Askofu Niwemugizi: Rais Magufuli aliagiza nirejeshewe Passport yangu na alisema 'Wewe ni Askofu wangu utanizika'

Askofu nae aache unafiki siku zote kwa nini hakutangaza ?ina mana hata Magufuli asingekufa ni lini tungejua kuwa alirejeshewa.hu msiba tutaona na kusikia mengi.

Kuna tetesi tena kilya kwa hery.

Naomba niishie hapo tafadhali.
Naona unachangia mada ambayo huijui vizuri. Ishu ya huyu Askofu ni ya muda mrefu. Aliingia kwenye ligi na Magu baada ya
Yule aliyesaidiwa kwenye matibabu yake ni yupi?
Askofu Mkuu wa DSM, Yuda Thadei Ruwa'ichi alipewa ndege ya Magu. Ili kumuwahisha kutoka KCMC kuja MOI kufanyiwa operesheni ya kichwa.

Mwingine aliyesaidiwaga ni Askofu Msaidizi Methodius Kilaini, enzi za Kikwete. Alipelekwa India kwa msaada wa JK
 
Upepo umevuma kwenda upande mwingine..."Askofu wa Makamanda" leo wamemgeuka!
Wasiojua ndio wanafikiri hivyo, soma maelezo ya Askofu katikati ya mistari kuna message kali.

Hakuunga mkono juhudi kama kina Kakobe, alibaki na msimamo thabiti ila karejeshewa paspoti yake baada ya Magu kuzidiwa
 
Msituletee porojo,
Cha msingi hapa kwanini passport yake ilichukuliwa?
Sababu ni moja tu,Jiwe hakupenda kuambiwa ukweli.haiwezeksni mtu akupige ngumi ya jicho harafu akupereke hospitari,harafu umwambie asante.
 
..lakini swali dume hapa ni: Je, ni nani aliyeagiza watu wa immigration wampore askofu hiyo passport? Au ni kwamba watu wa uhamiaji waliamua tu kumnyanganya askofu hiyo passport kwa kujikomba tu na kumfurahisha meko??!!
 
Hapa kuna chai kidogo kwa hiyo alijuaje kwamba yeye atatangulia kufa amuache Askofu kiasi kwamba amwambie yeye ndo atamzika?
Kama kuku alikula mahindi kadhaa utajua. Achana na mambo ya kusaka utajiri na madaraka.
 

Askofu Bagonza na fayaaaaa...
 
Meko alipenda sana maigizo.
Kujitekenya na kucheka
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…