#COVID19 Askofu Niwemugizi, asitisha Misa na Ibada zote Jimbo la Rulenge, awataka waumini Wasali Majumbani pia Wajikinge na Corona

Mungu kaagiza kuwa msiache kukusanyika huyo Askofu Nani amuige yeye anasema marufuku kukusanyika kwenye ibada!!! Mungu ni mkubwa kuliko huyo Askofu mpiga marufuku watu kukusanyika Ibadan. hakuna cha kuiga kwa huyo askofu mpagani
Mjinga wewe hospital huwa unafata nini?
 
Biblia inatamka wazi wawili watatu wakikusanyika kwa jina langu Mimi Niko katikati yao .Haisemi corona iko katikati yao

Mkusanyiko Wa Mungu ni Mungu anakuwa katikati ya kusanyiko sio corona. huyo askofu ni mpagani mkubwa
Msalimie gwajima wenu
 
Walipokusanyika kumuombea Tundu Lissu mliwapiga mabomu, wakati huo Biblia haikuwepo?
Sent using Jamii Forums mobile app
 

Ni nani alikwambia ili sala yako ikubaliwe ni lazima ukusanyike na wenzio


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Ni nani alikwambia ili sala yako ikubaliwe ni lazima ukusanyike na wenzio


Sent from my iPhone using JamiiForums
Kusali na kuabudu Ni vitu viwili tofauti Sala waweza sali popote kuabudu lazima altare au madhabahu iwepo na inapatikana kanisani sio popote
 
Nawashauri Katoliki waliofungiwa wasiabudu makabisani huko Rulenge waende kusali makanisa yeyote watakayopenda ambayo hayajafungwa na wasirudi Tena Katoliki
 
Hapa ndipo tofauti ya 'baba askofu' na 'askofu' inaonekana.Ila labda amefikia malengo ya mapato, na wengine labda wanasubiri kutimiza malengo yao ya mapato. Ila wajue uchumi unashuka na mapato yao yatakuwa yanashuka.
 
Nawashauri Katoliki waliofungiwa wasiabudu makabisani huko Rulenge waende kusali makanisa yeyote watakayopenda ambayo hayajafungwa na wasirudi Tena Katoliki
Na kule kwa papa vipi?
 

Askofu pekee. Kweli maisha yanaenda sababu ya maamuzi yetu. Naamu tunawajibika sababu ya kila tunaloamua

 
Nawashauri Katoliki waliofungiwa wasiabudu makabisani huko Rulenge waende kusali makanisa yeyote watakayopenda ambayo hayajafungwa na wasirudi Tena Katoliki
Wapumbavu ndo watafanya hayo, wakatoliki si mabwege ki hivyo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…