Mindi
JF-Expert Member
- Apr 5, 2008
- 3,523
- 4,992
Naona unachangia mada ambayo huijui vizuri. Ishu ya huyu Askofu ni ya muda mrefu. Aliingia kwenye ligi na Magu baada yaAskofu nae aache unafiki siku zote kwa nini hakutangaza ?ina mana hata Magufuli asingekufa ni lini tungejua kuwa alirejeshewa.hu msiba tutaona na kusikia mengi.
Kuna tetesi tena kilya kwa hery.
Naomba niishie hapo tafadhali.
Askofu Mkuu wa DSM, Yuda Thadei Ruwa'ichi alipewa ndege ya Magu. Ili kumuwahisha kutoka KCMC kuja MOI kufanyiwa operesheni ya kichwa.Yule aliyesaidiwa kwenye matibabu yake ni yupi?
Mwingine aliyesaidiwaga ni Askofu Msaidizi Methodius Kilaini, enzi za Kikwete. Alipelekwa India kwa msaada wa JK