mkorinto
JF-Expert Member
- Jun 11, 2014
- 31,415
- 38,761
Unawashwa tako kweli.Ila lile jambazi lako lenyewe lilikuwa linahubiri madhabahuni kila aliposali!!???
Askofu sio rais mbuzi wewe.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unawashwa tako kweli.Ila lile jambazi lako lenyewe lilikuwa linahubiri madhabahuni kila aliposali!!???
Utakuta hao maaskofu wako humu na huwa tunademka nao wakimkashfu marehemu
Sawa ni maoni yake.Yule Nduli na fashisti aliwakanyaga sana maaskofu waliokua na mawazo tofauti nayeye. Acha watu wateme nyongo zao.
Sigara kali unawashwa mbele na nyuma.Askofu ana hoja nzuri!
Bila kusahau mkoa wa Mkuranga, Lupaso na Msoga. Na baadaye mkoa wa KizimkaziNapendekeza Butiama iwe mkoa
Lakini chini ya kapeti akiongea na wazee wa chato akawaahidi kuifanya chato kuwa mkoa.Hebu heshimuni maamuzi ya marehemu Jiwe , si alizuia kuongeza mikoa na wilaya mpya lini alitengua ?
Hilo jimbo haliitwi Ngara bali linaitwa RulengeHayo ni maoni ya Askofu wa Jimbo Katoliki Ngara, Fr Severin Niwemugizi.
Sent from my SM-A013G using JamiiForums mobile app
Mataga watamnyang'anya Askofu hati ya kusafiria.Ongeza sautiiiiii!
Sijui Mataga watakuelewa?
MatagaaasHivi hata hao waumini wanaomsikiliza mtu wa hivi kanisani wanajisikiaje???
Kama mtanzania ana haki yake ya kutoa maoni, ila sio kwa kutumia madhabahu.
Hivi tunaelekea wapi jamani? Mimi ni Mkatoliki japo siko Rulenge-Ngara. Leo ni siku ya Utatu Mtakatifu. Jee, ni sahihi mahubiri yajikite kwenye kutoa hoja za kwa nini mkoa uwe mahali fulani na siyo mahali fulani, badala ya mafundisho kuwa juu ya Utatu Mtakatifu? Kama ni kumshauri Rais Samia, ingefaa kupitia kwenye vyombo husika kuhakikisha habari zinamfikia mlengwa.View attachment 1802465
PICHA: Askofu Severine Niwemugizi
Toka mezani kwa Askofu Severine Niwemugizi
Tumesikia pendekezo la kikao cha ushauri cha mkoa wa Geita kuhusu uundwaji wa mkoa mpya wa Chato. Lakini ushauri wa mkoa wa Geita tu hautoshi kufanya uamuzi. Kagera zaidi inahusika katika hili kama wilaya zake mbili zitamegwa...
Unaelewa maana ya Unafiki kweli wewe??.Hivi mtu km ameeleza maoni yake kwa kadamnasi bila kuficha kitu anakuwaje mnafiki??hii story inakuwa sawa na yule jamaa anayemchukia mfanyakazi mwenzake ambaye anamshahara mzuri kuliko yeye ingawaje wote wanafanya kazi moja. TZ hatuwezi endelea na unafiki wa kiwango hiki cha lami.
Km Kamdudu [emoji23][emoji23][emoji120]unaongea kama nani Nchi hii wewe ?
imeshapita hio wewe wacha ngonjela …
Safi sana Baba Askofu, haujawahi kutuangusha tangu enzi za Mwendazake, hadi Misa ya mwisho ya Mwendazake. Ila angalia wasiojulikana bado wapo ila mtoa amri ya kuteka hayupo.View attachment 1802465
PICHA: Askofu Severine Niwemugizi
Toka mezani kwa Askofu Severine Niwemugizi
Tumesikia pendekezo la kikao cha ushauri cha mkoa wa Geita kuhusu uundwaji wa mkoa mpya wa Chato. Lakini ushauri wa mkoa wa Geita tu hautoshi kufanya uamuzi. Kagera zaidi inahusika katika hili kama wilaya zake mbili zitamegwa...