZI Mkubwa wewe! Acha KUROPOKA ROPOKA kuhusu mambo usiyoyajua. Pimbi wewe!
Uanmlinganisha huyu mvuta bangi mwamakula na pope. Pope amesoma huyu mwamakula unakula kwa utapeli tu
 

Staff​

Pastor Emmaus Bandekile Mwamakula is the General Director, based in Dar es Salaam. Emmaus holds a Bachelor (Hons.) Degree in Applied Theology and a Master of Arts degree in ‘Global Issues in Contemporary Missions’ from Redcliffe College in England. Note: From 4th October 2012 to 3rd October 2013 Emmaus expects to be on sabbatical leave in order to undertake further Christian Ministry studies. While Emmaus is on leave, Mrs Stella Mtui is Acting General Director. Stella has previous served on the SU Staff in children’s ministry and has served in the Standing Committe for 3 years. She holds a Certificate in Social Works and an Advanced Diploma in Social Works from the Institute of Social Welfare in Dar es Salaam and also has a Master’s Degree in Public Administration from Mzumbe University, Tanzania.

Uanmlinganisha huyu mvuta bangi mwamakula na pope. Pope amesoma huyu mwamakula unakula kwa utapeli tu
 
Na kwa akili yako FINYU Askofu Mwamakula hajasoma siyo? MPUUZI Mkubwa wewe! Acha KUROPOKA ROPOKA kuhusu mambo usiyoyajua. Pimbi wewe!
Amesoma ila hajaelimika mchochezi yule next time atashuglikiwa tu asione yupo kanisani akafikilia anaachwa afachua watu
 
Kwa mwenye UFINYU wa akili tu ndiyo anaweza kuandika huu UPUUZI kwamba anayekemea MAOVU ya nchi hii basi huyo ni mchochezi. Maovu yote tuyanyamazie ili tuitwe WAZALENDO. Ama kweli akili ni nywele....

Amesoma ila hajaelimika mchochezi yule next time atashuglikiwa tu asione yupo kanisani akafikilia anaachwa afachua watu
 
Bandekule vipi bado unajificha wapi sasa mchungaji leta na zile za askofu wa kanda ya ziwa
Kwa mwenye UFINYU wa akili tu ndiyo anaweza kuandika huu UPUUZI kwamba anayekemea MAOVU ya nchi hii basi huyo ni mchochezi. Maovu yote tuyanyamazie ili tuitwe WAZALENDO. Ama kweli akili ni nywele....
 
VIONGOZI WA DINI WATUMIA TBC KUTOA MAONI YAO KUMSIFIA RAIS MAGUFULI.

Tarehe 9 Desemba 2020 majira ya Saa 9 asubuhi. Nipo katika runinga nikitazama na kuangalia kipindi maalum katika TBC. Kuna viongozi wawili wa dini, Askofu Sylivester Gamanywa wa WAPO Mission International na Sheikh Swed Twaib wa BAKWATA wanatoa maoni yao kuhusu Utendaji wa Rais Magufuli hususan Uteuzi wa Baraza la Mawaziri uliofanywa hivi karibuni. Wamesifia weredi, na umakini wa Rais katika kuunda Baraza lake la Mawaziri na kwamba amefuata viwango, vigezo na Katiba.

Hayo ni maoni ya viongozi hao wa dini. Wao wameamua kusifia na hicho walichokiona. Hatuwezi kusema wanafanya siasa au wanachanganya dini na siasa. Ni haki yao kikatiba lakini pia ni haki ya wananchi kusikia maoni ya viongozi wa dini wanaosifia utendaji wa Serikali.

Vilevile, ni vizuri tukaelewa kuwa wapo viongozi wa dini wanaotoa maoni yao kwa njia ya kukosoa, kuonya au kukemea pale wanapoona kuwa hapaendi sawa. Nao ni mtazamo wao na hatuwezi kusema kuwa wanafanya siasa au wanachanganya dini na siasa. Ni haki yao kikatiba na ni haki ya wananchi kusikia maoni ya viongozi wa dini wanaokuwa na maoni tofauti kwa kukosoa, kuonya na kukemea mambo yasiyokwenda sawa!

Tanzania tuwe tayari kusikia maoni ya viongozi wa dini yawe ya kusifia, kuonya, kukemea au kukosoa. Tunawatia moyo kuanzia Januari 2021 kujitokeza kwa wingi kusikiliza maoni ya Askofu Mwamakula kupitia "Matembezi ya Hiyari" kuhusu umuhimu wa Kuunda Tume Huru ya Uchaguzi na Uandikwaji wa Katiba Mpya!

Mwana Kondooo Ameshinda! Tumfuate!

Askofu Emmaus Bandekile Mwamakula - Kanisa la Moravian la Uamsho Tanzania & Afrika Mashariki
Naona umehamia kwa mwamakula na umemchoka Tototundu ambaye ulikuwa ni PA wake
 
Wakati ukimtaja babangu hukujua unachezea moto mpumbavu wewe badala ya kupambana na hoja unaleta wazazi humu kiazi wewe

johnthebaptist​

kwa huyu mzee yeye anashindana kwa hoja wala siyo matusi kama
 
VIONGOZI WA DINI WATUMIA TBC KUTOA MAONI YAO KUMSIFIA RAIS MAGUFULI.

Tarehe 9 Desemba 2020 majira ya Saa 9 asubuhi. Nipo katika runinga nikitazama na kuangalia kipindi maalum katika TBC. Kuna viongozi wawili wa dini, Askofu Sylivester Gamanywa wa WAPO Mission International na Sheikh Swed Twaib wa BAKWATA wanatoa maoni yao kuhusu Utendaji wa Rais Magufuli hususan Uteuzi wa Baraza la Mawaziri uliofanywa hivi karibuni. Wamesifia weredi, na umakini wa Rais katika kuunda Baraza lake la Mawaziri na kwamba amefuata viwango, vigezo na Katiba.

Hayo ni maoni ya viongozi hao wa dini. Wao wameamua kusifia na hicho walichokiona. Hatuwezi kusema wanafanya siasa au wanachanganya dini na siasa. Ni haki yao kikatiba lakini pia ni haki ya wananchi kusikia maoni ya viongozi wa dini wanaosifia utendaji wa Serikali.

Vilevile, ni vizuri tukaelewa kuwa wapo viongozi wa dini wanaotoa maoni yao kwa njia ya kukosoa, kuonya au kukemea pale wanapoona kuwa hapaendi sawa. Nao ni mtazamo wao na hatuwezi kusema kuwa wanafanya siasa au wanachanganya dini na siasa. Ni haki yao kikatiba na ni haki ya wananchi kusikia maoni ya viongozi wa dini wanaokuwa na maoni tofauti kwa kukosoa, kuonya na kukemea mambo yasiyokwenda sawa!

Tanzania tuwe tayari kusikia maoni ya viongozi wa dini yawe ya kusifia, kuonya, kukemea au kukosoa. Tunawatia moyo kuanzia Januari 2021 kujitokeza kwa wingi kusikiliza maoni ya Askofu Mwamakula kupitia "Matembezi ya Hiyari" kuhusu umuhimu wa Kuunda Tume Huru ya Uchaguzi na Uandikwaji wa Katiba Mpya!

Mwana Kondooo Ameshinda! Tumfuate!

Askofu Emmaus Bandekile Mwamakula - Kanisa la Moravian la Uamsho Tanzania & Afrika Mashariki
Huyu in muasi, hakuna kanisa la Moravian la uamsho! Anapenda tu kiki huyu askofu, alikuwa anawaongoza kwa Sara wapumuliwa visogoni, hii ni laana!
 
Wakati ukimtaja babangu hukujua unachezea moto mpumbavu wewe badala ya kupambana na hoja unaleta wazazi humu kiazi wewe
Hawa akiri zao zimekuwa kam za kenge,
Wanashabikia vitu ambavyo hata havitimii kama wanavyotaka, lakini wapo tu kila siku na uninga kam wa mwamakula,
Badala ya kufundisha watu waacha ushetani huko kanisani kwake yeye anatafuta mambo ya siasa,
Ajitose kama gwajima tu ili awe huru kusema mambo ya siasa ya upande aliopo.
Sasa washabiki wamekuwa na mitusi kama watoto wasiokuwa na wazazi wa kuwakanya.
 
Anapenda kutukana anadhani kila mtu hana hekima na busara kama yeye
Kuwaza kwa kufikiri Fulani atapendezwa nahili au atachukizwa na lile Ni hangs kubwa Sana, Tumuombe Mwenyezi Mungu mwenye wingi wa rehema atuongoze na tumtukuze yeye tu sio binadamu. Amina
 
Back
Top Bottom