Askofu Niwemugize: Hujafa hujaumbika, leo umeumbuka

Askofu Niwemugize: Hujafa hujaumbika, leo umeumbuka

Jaji Mfawidhi

JF-Expert Member
Joined
Feb 20, 2016
Posts
15,835
Reaction score
23,776
Baba Askofu Severin Niwemugize

Mawazo ya waliomo humu Ndani ya Precision air kabla ya uokozi ni mawazo ya kipekee.

Hawawazi benki wana shilingi ngapi, hawawazi Simu ya macho 3/iphone 14 pro max, hawawazi majumba ya kifahari na magari aina ya Lexus v8.

Hawawazi kula bata George and Dragon, hapo walipo wanawaza "Yesu na sala zao za Mwisho"

Hawawazi kwamba Nina PHD[Oxford or Havard], Nina Masters[SAUT au Makumira], huko nje Kuna wavuvi wameishia darasa la 7, hawajui hata kiingereza Cha kusema Yes,

Walioko ndani maji yanazidi kuingia wanatamani maisha ya wavuvi wasio na uwezo wa kupanda ndege yawe yao, mkojo unawatoka na haja kubwa inawatoka.

Wangeambiwa "toeni milioni 10 Ili tuwatoe" wangetoa, wangeambiwa "jivueni Vyeti vya elimu yenu mseme nyie ni darasa la 7 Ili muokoke" wangekubali.

Ni wema wa Mungu hawa watu wameokoka.


Haya maisha tuishi kama tupo ndani ya hii ndege huku hatujui tutaokolewa/opolewa saa ngapi.

Ukiishi kama hawa watu hautatupa chakula, hautadharau yoyote hata kama hajasoma, hautaringia pesa zao, wala hautaringia baba Yako eti ni waziri ndio maana Unaweza kutukana yoyote.

HAUTAONEA MTU
 
LHii inasaidia nini? Wakati kunapotokea janga la kuhitaji utaalamu utumike hautumiki its just a way to reflect and comfort but cant take us anywhere!

Lets address matatizo ya msingi!
 
Hii inasaidia nini? Wakati kunapotokea janga la kuhitaji utaalamu utumike hautumiki its just a way to reflect and comfort but cant take us anywhere!

Lets address matatizo ya msingi!
Ufalme wa Mbinguni ni la msingi kuliko hilo uwazalo wewe, unataka tujadili mambo ya CCM kuandaa tamasha la kumpongeza SAMIA, tujadili matatizo ya maji na umeme ambayo kila bunge likaalo kwa miaka 60 sasa story ni zile zile?
 
Baba Askofu Severin Niwemugize

Mawazo ya waliomo humu Ndani ya Precision air kabla ya uokozi ni mawazo ya kipekee.

Hawawazi benki wana shilingi ngapi, hawawazi Simu ya macho 3/iphone 14 pro max, hawawazi majumba ya kifahari na magari aina ya Lexus v8.

Hawawazi kula bata George and Dragon, hapo walipo wanawaza "Yesu na sala zao za Mwisho"

Hawawazi kwamba Nina PHD[Oxford or Havard], Nina Masters[SAUT au Makumira], huko nje Kuna wavuvi wameishia darasa la 7, hawajui hata kiingereza Cha kusema Yes,

Walioko ndani maji yanazidi kuingia wanatamani maisha ya wavuvi wasio na uwezo wa kupanda ndege yawe yao, mkojo unawatoka na haja kubwa inawatoka.

Wangeambiwa "toeni milioni 10 Ili tuwatoe" wangetoa, wangeambiwa "jivueni Vyeti vya elimu yenu mseme nyie ni darasa la 7 Ili muokoke" wangekubali.

Ni wema wa Mungu hawa watu wameokoka.

Haya maisha tuishi kama tupo ndani ya hii ndege huku hatujui tutaokolewa/opolewa saa ngapi.

Ukiishi kama hawa watu hautatupa chakula, hautadharau yoyote hata kama hajasoma, hautaringia pesa zao, wala hautaringia baba Yako eti ni waziri ndio maana Unaweza kutukana yoyote.

HAUTAONEA MTU
🤔 facts
 
This is neither here nor there...

Eti Mvuvi !!!! Tatizo ni watu kufanya kazi / kitu bila kupenda yaani unafanya kwa kufuata ujira..., (and this is myopic thinking)

Nakumbuka nilikutana na Meneja mmoja alikuwa anafanya Kazi Rover sasa alipumzika sababu ya stress akachukua kazi ya Postman yaani alikuwa ananiambia this is the best Job he could ever had..., hakuna Stress, anakutana na watu na anafanya mazoezi kwa kutembea huku na kule huku akigawa barua....

What am trying to say huenda kwa maisha ya sasa huyo mvuvi ndio akawa a happiest person na kazi yake ana-enjoy to the fullest.... (eti wanatamani maisha ya wavuvi at that moment as if wavuvi ni inferior); Kwangu mimi Wavuvi they are at a higher pedigree (wananiletea chakula) kuliko hao wengine wanaowaona superior wakati ni Tozo zangu na za Wavuvi ndio wanazitafuna...

Anyway to each his / her own...., Fanya mema sababu its the right thing to do na sio sababu kesho / utakufa.... au unaweza ukafa......
 
Back
Top Bottom