Askofu Mwanakula, Pd. Kitima, na Askofu Bagoza wakutana na waziri mkuu!

Chuma Bangonza na Mwadhama hapo wamekosekana
 
Mwamakula na Kitima hapo wanawaza msosi tu na ka posho
 
Utasikia wanataka kuanzisha chama cha siasa.

Mwacheni Kasimu, yupo mguu mmoja ndani mwingine nje
 
Zile kelele za Biteko zimeishia wapi?? Simsikii mhesh naibu waziri mkuu!!
 
Shehe ponda yuko bize kushawishi wafadhili wa magaidi wa mpe misaada kupitia maandamano.
 
Hivi yule aliyefuatwa usiku usiku huko Mbeya si ndio mmojawapo hapo.kwa nn aasimlie timing hapo hapo hadi wamsubirie mbali kote huko na usiku
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…